Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

Kuna vitu vya ajabu sana duniani.
Hata wakisema Tanzania idadi ya mabilionair imeongezeka kwa asilimia 90, endapo mie sio miongoni mwao au sifaidiki na chochote haina tija sana kwangu endapo sitazitumia hizo taarifa kujikwamua na hali niliyonayo.

Unawezakuwa unabishana hapa na Mkenya kwamba mabilionair wamepungua lakini kumbe huyo unaepigizana nae kelele haumkamati hata kidogo.

Hapa ingefaa hizi taarifa kujadiliwa kwa kuangalia mambo gani yamepelekea kupungua au kuongezeka kwa utajiri? Endapo ni siasa safi, mbona tunaambiwa Tanzania kwa sasa sio rafiki kwa biashara?

Na kwa harakaharaka Kenya ni kama kiuchumi wako vizuri na mazingira ya uwekezaji yanavutia, Je hizi taarifa zinazingatia vitu gani vya msingi?

Na mwisho kila mmoja kuona anahusika au kunufaika namna gani na hizi taarifa?

Kutambiana kwa kurushiana vijembe haitakua na manufaa sana.

Unaambiwa ufaulu umeongezeka kwa kiasi kikubwa wakati wewe umefeli, inaingia akilini kweli kupokea hizo taarifa? Utafurahia hizo taarifa tu endapo uko miongoni mwa waliofaulu.


Itategemea na wewe unavozichukulia. Hizo tarifa hazipo apo kukunufaisha kwa sababu na Wao walivoanza maisha hawakupata izo taarifa wanufaike , misingi ni ile ile kufanya kazi kwa bidii, ubunifu na kujituma! You obvious not expecting anything from these news as an advantage but its a good sign of increasing purchasing power
 
Haya jiongeze kidogo baada ya kufurahia picha, nenda kwenye kusoma tofauti ya ripoti ya 2019 na 2020, hata mwanangu wa shule ya msingi kwa kuangalia haraka tu anaweza akabaini haya mahesabu hayajakaa ipasavyo, eti kwa mwaka mmoja tumepoteza mamilionea zaidi ya elfu tatu, Na nyie mkatupiku na zaidi ya milionea elfu mbili kwa mwaka mmoja tu.

Nataka nitulie nisake hizi taarifa kwenye tovuti ya hawa watu, kisha niandae ripoti yenye kuonyesha haya makosa halafu niwatumie na kama hawatarekebisha nitume kwenye vyombo vyote vya habari, nitapiga makelele mpaka watie akili, nchi yangu naipenda sana, huwa hatupitwi na shitholes za kwenye LDC.

Kenya usd dollar millionaires (>$1m) 2019 wealth report
8,400 -2013
9,176 -2017
9,482 -2018
11,584 -2023 - projection

Kenya usd dollar millionaires (>$1m) 2020 wealth report
800 - 2014
3,399 - 2018
2,900 - 2019
3,309 - 2024


Very possible even to loose all list of rich people in a single month, don't you know people do loose even billions in a day and other gain billions, if you have been keeping an eye on the forbes margazine people loose billions in a day, we-work company had almost ,$65B previous 2 years alone but last year it went completely broke!


And many more other examples I could think of, just do your research its very possible theranos.,
 
Kuna vitu vya ajabu sana duniani.
Hata wakisema Tanzania idadi ya mabilionair imeongezeka kwa asilimia 90, endapo mie sio miongoni mwao au sifaidiki na chochote haina tija sana kwangu endapo sitazitumia hizo taarifa kujikwamua na hali niliyonayo.

Unawezakuwa unabishana hapa na Mkenya kwamba mabilionair wamepungua lakini kumbe huyo unaepigizana nae kelele haumkamati hata kidogo.

Hapa ingefaa hizi taarifa kujadiliwa kwa kuangalia mambo gani yamepelekea kupungua au kuongezeka kwa utajiri? Endapo ni siasa safi, mbona tunaambiwa Tanzania kwa sasa sio rafiki kwa biashara?

Na kwa harakaharaka Kenya ni kama kiuchumi wako vizuri na mazingira ya uwekezaji yanavutia, Je hizi taarifa zinazingatia vitu gani vya msingi?

Na mwisho kila mmoja kuona anahusika au kunufaika namna gani na hizi taarifa?

Kutambiana kwa kurushiana vijembe haitakua na manufaa sana.

Unaambiwa ufaulu umeongezvalued aa kiasi kikubwa wakati wewe umefeli, inaingia akilini kweli kupokea hizo taarifa? Utafurahia hizo taarifa tu endapo uko miongoni mwa waliofaulu.


Kenya is just well built and its heavily invested but economically its still a big question if it really deserves that spot because even IMF has released a lot of reports about the Kenya economy such as, its national currency is just more than 30% over valued
 
Ukiangalia ripoti zengine hazi support hio information

Kwa mfano hii hapa inayoonyesha Total wealth ya wananchi wote,, Kenya iko mbali zaidi ya Tanzania.... kama ingekua kweli kwamba Tz ina matajiri wengi wa dollar millionare basi tungeona Tanzania ikiwa juu kwa hesabu za total wealth ukihesabu wakaazi wote.. Simple logic.


View attachment 1379087

Kwahivyo usishtuke ukiskia Knight Frank wakisema wamegundua walikosea na wakarekebisha dollar millionnairs wamefika zaidi ya 12,000 in 2019


Was also thinking the same, though am no where to be a researcher but it happens a lot of times that they didn't count well, and if it's right then that's well
 
Lethargic and covetousness Kunyan! You have been given different links, even your paper has transcribed about it but you’re still in denial mechanism. This is a sign of mental disorder.

Denial is a defense mechanism which involves a refusal to accept reality, thus blocking external events from awareness. If a situation is just too much to handle, the person may respond by refusing to perceive it or by denying that it exists.

You’d go to see a physician before the situation become more serious.
👇 👇 👇 👇 👇

Hehehe!!Kwa wote nahisi wewe ndiye umeumia sana baada ya Kafrican kuchimba na kuonyesha hilo tatizo la kitakwimu, nakumbuka ulikua mmoja wa waliofyatuka sana, subiri naiandaa rasmi na kuwatumia hawa Knight Frank, wasiporekebisha itakwenda mbali sana maana nitaisambaza mpaka kwa KoT, na vyombo vyote vya habari, haiwezekani tukashindwa na nchi inayotujazia omba omba huku.
Kwanza nitawapa Knigh Frank muda wa kurekebisha, ikiwezekana nakwenda kwenye ofisi yao kabisa na makabrasha yangu nionyeshe hata meneja wao. Wakigoma kurekebsha itasambaa kote.
 
Very possible even to loose all list of rich people in a single month, don't you know people do loose even billions in a day and other gain billions, if you have been keeping an eye on the forbes margazine people loose billions in a day, we-work company had almost ,$65B previous 2 years alone but last year it went completely broke!


And many more other examples I could think of, just do your research its very possible theranos.,

I don't deny the possibility of losing millionaires, can happen in a whim and has happened before even in developed nations, there are millions of factors that can cause such an occurrence, however, take a moment, pull out Knight Frank report of 2019 and a separate sheet of 2020, then do a comparative analysis, the mistakes are so glaring that one wonders how a data crunching firm would allow such publication to go through.
 
Lethargic and covetousness Kunyan! You have been given different links, even your paper has transcribed about it but you’re still in denial mechanism. This is a sign of mental disorder.

Denial is a defense mechanism which involves a refusal to accept reality, thus blocking external events from awareness. If a situation is just too much to handle, the person may respond by refusing to perceive it or by denying that it exists.

You’d go to see a physician before the situation become more serious.
👇 👇 👇 👇 👇
Inaonesha wameumia kweli kweli 😂😂😂
Na huu ni mwanzo tu,
Ripoti ya knight frank kwenye pdf ina page 57 na nimeipitia yote halafu wajinga wa "denial stage" wanakuja na fake analysis zao hapa.
 
Hehehe!!Kwa wote nahisi wewe ndiye umeumia sana baada ya Kafrican kuchimba na kuonyesha hilo tatizo la kitakwimu, nakumbuka ulikua mmoja wa waliofyatuka sana, subiri naiandaa rasmi na kuwatumia hawa Knight Frank, wasiporekebisha itakwenda mbali sana maana nitaisambaza mpaka kwa KoT, na vyombo vyote vya habari, haiwezekani tukashindwa na nchi inayotujazia omba omba huku.
Kwanza nitawapa Knigh Frank muda wa kurekebisha, ikiwezekana nakwenda kwenye ofisi yao kabisa na makabrasha yangu nionyeshe hata meneja wao. Wakigoma kurekebsha itasambaa kote.
Nonsense! You are a schizophrenic hysterical who always denying the reality. Knight Frank my foot!
 
Was also thinking the same, though am no where to be a researcher but it happens a lot of times that they didn't count well, and if it's right then that's well

With a simple calculator one can easily pick this mistake without the need of being a researcher or statistician.
 
Hehehe!!Kwa wote nahisi wewe ndiye umeumia sana baada ya Kafrican kuchimba na kuonyesha hilo tatizo la kitakwimu, nakumbuka ulikua mmoja wa waliofyatuka sana, subiri naiandaa rasmi na kuwatumia hawa Knight Frank, wasiporekebisha itakwenda mbali sana maana nitaisambaza mpaka kwa KoT, na vyombo vyote vya habari, haiwezekani tukashindwa na nchi inayotujazia omba omba huku.
Kwanza nitawapa Knigh Frank muda wa kurekebisha, ikiwezekana nakwenda kwenye ofisi yao kabisa na makabrasha yangu nionyeshe hata meneja wao. Wakigoma kurekebsha itasambaa kote.
Please do, and copy us the email via a thread on this forum.
 
Waliotoa ripoti sio mimi, hupaswi kutuambia sisi, nendeni mkawaambie hao wenye ripoti yao. Hiyo ni kawaida kwa binadamu yeyote kupatwa na mshangao anapopatwa na jambo ambalo sio la kawaida.

Tunajua mpo katika kipindi kigumu sana kukubaliana na mabadiliko haya. David Ndii aliwaonya sana kwamba Tanzania 'Is taking over East Africa" lakini hamkutaka kumsikiliza, na huu ni mwanzo tu, jiandaeni kisaikolojia kupata maumivu mengi zaidi ya haya.

Ninyi ni wapuuzi sana, mumejawa na wivu na sifa za kijinga, shirika lenye wataalamu na uzoefu mkubwa, linalokubalika duniani kote, eti lifanye makosa ya kizembe na kijinga kama hayo. Endeleeni kulia na kujiliwaza, lakini ukweli ni kwamba, Tanzania ina idadi kubwa ya matajiri kuliko Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mbowe pia anawaambia sana lkn bado hamsikii..
Msipomsikia itakua ndoto kutu overtake, never..

Enheee!!katafute hyo link kw ndii basi utuletee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonesha wameumia kweli kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
Na huu ni mwanzo tu,
Ripoti ya knight frank kwenye pdf ina page 57 na nimeipitia yote halafu wajinga wa "denial stage" wanakuja na fake analysis zao hapa.
Uipitie halafu ushindwe kuileta humu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaaa!!wewe umelete ripoti inayosema ya kuwa kenya ni bla bla bla..

mbna sasa una haha jomba wakati mi bataka link tu..kwn wao taarifa walizipataje mpaka wewe ushindwe kuleta hyo link
"KNIGHT FRANK"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ukishindwa kuleta tz mama lao[emoji1787][emoji1787]
Ss km wao wamepata hyo link we unashindwaje, hyo ndio definition ya uvivu ss
 
Waliotoa ripoti sio mimi, hupaswi kutuambia sisi, nendeni mkawaambie hao wenye ripoti yao. Hiyo ni kawaida kwa binadamu yeyote kupatwa na mshangao anapopatwa na jambo ambalo sio la kawaida.

Tunajua mpo katika kipindi kigumu sana kukubaliana na mabadiliko haya. David Ndii aliwaonya sana kwamba Tanzania 'Is taking over East Africa" lakini hamkutaka kumsikiliza, na huu ni mwanzo tu, jiandaeni kisaikolojia kupata maumivu mengi zaidi ya haya.

Ninyi ni wapuuzi sana, mumejawa na wivu na sifa za kijinga, shirika lenye wataalamu na uzoefu mkubwa, linalokubalika duniani kote, eti lifanye makosa ya kizembe na kijinga kama hayo. Endeleeni kulia na kujiliwaza, lakini ukweli ni kwamba, Tanzania ina idadi kubwa ya matajiri kuliko Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3] a bitter pill
 
Haya jiongeze kidogo baada ya kufurahia picha, nenda kwenye kusoma tofauti ya ripoti ya 2019 na 2020, hata mwanangu wa shule ya msingi kwa kuangalia haraka tu anaweza akabaini haya mahesabu hayajakaa ipasavyo, eti kwa mwaka mmoja tumepoteza mamilionea zaidi ya elfu tatu, Na nyie mkatupiku na zaidi ya milionea elfu mbili kwa mwaka mmoja tu.

Nataka nitulie nisake hizi taarifa kwenye tovuti ya hawa watu, kisha niandae ripoti yenye kuonyesha haya makosa halafu niwatumie na kama hawatarekebisha nitume kwenye vyombo vyote vya habari, nitapiga makelele mpaka watie akili, nchi yangu naipenda sana, huwa hatupitwi na shitholes za kwenye LDC.

Kenya usd dollar millionaires (>$1m) 2019 wealth report
8,400 -2013
9,176 -2017
9,482 -2018
11,584 -2023 - projection

Kenya usd dollar millionaires (>$1m) 2020 wealth report
800 - 2014
3,399 - 2018
2,900 - 2019
3,309 - 2024
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Wakenya waseng...e sn yn wanahaha kubadilisha ukweli, mtaumia sn miaka hii
 
Hata mbowe pia anawaambia sana lkn bado hamsikii..
Msipomsikia itakua ndoto kutu overtake, never..

Enheee!!katafute hyo link kw ndii basi utuletee

Sent using Jamii Forums mobile app
Yn cc na akili zetu tukae tumsikilize Mbowe kwa utashi gn alionao, kwnz apambane na wananchi wake [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3] umeishiwa kweli we
 
Back
Top Bottom