Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

Hivi ni link ya kitu gani hii imewashinda Watanzania wote humu hadi wameishia vijembe ili kuficha aibu.
Wala hakuna kuficha aibu hapa,
Huyu mjinga mwenzako hapo kashindwa kutembelea website ya knight frank ili apakue pdf ajisomee,
Au anadhani BBC na vyombo vingine vya habari waliokota hizo data 😂😂😂
IMG_20200307_191857_206.JPG
 
Hivi ni link ya kitu gani hii imewashinda Watanzania wote humu hadi wameishia vijembe ili kuficha aibu.
Link ya kuhusu hao mamilionea, manake kila wakituma source ni the citizen tanzania mara sijui bbc swahili..

Mi nataka link ya kutoka knight frank nijisomee mwnywe, sitaki kuunga wala kupinga kitu bila ya kujisomea hyo habari kutoka kw main source nione inasemaje haswa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaongeze uwezo wako wa kufikiri ndipo uje kuomba link,
Mjinga katajiwa hadi taasisi halafu kashindwa kwenda kwenye website yao kupakua pdf [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa!!mbna umetuma sasa, wacha nijisomee mwenyewe hayo maelezo jomba[emoji122][emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala sijatuma, hapo nimetuma screenshot ya file nililo download [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wanazd kuonesha ukilaza wao yn anashindwa hata kutofautisha link na screen shot dah aibu sn kwakweli
 
Link ya kuhusu hao mamilionea, manake kila wakituma source ni the citizen tanzania mara sijui bbc swahili..

Mi nataka link ya kutoka knight frank nijisomee mwnywe, sitaki kuunga wala kupinga kitu bila ya kujisomea hyo habari kutoka kw main source nione inasemaje haswa

Sent using Jamii Forums mobile app

Itakua walikua wanahangaika kuitafuta link, kuna mwingine aliposhindwa hoja na kuona nimempuuza akaanza kutupia misamiati ya matusi aliyokua anajifunza kwenye dictionary hadi akaishia kwenda kulala....hehehe

Anyway links hizi hapa, utaona kwanini ripoti za Knight Frank hazileti mantiki, hapa nimeweka ya 2019 na 2020

Ripoti ya 2019 wanasema milionea Kenya kwa mwaka wa 2018 walikua 9,482 na Tanzania 6,429
Ripoti ya 2020 wanasema milionea Kenya kwa mwaka huo huo wa 2018 walikua 3,399 na Tanzania 5,118

Yaani ripoti yao ya mwaka wa 2019 tulikua tumewazidi Watanzania kwa idadi ya milionea 3,000
Halafu ripoti ya 2020 kwa mwaka huo huo wa 2018 wakaweka kwamba tumepoteza milionea 6,000
Haiwezi kutokea siku LDC shthoe zishinde uchumi wa kati

https://content.knightfrank.com/content/pdfs/global/the-wealth-report-2020.pdf
https://content.knightfrank.com/res.../wealthreport/2019/the-wealth-report-2019.pdf
 
Ni vilaza mnoo [emoji23][emoji23][emoji23] hapo nimepost screenshot yeye anadhani nimepost link ya kudownload pdf.

Mjinga mwenzake kaja kumfichia aibu halafu bila aibu anasema tumeshindwa kupata link [emoji23][emoji23][emoji23]
Heheee!!umeshindwa ku screenshot maelezo..

Naona tangu jana nilikukakamata, link imekushinda kuituma kisa ilkua hujui utaitoa wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

MK254 asante kw kumsaidia mwenzako, yani mtanzania awe na link kuhusu kenya halafu ashindwe kuituma hapa jf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakua walikua wanahangaika kuitafuta link, kuna mwingine aliposhindwa hoja na kuona nimempuuza akaanza kutupia misamiati ya matusi aliyokua anajifunza kwenye dictionary hadi akaishia kwenda kulala....hehehe

Anyway links hizi hapa, utaona kwanini ripoti za Knight Frank hazileti mantiki, hapa nimeweka ya 2019 na 2020

Ripoti ya 2019 wanasema milionea Kenya kwa mwaka wa 2018 walikua 9,482 na Tanzania 6,429
Ripoti ya 2020 wanasema milionea Kenya kwa mwaka huo huo wa 2018 walikua 3,399 na Tanzania 5,118

Yaani ripoti yao ya mwaka wa 2019 tulikua tumewazidi Watanzania kwa idadi ya milionea 3,000
Halafu ripoti ya 2020 kwa mwaka huo huo wa 2018 wakaweka kwamba tumepoteza milionea 6,000
Haiwezi kutokea siku LDC shthoe zishinde uchumi wa kati

https://content.knightfrank.com/content/pdfs/global/the-wealth-report-2020.pdf
https://content.knightfrank.com/res.../wealthreport/2019/the-wealth-report-2019.pdf
Hahahaha, mtazoea baada ya muda sio mrefu, kumbuka kwamba binadamu yeyote hupitia hatua tatu anapokutana na tatizo kubwa lenye kushitua sana, nazo ni
1)Denial
2)Negotiation
3)Acceptance

Bado hii taarifa ni mbichi kabisa, mpo katika hatua ya kwanza kabia ya "Denial", hiki kipindi mtakivuka mapema sana, kwasababu muda si mrefu kutoka sasa kunakuja taarifa nyingine itakayowamaliza kabisa, wakati mkiendelea kulialia, kumbukeni kwamba"Tanzania inazidi Kenya kwa idadi ya matajiri".


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wanazd kuonesha ukilaza wao yn anashindwa hata kutofautisha link na screen shot dah aibu sn kwakweli
Yani mm nishindwe kutofautisha kati ya link na screenshot..
We jipe matumaini tu, lkn ukwel ulishindwa kuituma...

Watumia browser kuingia jf au nn?
Ama huna bundles za kutosha ndio unaogopa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heheee!!umeshindwa ku screenshot maelezo..

Naona tangu jana nilikukakamata, link imekushinda kuituma kisa ilkua hujui utaitoa wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

MK254 asante kw kumsaidia mwenzako, yani mtanzania awe na link kuhusu kenya halafu ashindwe kuituma hapa jf

Sent using Jamii Forums mobile app
Umkamate nani wewe 😂😂😂
Sasa pdf nilidownload wapi?
 
Yani mm nishindwe kutofautisha kati ya link na screenshot..
We jipe matumaini tu, lkn ukwel ulishindwa kuituma...

Watumia browser kuingia jf au nn?
Ama huna bundles za kutosha ndio unaogopa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado mpo katika maombolezi sio?. Jitaidini kumaliza msiba mapema kwasababu hata mkatae lakini ukweli utabaki palepale kwamba "Tanzania imeizidi Kenya ktk idadi ya matajiri", mpaka hapo itakapotoka ripoti nyengine, kwasasa ukweli ndio huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakua walikua wanahangaika kuitafuta link, kuna mwingine aliposhindwa hoja na kuona nimempuuza akaanza kutupia misamiati ya matusi aliyokua anajifunza kwenye dictionary hadi akaishia kwenda kulala....hehehe

Anyway links hizi hapa, utaona kwanini ripoti za Knight Frank hazileti mantiki, hapa nimeweka ya 2019 na 2020

Ripoti ya 2019 wanasema milionea Kenya kwa mwaka wa 2018 walikua 9,482 na Tanzania 6,429
Ripoti ya 2020 wanasema milionea Kenya kwa mwaka huo huo wa 2018 walikua 3,399 na Tanzania 5,118

Yaani ripoti yao ya mwaka wa 2019 tulikua tumewazidi Watanzania kwa idadi ya milionea 3,000
Halafu ripoti ya 2020 kwa mwaka huo huo wa 2018 wakaweka kwamba tumepoteza milionea 6,000
Haiwezi kutokea siku LDC shthoe zishinde uchumi wa kati

https://content.knightfrank.com/content/pdfs/global/the-wealth-report-2020.pdf
https://content.knightfrank.com/res.../wealthreport/2019/the-wealth-report-2019.pdf
Yani nimeipitia hapo kw hyo idadi ni balaa walai..
Wajua nilitaka link kusudi tena kutoka kwake, manake ameivaavaa hii habari hatari kw kwel..

BBC hawana makosa yyte wala, manake lazi yao ilkua kusambaza habari..
Nilisisitiza kw sababu nlikua nataka niisome hyo habari kw kina, kiukwel hawa jamaa wamebugi kwanza kutokea 2018 hesabu zao zinajikanganya kabisa..

Byda sasa haina haja niendelee ku comment tena katika huu uzi..
Mtu na akili zake akishasoma hyo habari hawez endelea kubishana na zero brain...
Asanate kw kumsaidia lkn..





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani nimeipitia hapo kw hyo idadi ni balaa walai..
Wajua nilitaka link kusudi tena kutoka kwake, manake ameivaavaa hii habari hatari kw kwel..

BBC hawana makosa yyte wala, manake lazi yao ilkua kusambaza habari..
Nilisisitiza kw sababu nlikua nataka niisome hyo habari kw kina, kiukwel hawa jamaa wamebugi kwanza kutokea 2018 hesabu zao zinajikanganya kabisa..

Byda sasa haina haja niendelee ku comment tena katika huu uzi..
Mtu na akili zake akishasoma hyo habari hawez endelea kubishana na zero brain...
Asanate kw kumsaidia lkn..





Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, naona tayari umeanza kukubaliana na hali halisi " Research hupingwa kwa Research", wacha kupoteza muda wako bure. Unachokifanya ni kujipa matumaini ili uweze kupata usingizi vizuri, ila huwezi kubadilisha matokeo ya hiyo ripoti, dunia nzima inajua kwamba, Tanzania inazidi Kenya kwa matajiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom