Dah!... hatari kweli kweli...Kwa mujibu wa Statista, thamani ya soko la michezo ya kubahatisha Tanzania itakuwa dola 110.1 milioni (Sh260.4 bilioni), ifikapo mwaka 2027. Hali ikiwa hivyo, Serikali inapunguza fedha kwenye eneo la upishi wa vijana kuwa wataalamu.
Mkuu pambana na maisha hizi harakat achana nazo,kamari zipo na zitaendelea kuwepo tena iyo miaka unayosema bila shaka utakua ushavuta lakini naamini kamari ndo zitazid kushamiriInakera mno tena sana. Na kibaya zaidi kamari inachezeshwa 24/7. Hii nchi CCM wameiharibu sana. Itachukua miaka 100 kusahihisha huu uraibu ulioingizwa vichwani mwa watanzania. Sijawahi kuona uongozi wa kiqumer hapa ulimwenguni kama uongozi wa CCM. Hawa jamaa ni zaidi ya mbwa!
Aibu kubwa sn kwa CCM
Hatari snCCM haijawahi kuwa na aibu
Mtoa mada ni mcheza kamari mzuri sanaView attachment 2665762View attachment 2665763View attachment 2665764
Lakini katika hizo njia utakazochagua jihadhari usichague kamari kwani itakufilisi ndani ya muda mfupi sana. Inashangaza badala ya serikali kukataza kamari, inawachochea vijana waingie. Hii nchi imerogwa wallah!Tanzania ina raia 60M+ na opportunity nyng asee nadhani kila mtu inabid afuate njia anayoamini inampa tonge la kila siku na maendeleo kwa ujumla
Afadhali pombe au sigara mtu anaweza kuacha kwa urahisi mkuu. Kuacha kamari sio jambo jepesi.2013 to 2016
Ulikuwa uniambii kitu na hayo mabeting , lakini jambo la kushukuru sanaa 2016 mwishon nilipata mwendo mzuri sanaa na kuacha hayo mambo na kuanza mwanzo mpya aisee kamali sio nzuri wapendwa na kuacha pia sio rahisi kabsa yaani kama addicted wa pombe kumuachisha pombe ndio usawa wa kuacha kamali
Mkuu, kukosa kazi sio kisingizio cha kutopea kwenye uraibu wa kamari. Hata watu wenye staha na walioajiriwa wamepoteza muda na pesa nyingi sana kwenye kmari. Kwa ufupi, kamari ni janga la kitaifa. Kila mtanzania mwenye nia njema na nchi hii anapaswa kupiga vita kamari.Vijana waacheni wabeti na kama Kuna namna nyingine wasaidiwe!
Binafsi sijawahi beti ila na marafiki zangu wengi wanabeti Kila siku wanasuka mikeka kupata na kukosa wanajua wao, hv ndugu mwandishi unataka huyu kijana akafanye nini?
Twende pamoja
Graduates kibao wapo mtaani hawana mifumo rasmi ya kupata hela hapakuchi panakucha siku zinaenda kibishi kila siku mnatangaza fursa ni za kujitolea tu (internship) hapati hata mia
Kwenye kilimo hapagusiki huko kulihudumia ekari moja ni inatakiwa uwe na laki tatu na nusu plus ukivuna seke seke lake inalijua vzr sina haja ya kufafanua
Kila anapopagusa panataka awe na connection/ Mkono mrefu ndo asaidike Sasa atafanya nn si bora abeti tu Kwa mtaji wa buku?
Kwenye biashara hakusogeleki mfano mzuri jaribu wewe binafsi Kodi utakayotajiwa utashangaa ni 60% ya Ile hela uliyonayo utafanyaje? Wale jamaa wa tax assessment wanakatwa na dipi weldi 😒😒
We unashauri vijana wafanyeje? Kuna ambae uliwahi mkuta ana uraibu wa kamari ukajaribu kumsapoti apate kazi yeyote asogeze siku? Kama yupo vipi baada ya kumsapoti aliendelea?