Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Mnaotaka sharia nendeni afghanstan mkaishi uko kwa aman na upendo wa allah
 
Faizafoxy nakushaur nenda kaishi ni zile mandevu za afghanstan kwa mwaka mmoka tu ili upate exposure ya kitu unacholilia cjui sharia we nenda na familia yako yote na ndugu zako kwa zile mandevu za afghanstan then ukirud tuone kama bado utataka sharia
 
Sharia ndo ile mambo ya kukatana mikono?
 
Mana wew hujakaa vizuri na ozo njemba afghanstan ivo credibility ya performance ya sharia huna inabid ukakae afghanstan mwaka mmoja na zile mandevu then ndo uje na mrejesho wa performance ipoje ya sharia kutatua matatizo
 
Simple.

Sio kuuwa bali kuoa na kuolewa.
Tumekuwa na kampeni inayohalalisha binti asiolewe. Sisi tunahitaji aolewe na aendelee na masomo.

Lkn pia kuna kampeni ya kuwashawishi vijana wa kiume waolewe. Kampeni hizi zinapigiwa debe na viongozi wa imani yenu.

Nirudi kwenye mada.

Ktk somo la falsafa linasema ubora wa serikali yyt inategemea falsafa ya serikali husika, lkn pia hutegemea falsafa na itikadi iliyo ndani ya mioyo ya watendaji wa serikali.

Ndio. Mtendaji hutafsiri jambo kwa vile anavyoliewa yeye. Na uelewa wake unategemea itikadi aliyonayo.

Ndio maana sheria ya wanafunzi wa kiislam kuvaa hijab ilikuwa mbinde, ndio maana sheria ya ugaidi wanaokamatwa na kufungwa vifumgo bila ya ushahidi wala hukumu ni waislam pekee.

Falsafa ya serikali ni Ujamaa. Ujamaa unatokana na uMarx. uMarx inatokana na Atheism (upagani). Wapagani wa watu wenye uhakika kuwa Mungu hayupo.

Hivyo Sirikali za kijamaa kwa msingi huo haiamini uwepo wa Mungu. Na kwa kuwa dini zinamafungamano na mumgu kwa imani hiyo hayupo, na kwa kuwa serikali haina Mungu hivyo haina dini pia. Wakiamini dini ni uraibu, na kwa mujibu wa wajamaa Mungu hajaumba watu bali watu ndio wametumia mungu.

Wajamaa wakiendelea kuthibitisha kuwa Mungu aliuwawa na dola ya warumi na hakufufuka.

Ndio maana tz haina dini haiamini uwepo wa dini wala uwepo wa Mungu. Jambo hili linafichwa lkn ukweli kukuacha mtu huru.

Ndio maana ndani ya katiba hajatajwa Mungu hata sehemu 1.
Hata hivyo kanuni hii imeumdwa kudhitibi baadhi ya dini.

Lkn ni kweli Serikali haina dini?
Dini ni nini?

Dini ni imani, dini yako ni imani yako, dini ni utamaduni, hivyo dini yako ni utamaduni wako.

Kwa muhtadha huo Atheism (Ujamaa)nayo ni imani au dini. Ndio maana Nyerere aliwahi kusema Ujamaa ni imani, kwa maana Ujamaa ni dini.

Kwani dini ni imani na imani ni dini.

Tunataka serikali ya dini zote ili tujifungue kutoka ktk mnyororo na jinamizi hili la kusema serikali haina dini. Ni uongo uliotengenezwa ukarudi rudiwa kutamkwa. Ndio maana haya weye ndugu yangu uongo huu unauamini. Ni kawaida jambo lolote likirudiwa kutamkwa kutamkwa hata kama ni uongo huwa kweli.

Kuna Ubaya gani serikali iwe ya dini zote


Hii nchi ni ya wote. Hivyo dini zote zinapaswa kulindwa.
 
Sharia ndo ile mambo ya kukatana mikono?
Kwa wezi ndio, lakini kabla ya kumkata mkono inatakiws mjiridhishe kuwa alipatiwa fursa ya kujichumia kipato chake kihalali. Mfano, anafanya kazi serikalini, anapokea mshahara halafu hapo hapo anaiba, huyo ni wa kukatwa mkono tu, au unaonaje?
 
Faiza acha udini!
 
Faiza acha udini!
Kama kwa neno "udini" unamaanisha Uislam, basi elewa kuwa naupenda sana na najivunia Uislam wangu.

Mwarubaini wa matatizo ya Tanzania ni sharia.
 
Mana wew hujakaa vizuri na ozo njemba afghanstan ivo credibility ya performance ya sharia huna inabid ukakae afghanstan mwaka mmoja na zile mandevu then ndo uje na mrejesho wa performance ipoje ya sharia kutatua matatizo
Mbona kuna wengi wanafuga ndevu Tanzania?
 
Ndo iyo iyo sasa faiza hana exposure ila anataka iwepo uku ye aende tu afghanstan one year kwa wale mandevu afu alete mrejesho co kujificha mexico ya k koo
Tanzania naona wezi wakichomwa moto, ndiyo sheria bora hiyo?
 
Nini ufumbuzi wako kuhusu matatizo ya ufisadi Tanzania?
Sheria izi izi tu ni kupata viongozi wa kuzisimamia vizur mfano fisadi akamatwe afungwe na mali zake kutaifishwa pia mahakama iwe na nguvu ya kushitak viongozi
 
Kwanza ndio maana allah anajua kiarabu tu na siku ya qiyamah atakuwa anaongea kiarabu tu.


Unaonaje baada ya hilo tuweke kiarabu kuwa lugha ya taifa?

Hahahahah!
 
Tatizo wew umejikita zaid kwenye udini wakati tuna watu wa imani tofauti, wew unavoamini allah ni muumba wa mbingu na vyote kuna watu hawaamin allah wala muhamadi sasa tusifike kulazimishiana mambo ya dini moja.
 
Sheria izi izi tu ni kupata viongozi wa kuzisimamia vizur mfano fisadi akamatwe afungwe na mali zake kutaifishwa pia mahakama iwe na nguvu ya kushitak viongozi
Report za CAG kila mwaka zinatoka, kiongozi gani amechukuwa hatua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…