Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi Zanzibar hawafati?Sifahamu hizo nchi ulizozitaja wanazifata kwa kuwango kipi.
Kwa maana hiyo hata Tanzania tunayo sharia kwa kiwango fulani.
Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.
Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.
Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.
Watanzania tysiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.
Tujadiliane.
Hatutaki Ukatiri pelekahuko kwa shetani.Mimi nataka iwe kama ya China. Unachagua upigwe kitanzi au uchapwe risasi.
Saudia wanazo zinaishia kuchinja wapinzani tu huku maovu mengine yanaendelea kama kawaKatiba nzuri ndo ile inayokataa dhambi na dhuluma
Mengine ni ubadhilifu tu
Kama ndio yamekua haya basi Mungu atusaidie, atupe Hekima ya kupambanua mambo
Sawa boss,Hakuna tatizo kujadili kwa kina lililo jema kwa nchi yetu, kama sharia itatufaa na ndiyo itayotuondolea ufisadi na maadili mabovu kwanini tusiifate?
Tuwe kama somalia,chadi, Mauritania,Oman, bila mafuta nchi zote za kiarabu zingekuwa maskini sanaWengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.
Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.
Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.
Watanzania tysiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.
Tujadiliane.
Uko sawa lakini nikuulize ni Nchi gani duniani inayoamini sharia ya Kiislam ni donor Country?Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.
Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.
Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.
Watanzania tysiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.
Tujadiliane.
Akili zako siku zote zinawaza matamanio ya kishetwaniKwanini useme hivyo? Nitajie kimoja kibaya kwenye sharia.
Tujadili sharia siyo mleta mada.