Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Nchi ya Sudan yenye Sharia law wanagombana wenyewe kwa wenyewe.
Somalia ni hivyohivyo.
Angalia Sudan Kusini iliyojitoa kwenye Sharia law, maisha safi.
 
Hili nalo unataka wenye akili walijadili?
Ukiona wewe una akili zaidi ya matatizo yetu na unao ufumbuzi tueleze ufumbuzi wako utaotatua tatizo.

Mfano, tuna tatizo kubwa la ufisadi wa mali za umma, utatuzi wako ni upi?
 
Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.

Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.

Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.

Watanzania tysiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.

Tujadiliane.
Ni mtazamo wako mama yetu .. na tunapaswa kuhuheshimu ingawa maamuzi ya mwisho yatakuwa ya bunge la katiba na rais mwenyewe..

Mimi nadhani pia watu wengine wangetoa maoni yao na mtindo wa katiba wataoutaka.
 
Hapo Iran hao wanwake wenye akili wamegoma kufunika kichwa tu sasa wananyongwa fikilia kumuuwa mtu kisa hataki kufunika kichwa

USSR
Ni upumbavu wa Hali ya juu.
Kwanza teknolojia ya Iran wameikopi kwa nchi za Wakristo.
Sharia law Yao haikuwapa akili ya kuwa na teknolojia na uchumi imara.
 
Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.

Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.

Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.

Watanzania tysiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.

Tujadiliane.
Na wasio waislamu hiyo katiba itawahusu ?
 
Z

Zina Wakristo ila wanateseka, hakuna uhuru wa kuabudu.
Pili hupaswi mlazimisha mwanadamu amuabudu nani, hata mababu zetu wa Kiafrika hawakumjua Allah(S.W.T) Wala Mtume wake.
Kama vile huko Ulaya waislamu wana uhuru wa kuabudu
Kwani nani kalazimishwa kuabudu ? Inayosema hivyo ni biblia kuwa watu walazimishwe wawe wakristo
 
Sharia ya kufirana siyo.
Tatizo hilo nalo pia lina ufumbuzi wake katika sharia. Wote wawili, mfiraji na mfirwaji wanahukumiwa pamoja.

Tanzania kwa sheria zetu, juzi tumeshuhudia kwenye vyombo vya habari anahukumiwa aliye lawitiwa tu, tatizo limebaki pale pale.

Mapungufu kama hayo yanaondolewa kwa kufata sharia.
 
Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.

Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.

Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.

Watanzania tysiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.

Tujadiliane.

Wewe Bibi acha kuturudisha miaka elfu 2 iliyopita ,mambo ya sharia unataka watu wachinjane? Siku hizi kuna haki za binadamu ,tuweke sheria ambazo zitawafanya watu wasizitende ,vifungo,faini,kufilisiwa incase of ufisadi/wizi.

"Nchi yetu haina dini" - Nyerere 1995 Kilimanjaro Hotel Press.
 
Hapo Iran hao wanwake wenye akili wamegoma kufunika kichwa tu sasa wananyongwa fikilia kumuuwa mtu kisa hataki kufunika kichwa

USSR
Hizo ni propaganda Za west na vyombo vyao vya habari. Hivi sasa wanataka kuifungia TikTok habari zao zisitoke
 
Wewe Bibi acha kuturudisha miaka elfu 2 iliyopita ,mambo ya sharia unataka watu wachinjane? Siku hizi kuna haki za binadamu ,tuweke sheria ambazo zitawafanya watu wasizitende ,vifungo,faini,kufilisiwa incase of ufisadi/wizi.

"Nchi yetu haina dini" - Nyerere 1995 Kilimanjaro Hotel Press.
Nyerere ndiye mdini mkubwa Laanatullahi yule
 
lakini ni vyema kujifunza kwa kuangalia waliofanikiwa
Kujifunza ni kutazama sheria fulani ambayo kwetu haitatuwi tatizo, sharia inatatuwa vipi?

Ukianza kutazama nchi, nchi nyingi wana sharia na sheria za kimila na tamaduni zao.

Hata Tanzania, tuna shria ya common law, tuna sheria za kidini, sharia ikiwemo na tuna sheria za kimila. Zote hazitusaidii vilivyo, tuwe na sharia moja tu. Tuone nchi itavyo nyooka.
 
Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.

Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.

Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.

Watanzania tysiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.

Tujadiliane.
Sharia haukutoka Kwa Mungu bali kwa allah wa waarabu
 
Unazijua nchi zinazofuata Sheria za kiislamu,wewe mwenyewe utakatazwa kupost Uzi humu,usipovaa juba utapigwa mawe,achana na Sheria hizo.
Hapana si kweli, kila nchi ina sheria zake za mitandao na nini unaweza kutuma na nini huwezi kutuma.

Nioneshe nchi moja ambayo inafata sharia ina marufuku ya mtu kutumia mitandao ya kijamii yote.
 
Back
Top Bottom