Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Hivyo vyote ulivyotaja ni kweli tunavihitaji,vipi kuhusu vile vingine ambavyo ni kandamizi?
Kama vipi? Hakuna ukandamizaji katika sharia. Taja kimoja cha ukandamizaji katika sharia.
 
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN NA KUKAA UCHI MBELE YA MASWAWABU WAKE.

Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.

Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam. Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake
Huna lolote na wala sitaki kubishana na mnafiki kama weye ikiwa Allah mwenyewe kamsifu katika Quraan
Surat Qalam aya 4 Wainnaka laala khuliq adhiym .Wewe na wenzako Allah kashakupegini Stamp Juzuu ya kwanza
aya ya 7 .Khatama llahu ala Qulubihim na kuendelea .Wewe sio wa mwanzo na hutokuwa wa mwisho namuomba allah akulipe hapa hapa duniani na upotofu wako na kesho akhera Jahannam inakusubiri Loo wajukuu wa Abii lahab.
 
Juhudi ndo uue?
Aliwaachia laana hadi leo, eti ukiua kafir utaingia peponi nako utapewa bikira.

Dah!! Bikira peponi!!!
Hapana, umechanganya mambo au umedanganywa ukadanyika, kuua ni "kital".
 
Aisee kama hutaki kuishi Tanzania, nenda Sudan , Egypt, Iran au Saudi Arabia wanaoshika Sharia Law.
Unajua ndani ya Sharia Law , Mkristo haruhusiwi kumuomba Mungu wake na adhabu yake ni kifo. Kuna Faida Gani kuwa na sheria isiyompa mtu uhuru wa kuabudu au kuamini anachokiamini.
Hataki tuwe na rais mwanamke huyu. Sijui anamuonea wivu mama Samia!!.
 
Quran ilishuka tu, au ni mawazo ya wanazuoni na mtume?
Qur'an ineshushwa kidogo kidogo kwa muda wa. Miaka 23. Ni kitabu pekee ambacho toka kushushwa kwake kimehifadhiwa vifuani mwa watu wengi zaidi mpaka leo hii.
 
Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.

Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.

Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.

Watanzania tusiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.

Tujadiliane.
Unataka tuanze kuuna kama sudan
 
Hataki tuwe na rais mwanamke huyu. Sijui anamuonea wivu mama Samia!!.
Siyo kweli, hakuna jwenye Qur'an ilipokataza kuwa na Rais mwanamke.

Waliokudanganya ni wenye chuji na Uislam.

Sharia haifati mawazo ya binaadam, inafata mafundisho ya Mwenyezi Mungu.
 
Unataka tuanze kuuna kama sudan
Sudan wanauwana kwa ujinga wao na tamaa zao za kugombania mali, siyo sharia inayowafanya wauwane.

Tanzania suluhusho la matatizo yetu ni sharia tu. Hakuna kingine.
 
Mtu chake, hongera.
Isome Qur'an, ipo kwa ajili ya walimwengu wote haina mwenyewe. Ni njema sana.

Utaipenda ukiisoma, maswali yote ya namna ya kuishi yanayokutatiza utapata ufumbuzi wake.
 
Sudan wanauwana kwa ujinga wao na tamaa zao za kugombania mali, siyo sharia inayowafanya wauwane.

Tanzania suluhusho la matatizo yetu ni sharia tu. Hakuna kingine.
Ile nchi inaendeshwa kwa sheria ya dini ya kiislam
Hatutaki kama wewe unataka si uende huko wanakoendesha kwa hizo sharia za dini
 
Back
Top Bottom