Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Ndiyo hukumu yake hiyo, kushauriwa tu, au wewe hukuipenda hiyo?

Au unaijuwa nyingune?
Kumbe Alah hajaweka ADHABU kwa asiyevaa hijabu.. ila ameweka USHAURI.

Na Ushauri ni optional na sio lazima.

Sasa Ni Kwa nini hizo nchi zenye Sharia zimeweka ADHABU na sio Ushauri?
 
Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.

Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.

Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.

Watanzania tusiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.

Tujadiliane.
Naunga mkono hoja.. Sharia ndio muafaka kwa maendeleo ya Tanzania, na uzinzi utapungua maana bongo kuna ngono sana pengine kuliko nchi zote za Afrika Mashariki.
 
Kumbe Alah hajaweka ADHABU kwa asiyevaa hijabu.. ila ameweka USHAURI.

Na Ushauri ni optional na sio lazima.

Sasa Ni Kwa nini hizo nchi zenye Sharia zimeweka ADHABU na sio Ushauri?
Nchi ipi unayoiongelea?

Mimi siijuwi.


Usifate uzushi na chuki za mashetani kwenye mitandao.

Sharia ni njema sana.
 
Nchi ipi unayoiongelea?

Mimi siijuwi.


Usifate uzushi na chuki za mashetani kwenye mitandao.

Sharia ni njema sana.
Usijitoe ufahamu. Hizo nchi unazijua. Na mojawapo ni IRAN.

Sasa jibu swali langu.

Ni Kwa nini hizo nchi zenye Sharia zimeweka ADHABU na sio Ushauri?
 
K
Soma jinsi sharia ilivyofanikiwa kudhibiti maovu Somalia👇🏾

Sura hii inazingatia kama kuna mafunzo ya kujifunza kutokana na uzoefu wa mahakama za Sharia za Mogadishu ambayo ni muhimu kwa amani na upatanisho nchini Somalia. Mahakama hizi ziliibuka mwaka wa 1992 katika kukabiliana na kuanguka kwa serikali. Inasema kwamba mahakama za Sharia zilifaulu pale ambapo nyingine zilishindwa kwa sababu wakati huo huo zilijenga kanuni, mamlaka na desturi zinazojulikana za kitamaduni na kidini, na wakati huohuo zikijibu madai ya wakati huo kwa vitendo. Masomo mawili muhimu zaidi kutoka kwa uzoefu wa mahakama ni: (a) haki nchini Somalia haiwezi kutenganishwa na desturi na mijadala inayohusiana na Sharia; na (b) ni vigumu kuanzisha mamlaka halali ya kisiasa ikiwa nafasi ya kisiasa na viongozi wa kisiasa wanatazamwa na watu wa eneo hilo kupingana na kupinga kanuni za Sharia.

Soma zaidi: The Sharia Courts of Mogadishu: Lessons for Peace and Reconciliation
Hizo sharia ni primitive, hazina nafasi karne hii
 
K

Hizo sharia ni primitive, hazina nafasi karne hii
Kama ipi mojawapo?

Mbona zilizopo ambazo kwako wewe siyo orimitive hatuzioni zikitusaidia leo miaka zadi ya 6o baada ya uhuru? Matatizo yetu badala ya kwisha yanaongezeka.

Ufumbuzi wetu ni sharia tu.
 
Kwani wakristo hawataki ufisadi na wizi udhibitiwe?
Yaani unawafanya watu kama mazuzu,huko China na Marekani wanadhibitije ufisadi na wizi?Majimbo ya Adamawa,Anambra na Abia huko Nigeria yanayo observe sharia ndo yanayoongoza kwa wizi na ufisadi.Kumbuka ndiko kuna raslimali nyingi za gesi na mafuta.Sharia hazitajirishi jamii bali kunufaisha mtu mmoja mmoja na kuwafanya majority kuwa maskini.Usituchukulie poa
 
Yaani unawafanya watu kama mazuzu,huko China na Marekani wanadhibitije ufisadi na wizi?Majimbo ya Adamawa,Anambra na Abia huko Nigeria yanayo observe sharia ndo yanayoongoza kwa wizi na ufisadi.Kumbuka ndiko kuna raslimali nyingi za gesi na mafuta.Sharia hazitajirishi jamii bali kunufaisha mtu mmoja mmoja na kuwafanya majority kuwa maskini.Usituchukulie poa
Merekani ufisadi upi uliozuiliwa? Watu huko mpaka wanaruhusiwa kuoana wanaume kwa wanaume, wanawake kwa wanawake. Wanaruhusiwa kuoana mpaka na wanyama, kama si ufisadi ni nini huo?


China watu wanauliwa hovyo kwa dini zao tu, kama si ufisadi ni nini huo?

Au huelewi maana ya neno ufisadi tukupe darsa?

Mfumbuzi wa matatizo wa Tanzania ni sharia tu. No more no less.
 
Kama ipi mojawapo?

Mbona zilizopo ambazo kwako wewe siyo orimitive hatuzioni zikitusaidia leo miaka zadi ya 6o baada ya uhuru? Matatizo yetu badala ya kwisha yanaongezeka.

Ufumbuzi wetu ni sharia tu.
Fanyeni transformation kwenye taasisi zenu ambazo haziishiwi migogoro ndo tufuate mifano hai.Kuandama mwezi tu kunawagombanisha mar mmeuza viwanja mara mnatumia taasisi zenu kuingiza mali za watu binafsi.
Kibaya zaidi hamuwezi hata kuchangia maendeleo ya dini yenu bila misaada.Nyie kwa hapa Tanzania hamfai kuwa mfano wa watu kufuata mafundisho yenu.Na ndo maana rate ya waislamu kubatizwa hapa.nchini ni kubwa sana
 
Merekani ufisadi upi uliozuiliwa? Watu huko mpaka wanaruhusiwa kuoana wanaume kwa wanaume, wanawake kwa wanawake. Wanaruhusiwa kuoana mpaka na wanyama, kama si ufisadi ni nini huo?


China watu wanauliwa hovyo kwa dini zai tu, kama si ufisadi ni nini huo?

Au huelewi maana ya neno ufisadi tukupe darsa?

Mfumbuzi wa matatizo wa Tanzania ni sharia tu. No more no less.
Jamii nyingi Afrika Mashariki ambako kuna uislam kwa kasi ndo zinaongoza kwa watu kufirana ikiwemo Tanga,Zanzibar,Daresalaam,Mombasa,Lamu na kadhalika.Kuhusu kuuana unakokusema China ni kidogo ukilinganisha na Afghan etal
 
Fanyeni transformation kwenye taasisi zenu ambazo haziishiwi migogoro ndo tufuate mifano hai.Kuandama mwezi tu kunawagombanisha mar mmeuza viwanja mara mnatumia taasisi zenu kuingiza mali za watu binafsi.
Kibaya zaidi hamuwezi hata kuchangia maendeleo ya dini yenu bila misaada.Nyie kwa hapa Tanzania hamfai kuwa mfano wa watu kufuata mafundisho yenu.Na ndo maana rate ya waislamu kubatizwa hapa.nchini ni kubwa sana
Kuandama mwezi kuna tatizo gani, lini mwezi uliacha kuandama?


Sharia ndiyo mfumbuzi wa matatizo ya Tanzania.
 
Jamii nyingi Afrika Mashariki ambako kuna uislam kwa kasi ndo zinaongoza kwa watu kufirana ikiwemo Tanga,Zanzibar,Daresalaam,Mombasa,Lamu na kadhalika.Kuhusu kuuana unakokusema China ni kidogo ukilinganisha na Afghan etal
Sasa Tanzania kuna sharia? Naona unarusha mawe kizani.


Ufumbuzi wa matatizo ya Tanzania ni sharia.
 
Kumbe Alah hajaweka ADHABU kwa asiyevaa hijabu.. ila ameweka USHAURI.

Na Ushauri ni optional na sio lazima.

Sasa Ni Kwa nini hizo nchi zenye Sharia zimeweka ADHABU na sio Ushauri?
Kumbuka FaizaFoxy anaruhusiwa kutumia takiya (uongo mtakatifu wa Allah) akushawishi , mbane akupe kifungu cha sharia
 
Bakwata wanafata sheria zilizopo Tanzania, ufisadi umejaa mpaka kunanuka.

Sheria ndio zinasababisha ufisadi?
Sheria zilizopo Tanzania zinasababishaje Bakwata kuwa na ufisadi hadi kunuka...?
Waislam hawamuogopi hata Mungu?
 
NNdvyo mnavyolishana ujinga huko? Sheria za Kanisa ni zipí?
Kwa hiyo katiba hii ya sasa ya Tanzania inayochota sheria nyingi za kanisa zilizofundishwa pia ktk vyuo vikuu vya elimu ya juu kutoa wanasheria, mahakimu, majaji, wana psycholojia n.k imefeli nchini Tanzania.

Je kufeli kwake ni kutokana sisi kuchukua imani, mafundisho na falsafa mageni yaliyokuja kwa merikebu hivyo ni bora sasa kujaribu yale yaliyofika kwa majahazi au tuamue kuenzi mila tamaduni na elimu za busara za kiAfrika ambazo tumezipuuza na kuzitupa kama siyo kuzizika kabisa ?

Wachambuzi wa sheria za kisekula wanasema katiba na sheria nyingi za nchi mbalimbali zimechota na kukopa sheria za kanisa na kuziweka ndani ya katiba zao.

Hili si jambo geni kwani kanisa kama taasisi kongwe na kubwa ililazimu kuwa na sheria, kanuni na taratibu ili liweze kujiongoza kama taasisi na pia waumini wake .

Ilipokuja mataifa kuundwa wafalme na washauri wao walibaini umuhimu wa taifa au nchi kuwa na utaratibu wa jinsi ya kujiendesha na hivyo watu makini waliokuwa washauri wa wafalme au marais waliamua na kugundua kanisa tayari kwa karne nyingi walikuwa mbele kwa kujiundia na utaratibu wa kujiendesha na kutoa hukumu n.k n.k kuhusu masuala mbalimbali ...

Pepa ya mtanziko baina ya sheria za kidini na zile za ki-secular umefanyiwa utafiti mkubwa na wanazuoni wa University of Chicago nchini Marekani

University of Chicago
https://chicagounbound.uchicago.edu › ...PDF
Conflicts between Religious and Secular Law

by RH Helmholz · Cited by 16 — The canon law claimed the right to decide all such disputes. So did the courts of the King. The common law claimed...
 
Back
Top Bottom