Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Nambie kati ya nchi zinazoongoza kwa raia wake kuwa na furaha duniani kama kuna nchi ya kiislamu
Furaha kwa vigezo vipi?

Nchi za magharibi furaha yao ya kwanza ni ushoga, wewe ndiyo kigezo chako hicho?
 
Nambie kati ya nchi zinazoongoza kwa raia wake kuwa na furaha duniani kama kuna nchi ya kiislamu
Furaha ipi yaani mwanamume kuolewa na mwanamume mwenzake ni furaha ???
 
Hakika hili ni jambo jema.


Ahsante umeliona hilo.
Sema kwa sauti na nami naunga mkono Allah na mtune wake wa mwisho muhammad sio Kigezo chenu chema sana.

HUYU ndie kigezo Chetu chema ktk ulimwengu kuifuata na kuiishi Sharia!
“uswatun hasanah”

لَّقَدْ كَانَ لَكُمْ فِي رَسُولِ اللَّهِ أُسْوَةٌ حَسَنَةٌ لِّمَن كَانَ يَرْجُو اللَّهَ وَالْيَوْمَ الْآخِرَ وَذَكَرَ اللَّهَ كَثِيرًا 21
 
Furaha ipi yaani mwanamume kuolewa na mwanamume mwenzake ni furaha ???
Kama wamekubaliana wewe kinachokuuma ni kipi, mbona mchezo huo una asili yake huko zinakotoka sharia
 
Furaha kwa vigezo vipi?

Nchi za magharibi furaha yao ya kwanza ni ushoga, wewe ndiyo kigezo chako hicho?
Kama wamekubaliana wewe kinachokuuma ni kipi, mbona mchezo huo una asili yake huko zinakotoka sharia
 
Hapo Iran tu kila kukicha sasa ivi ni maandamano ...watoto warembo wanataka wajiachie ....unywele upepe ..ww balaazuri unataka sharia

Every where sasa iv mambo ya sharia tupa kule ... May i doneaia na wao ni kwa sababu ni umaskin tu umekidhiri
 
Tufuate sheria ya mwaka 1967 inayokataza masuala ya ushoga.
20230408_001518.jpg

20230408_001518.jpg
 

Attachments

  • 20230408_001524.jpg
    20230408_001524.jpg
    111 KB · Views: 1
  • 20230408_001518.jpg
    20230408_001518.jpg
    121.1 KB · Views: 1
Kama wamekubaliana wewe kinachokuuma ni kipi, mbona mchezo huo una asili yake huko zinakotoka sharia
Tumuulize hakimu aliyemfunga mtu miaka 30 kwa kuwa shoga Tanzania hii, juzi juzi, kinamuuma nini.

Pia tumuulize Museveni kuweka sheria ya ushiga ni jela maisha, kinamuuma nini?

Sharia unasema imetokea wapi?


Huna ufumbuzi wa matatizo ya Tanzania zaidi au pungufu ya sharia.

Watu kama wewe tunawafahamu kwanini mnaiogopa sharia.
 
Tumuulize hakimu aliyemfunga mtu miaka 30 kwa kuwa shoga Tanzania hii, juzi juzi, kinamuuma nini.

Pia tumuulize Museveni kuweka sheria ya ushiga ni jela maisha, kinamuuma nini?

Sharia unasema imetokea wapi?


Huna ufumbuzi wa matatizo ya Tanzania zaidi au pungufu ya sharia.

Watu kama wewe tunawafahamu kwanini mnaiogopa sharia.
Tatizo la nchi yetu ni umaskini na uongozi mbovu, sharia itaondoaje umaskini zaidi ya kuuzidisha? Una mawazo mgando
 
Tatizo la nchi yetu ni umaskini na uongozi mbovu, sharia itaondoaje umaskini zaidi ya kuuzidisha? Una mawazo mgando
Tanzania siyo nchi masikini ubadhirifu mwingi. Sharia itadhibiti ubadhirifu.
 
Tanzania siyo nchi masikini ubadhirifu mwingi. Sharia itadhibiti ubadhirifu.
Wakiweza kudhibiti Ubadhilifu Bakwata na misikitini ndo tutapata msingi wa kujadili kuhusu Sharia.
Umeolewa na sheikh nini isije ikawa mwenzetu unataka sharia (Caliphate)Ili mmeo awe pia na political powers (Halifa)
 
Wakiweza kudhibiti Ubadhilifu Bakwata na misikitini ndo tutapata msingi wa kujadili kuhusu Sharia.
Umeolewa na sheikh nini isije ikawa mwenzetu unataka sharia (Caliphate)Ili mmeo awe pia na political powers (Halifa)
Bakwata wanafata sheria za conmon kaw zikizopo Tanzania sasa hivi. Ndizo hizo tunataka zibadilike ziwe sharia zenye ufumbuzi wa matatizo.

Unategemea taasisi iliyoanzishwa na serikali iwe na sheria zipi? Fikiri japo kiduchu.
 
Bakwata wanafata sheria za conmon kaw zikizopo Tanzania sasa hivi. Ndizo hizo tunataka zibadilike ziwe sharia zenye ufumbuzi wa matatizo.

Unategemea taasisi iliyoanzishwa na serikali iwe na sheria zipi? Fikiri japo kiduchu.
Bakwata ni taasisi ya Kiislamu na.muongozo wake ni Quran.Katika pitapita zangu baada ya uzi wako nimegundua nchi zote Afrika hazitumii sharia moja kwa moja isipokuwa Somalia na Sudan pekee.Pamoja na kuwa na sharia bado wanapractice common law meaning sharia ina mapungufu to some extent
 
Qur'an ineshushwa kidogo kidogo kwa muda wa. Miaka 23. Ni kitabu pekee ambacho toka kushushwa kwake kimehifadhiwa vifuani mwa watu wengi zaidi mpaka leo hii.
Huu ni uongo wa kiislam issue inakuja vitabu vya uislam vinawaumbua after tafsiri... Al lah anasema Malaika hutumia Miaka elfu moja kufika alipo mbingu sijui ya saba so hizo Ayah kama alishusha Jibril aliyeshuka Duniani na umbo la Dihya ibn Khalifa al-Kalbi shoga wake Apostle wenu ambaye ndio alikuwa wake handsome sana huko Mecca na jirani yake Apostle wenu... so kama aya za mkupuo wa kwanza zilishuka kutoka kwa All lah basi safari ya pili hadi leo ingekuwa bado... Uislam una survival kwa uongo uongo tu na imeruhisiwa hiyo... cult

KORAN pia inasema chapter 6:9 ihawezi kutuma Malaika kwa mfano wa Binadamu.
Contradiction zimejaa kwenye Koran na imeandikwa Mkiona Contradiction kwenye Koran basi hicho sio kitabu cha AL lah... na ndio ukweli so issue za Sharia ni ushatwain
 
Huu ni uongo wa kiislam issue inakuja vitabu vya uislam vinawaumbua after tafsiri... Al lah anasema Malaika hutumia Miaka elfu moja kufika alipo mbingu sijui ya saba so hizo Ayah kama alishusha Jibril aliyeshuka Duniani na umbo la Dihya ibn Khalifa al-Kalbi shoga wake Apostle wenu ambaye ndio alikuwa wake handsome sana huko Mecca na jirani yake Apostle wenu... so kama aya za mkupuo wa kwanza zilishuka kutoka kwa All lah basi safari ya pili hadi leo ingekuwa bado... Uislam una survival kwa uongo uongo tu na imeruhisiwa hiyo... cult

KORAN pia inasema chapter 6:9 ihawezi kutuma Malaika kwa mfano wa Binadamu.
Contradiction zimejaa kwenye Koran na imeandikwa Mkiona Contradiction kwenye Koran basi hicho sio kitabu cha AL lah... na ndio ukweli so issue za Sharia ni ushatwain
Ushajijibu kwa kusema "sijui".

Kama hujuwi si uliza upewe darsa.

Tunataka Tanzania mafisadi wauliwe, kama sharia inavyotuongoza. Au unasemaje?
 
Back
Top Bottom