Tanzania, mmedhibiti mijadala kwenye radio na Televishen, wanaharakati na wapinzani wamehamia space na zoom mmewafuata kuomba mic; It's Shame

Tanzania, mmedhibiti mijadala kwenye radio na Televishen, wanaharakati na wapinzani wamehamia space na zoom mmewafuata kuomba mic; It's Shame

Tatizo lipo wapi? Kuna mtu ameshikiwa mtutu kwenda upande wowote? Mnapigania uhuru lakini mnataka uhuru uwe upande mmoja tu. Kama wao wanafanya mijadala yao na wanapata watu wachache, nyie mnaopata watu wengi (hadi kutoka KENYA😊) mnapata hofu ya nini? Serikali iache kuongea na wananchi kisa kwa kufanya hivyo inaingilia uhuru wa "wanaharakati"? 🙄
Kwa utumbo huu ulioandika kile kitabu chako cha shushushu ninani nakitia moto.
 
Tatizo lipo wapi? Kuna mtu ameshikiwa mtutu kwenda upande wowote? Mnapigania uhuru lakini mnataka uhuru uwe upande mmoja tu. Kama wao wanafanya mijadala yao na wanapata watu wachache, nyie mnaopata watu wengi (hadi kutoka KENYA😊) mnapata hofu ya nini? Serikali iache kuongea na wananchi kisa kwa kufanya hivyo inaingilia uhuru wa "wanaharakati"? 🙄
Umeghafilika hadi hujamuelewa mleta mada.
 
Tatizo lipo wapi? Kuna mtu ameshikiwa mtutu kwenda upande wowote? Mnapigania uhuru lakini mnataka uhuru uwe upande mmoja tu. Kama wao wanafanya mijadala yao na wanapata watu wachache, nyie mnaopata watu wengi (hadi kutoka KENYA😊) mnapata hofu ya nini? Serikali iache kuongea na wananchi kisa kwa kufanya hivyo inaingilia uhuru wa "wanaharakati"? 🙄
Yaani wewe ndiyo Una moyo mdogo tena wakike kabisaa!!!
Ukiguswa kidogo unakuwa kama jongoo moyo wako unakunja,wewe ni jasusi gani usiyeweza kuvumilia mawazo ya wengine mpaka unablock?
Acha roho ya kike hiyoooo
 
Serikali na chama tawala wamedhibiti watu kusema na kujadiliana kwenye TV na Radio Kwa manufaa ya afya ya akili ya Watanzania. Wakafungia magazeti na baadhi ya online tv. Wakatunga sheria Kali na kuajiri TCRA wapambane na wakosoaji wa serikali.

Kwa kuwa wanaozuiwa kusema ni wale wenye akili timamu, wametafuta mbinu mpya ya kujadiliana bila kuvunja sheria ; wameanzisha club house, space na other online meetings. Kwa roho zetu mbaya tukaamua kuwazimia internet wakahamia kwenye VPN somehow expensive but walijua bure ni ghali. Baada ya mbinu zenu kukwama na tv kukosa mvuto mkanuna.

Kipindi mmenuna mkasikia Maria Sarungi space Ina host thousands of people world wide, mkasikia space ni zaidi ya mkutano wa siasa. Wapinzani na wanaharakati wakanunua Uhuru wao kwa mlango wa nyuma msioweza kudhibiti, wakaanza kuimarika na Sasa wameimarika mara dufu.

What's next, badala mdai Uhuru wa vyombo vya habari mkarudi kwao kuwaomba mjiunge nao. Mkawa observers lakini kwa kuwa mnakerwa na ububu mliojipa mkaamua liwalo na liwe Bora mfukuzwe chama lakini mseme. Sasa hivi mnang'ang'ania kupewa Mic na msipopewa mnalalamika space IPO biased. Kwa kuwa wanaondesha midahalo Wana hekima n wamesoma wakaeleimika wamekuwa wakiwapa mic na kuwafundisha hata namna ya kutumia technology mpya. Shukuruni.

Leo hii ambapo Kuna radio na Televishen nimeshtushwa kusikia hata miadala ya serikali kuhusu rasimali na see mbalimbali mmeipeleka space, zoom nk Je mnaona ubaya Gani kufungulia radio na Televishen I Hadi mkaongelee space ambapo Kuna kundi ya walioelimika TU? Mtawafikiaje wanyonge? Mmepeleka umeme wa REA then mkazima maoni, wanNchi wananufaikaje na habari?

Jaribuni kufikiri ni namna Gani mmekosa Uhuru wa Habari na kutoa maoni kwa makatazo yenu yasiyo n tija. Jiulizeni Kati yenu na wao Nani analoose? Wameanza kujirekodi na kusambaza kupitia WhatsApp so wananchi wanapata one side info ambazo nivigumu kwenu CCM na serikali kuzidisprove coz mijadaala kwenye TV mnakuwa wenyewe. Tafute
There are so many ways in which you can kill a rat. so long you use your intelligence properly.
 
Tatizo lipo wapi? Kuna mtu ameshikiwa mtutu kwenda upande wowote? Mnapigania uhuru lakini mnataka uhuru uwe upande mmoja tu. Kama wao wanafanya mijadala yao na wanapata watu wachache, nyie mnaopata watu wengi (hadi kutoka KENYA[emoji4]) mnapata hofu ya nini? Serikali iache kuongea na wananchi kisa kwa kufanya hivyo inaingilia uhuru wa "wanaharakati"? [emoji849]
Nilisema kitu fulani Twitter, nikapewa Block

Chahali ana Roho nzuri na (huenda) anatamani kuona Tanzania inasonga mbele

Ila

The guy is a Slow learner, he doesn't see things when they are coming until when it's too late

Mifano ni mingi sana

Chahali alikuwa akimuunga mkono JPM hadi 2018

Chahali ni moja wa watu waliokiwa wakitaka Mbowe asiwe m/kiti 2019

Chahali alishindwa kujua kwamba kesi ya Mbowe ni ya Michongo, hadi baada ya kuanza kusoma proceedings kwa MMM (kwa siri sana)

Chahali haamini kama Space inaweza leta mabadiliko

Chahali anamchukia sana Maria (kisa kamzidi influence)

Kubwa kuliko yote ni hili...

... Chahali anaamini SSH ataleta maendeleo Tz

Afu cha ajabu huyu Chahali anajiita Jasusi, sijui ni jasusi yupi mjinga kiasi cha Chahali kwamba huwa hawezi kuona mambo until when it's too late

Na akiambiwa ukweli kama huu (ambao haupendi) anaBlock watu

SHAME
 
niliwahi kufanya kazi kwenye media house moja kubwa nchini tz enzi za utawala wa magufuli.

aisee asikwambie mtu, kuna censorship ya hatari kudhibiti habari ambazo zina maslahi mapana kwa umma.

chief news editors wanakimbizana kufanya proofing ili kuhakikisha kila habari inayotoka haiendi kinyume na utawala.
Umeita Habari zenye manufaa kwa nchi?

Sio kwa ubaya, ila naona wewe ni punguani

Yaani kipindi cha JPM Habari zilizokuwa zinarushwa huko TBC and the likes ni zile zenye manufaa kwa nchi?

Habari za kina nabii Titto zilikuwa zinarushwa kwenye utawala Gani?

Au zenye manufaa ni zile ambazo JPM alikuwa akifanisha barakoa na nyonyo?

Sema Kulikiwa na censorship ya kuhakikisha Habari za Upinzani hazipandi kwenye media
 
Serikali na chama tawala wamedhibiti watu kusema na kujadiliana kwenye TV na Radio Kwa manufaa ya afya ya akili ya Watanzania. Wakafungia magazeti na baadhi ya online tv. Wakatunga sheria Kali na kuajiri TCRA wapambane na wakosoaji wa serikali.

Kwa kuwa wanaozuiwa kusema ni wale wenye akili timamu, wametafuta mbinu mpya ya kujadiliana bila kuvunja sheria ; wameanzisha club house, space na other online meetings. Kwa roho zetu mbaya tukaamua kuwazimia internet wakahamia kwenye VPN somehow expensive but walijua bure ni ghali. Baada ya mbinu zenu kukwama na tv kukosa mvuto mkanuna.

Kipindi mmenuna mkasikia Maria Sarungi space Ina host thousands of people world wide, mkasikia space ni zaidi ya mkutano wa siasa. Wapinzani na wanaharakati wakanunua Uhuru wao kwa mlango wa nyuma msioweza kudhibiti, wakaanza kuimarika na Sasa wameimarika mara dufu.

What's next, badala mdai Uhuru wa vyombo vya habari mkarudi kwao kuwaomba mjiunge nao. Mkawa observers lakini kwa kuwa mnakerwa na ububu mliojipa mkaamua liwalo na liwe Bora mfukuzwe chama lakini mseme. Sasa hivi mnang'ang'ania kupewa Mic na msipopewa mnalalamika space IPO biased. Kwa kuwa wanaondesha midahalo Wana hekima n wamesoma wakaeleimika wamekuwa wakiwapa mic na kuwafundisha hata namna ya kutumia technology mpya. Shukuruni.

Leo hii ambapo Kuna radio na Televishen nimeshtushwa kusikia hata miadala ya serikali kuhusu rasimali na see mbalimbali mmeipeleka space, zoom nk Je mnaona ubaya Gani kufungulia radio na Televishen I Hadi mkaongelee space ambapo Kuna kundi ya walioelimika TU? Mtawafikiaje wanyonge? Mmepeleka umeme wa REA then mkazima maoni, wanNchi wananufaikaje na habari?

Jaribuni kufikiri ni namna Gani mmekosa Uhuru wa Habari na kutoa maoni kwa makatazo yenu yasiyo n tija. Jiulizeni Kati yenu na wao Nani analoose? Wameanza kujirekodi na kusambaza kupitia WhatsApp so wananchi wanapata one side info ambazo nivigumu kwenu CCM na serikali kuzidisprove coz mijadaala kwenye TV mnakuwa wenyewe. Tafute
Tv na radio ni media zilizopitwa na wakati sana,natabiri kuwa ifikapo mwaka 2023 kila mtz atakuwa na access na spaces.
 
Yaani wewe ndiyo Una moyo mdogo tena wakike kabisaa!!!
Ukiguswa kidogo unakuwa kama jongoo moyo wako unakunja,wewe ni jasusi gani usiyeweza kuvumilia mawazo ya wengine mpaka unablock?
Acha roho ya kike hiyoooo
Kwani mkuu we uliwahi kuamini huyo jamaa Ni jasusi?
 
Kwani kuichukia serikali ni kosa? Unategemea familia za lisu azory na ben ziiipende serikali?
Huyu hana chuki na Serikali, ana chuki na Samia binafsi! Serikali kuchukiwa kawaida sana sababu huwezi kuridhisha watu wote ndani ya nchi yoyote
 
Serikali na chama tawala wamedhibiti watu kusema na kujadiliana kwenye TV na Radio Kwa manufaa ya afya ya akili ya Watanzania. Wakafungia magazeti na baadhi ya online tv. Wakatunga sheria Kali na kuajiri TCRA wapambane na wakosoaji wa serikali.

Kwa kuwa wanaozuiwa kusema ni wale wenye akili timamu, wametafuta mbinu mpya ya kujadiliana bila kuvunja sheria ; wameanzisha club house, space na other online meetings. Kwa roho zetu mbaya tukaamua kuwazimia internet wakahamia kwenye VPN somehow expensive but walijua bure ni ghali. Baada ya mbinu zenu kukwama na tv kukosa mvuto mkanuna.

Kipindi mmenuna mkasikia Maria Sarungi space Ina host thousands of people world wide, mkasikia space ni zaidi ya mkutano wa siasa. Wapinzani na wanaharakati wakanunua Uhuru wao kwa mlango wa nyuma msioweza kudhibiti, wakaanza kuimarika na Sasa wameimarika mara dufu.

What's next, badala mdai Uhuru wa vyombo vya habari mkarudi kwao kuwaomba mjiunge nao. Mkawa observers lakini kwa kuwa mnakerwa na ububu mliojipa mkaamua liwalo na liwe Bora mfukuzwe chama lakini mseme. Sasa hivi mnang'ang'ania kupewa Mic na msipopewa mnalalamika space IPO biased. Kwa kuwa wanaondesha midahalo Wana hekima n wamesoma wakaeleimika wamekuwa wakiwapa mic na kuwafundisha hata namna ya kutumia technology mpya. Shukuruni.

Leo hii ambapo Kuna radio na Televishen nimeshtushwa kusikia hata miadala ya serikali kuhusu rasimali na see mbalimbali mmeipeleka space, zoom nk Je mnaona ubaya Gani kufungulia radio na Televishen I Hadi mkaongelee space ambapo Kuna kundi ya walioelimika TU? Mtawafikiaje wanyonge? Mmepeleka umeme wa REA then mkazima maoni, wanNchi wananufaikaje na habari?

Jaribuni kufikiri ni namna Gani mmekosa Uhuru wa Habari na kutoa maoni kwa makatazo yenu yasiyo n tija. Jiulizeni Kati yenu na wao Nani analoose? Wameanza kujirekodi na kusambaza kupitia WhatsApp so wananchi wanapata one side info ambazo nivigumu kwenu CCM na serikali kuzidisprove coz mijadaala kwenye TV mnakuwa wenyewe. Tafute
Hapa unatumika ule weledi wa kitanzania
 
Back
Top Bottom