Zambia wamefunga border "temporary" mnajifanya hamuelewi hili neno? Na sababu zao waliziweka wazi na sisi Watanzania tukaheshimu uwamuzi wao mbona nyie majirani feki wa East Africa ukitoa Burundi hamheshimu uamuzi wa Tanzania? Mkiona tunahatarisha usalama wenu basi fungeni mipaka yenu. Tupunguze porojo tufanye vitendo halafu mwisho wa siku tutajua ukweli.
Hapo ndipo mnakosea. Hafanyi kwa hisia, utaratibu wa wenzake upo tofauti na wake. Unaweza kwenda kwenye kipindi ambacho hakikuhusu kisa marafiki zako wameingia. Mind you mimi ni pro lockdown, tena proper lockdown siyo partial lockdown lakini huu ujirani wa kinafiki unaanza kunikera.Hata wewe ulipogoma kuhudhuria darasa, wengine waliendelea na masomo, ila sasa kwa hili mkulu wenu anaongoza taasisi ya uraisi, hivyo sio vizuri afanye maamuzi kwa mihemko kwa hisia zake, kila anachokifanya kinawahusu mamilioni ya watu, akikaidi ushauri wa kitaalam anakosea wote hao.
Acha siasa sikiliza hii.Temporary wakati mumewaharibia mji wao wa Nakonde kwa kujaza kirusi huko, yaani huo mji uliopakana na nyie ndio unaongoza Zambia kwa kirusi, jameni Wakenya wa Namanga wajifunze kwa hili maana wakizembea ndio wataongoza hapa Kenya....
Feelings pelekea nyanya yakoUnajifanya mjuaji kama vile Kenya ni States. Nyie wapumbavu ni wategemea misaada kama sisi tu. Wizara yenu inapokea misaada ya Covid 19 inaishia kunywa chai ya mamilioni, demokrasia yenu ipo mikononi ya Kiambu mafia, kama kusoma kwingi na kujua sheria ingekuwa ina maana Kenya leo hii Murkomen asingekuwa backbencher pale kwenye senate. Tuweke pembeni hilo, nani ambaye hafahamu Nairobi watu wamerudi kuishi maisha ya kawaida na lockdown yenu feki huko Eastleigh kuna bomu zuri sana linatengenezwa la Corona na mark my words next month mtatoa hiyo lockdown feki ili uchumi uende na mtapata namba kubwa za wagonjwa kuliko sasa na hii habari ya kufuatilia Tanzania itaisha kwa upesi kama ilivyoanza. Kama King Kaka alivyowaita Wajinga nyinyi.
Hamna feelings hapo umeanza kutetepa. Nyie mtadanganya Waganda na Wanyarwanda tu. Sisi tunawafahamu mna kelele nyingi lakini kwenye ground vitu tofauti. Watu mnaoshabikia ukabila bila reasoning na kuvumilia wizi wa kupindukia toka kwa wanasiasa wenu hamna la kutufundisha sisi. Siku bwana Kagwe akirudisha pesa ya chai labda nitakusikiliza.Feelings pelekea nyanya yako
What they do not understand is that the virus is not just a respiratory disease, it affects the whole body. New studies from patients have shown that:-Hata wewe ulipogoma kuhudhuria darasa, wengine waliendelea na masomo, ila sasa kwa hili mkulu wenu anaongoza taasisi ya uraisi, hivyo sio vizuri afanye maamuzi kwa mihemko kwa hisia zake, kila anachokifanya kinawahusu mamilioni ya watu, akikaidi ushauri wa kitaalam anakosea wote hao.
Feelings pelekea nyanya yako. Bringing unrelated issues to a discussion.Hamna feelings hapo umeanza kutetepa. Nyie mtadanganya Waganda na Wanyarwanda tu. Sisi tunawafahamu mna kelele nyingi lakini kwenye ground vitu tofauti. Watu mnaoshabikia ukabila bila reasoning na kuvumilia wizi wa kupindukia toka kwa wanasiasa wenu hamna la kutufundisha sisi. Siku bwana Kagwe akirudisha pesa ya chai labda nitakusikiliza.
Anko mambo mengine ni ya usalama wa nchi So.. Tupotezee tuu Anko hatuwez kuwa fata upepo ka nyieHata wewe ulipogoma kuhudhuria darasa, wengine waliendelea na masomo, ila sasa kwa hili mkulu wenu anaongoza taasisi ya uraisi, hivyo sio vizuri afanye maamuzi kwa mihemko kwa hisia zake, kila anachokifanya kinawahusu mamilioni ya watu, akikaidi ushauri wa kitaalam anakosea wote hao.
"Feelings pelekea nyanya yako" hii ina relate na na discussion au siyo?Feelings pelekea nyanya yako. Bringing unrelated issues to a discussion.
Hapo ndipo mnakosea. Hafanyi kwa hisia, utaratibu wa wenzake upo tofauti na wake. Unaweza kwenda kwenye kipindi ambacho hakikuhusu kisa marafiki zako wameingia. Mind you mimi ni pro lockdown, tena proper lockdown siyo partial lockdown lakini huu ujirani wa kinafiki unaanza kunikera.
What they do not understand is that the virus is not just a respiratory disease, it affects the whole body. New studies from patients have shown that:-
i) The virus can cause blood clots in your circulatory system leading to strokes
ii) The virus can also rapture vessels in your toes causing red lesions what is now called covid toes.
iii) The virus also affects the central nervous system causing loss of taste and smell, dizziness and unconsciousness
iv) It might also be sexually transmitted after researchers found the virus in semen.
v) Tears can also transmit the virus, after the huge loads of the virus were found in tears of patients.
Apparently you are too slow to even realize when a person is sarcastically dismissing your unrelated arguments."Feelings pelekea nyanya yako" hii ina relate na na discussion au siyo?
ππHotuba zake zimejaa hasira sana akitukana watendaji na kusema wanafanya upuzi, mara anasema corona itakufa ikiingia kanisani, nashangaa sana kama hivyo ndivyo wataalam wa Tanzania humshauri.
Sijaelewa unataka azungumze jinsi Mkenya anavyotaka? Siyo siri hata sisi kuna vitu anaongea hatukubaliana naye lakini tuta deal naye ndani ya nchi yetu na jinsi tunavyojua sisi hatuhitaji jirani atuingilie. Mbona Uhuru anaongea kikuyu kwenye mkutano wa kitaifa huku akimnanga Deputy wake tena akiwa amelewa lakini sisi hatusemi? Tatizo ni dogo sana jifunzeni mipaka yenu ipo pale for a reason.Hotuba zake zimejaa hasira sana akitukana watendaji na kusema wanafanya upuzi, mara anasema corona itakufa ikiingia kanisani, nashangaa sana kama hivyo ndivyo wataalam wa Tanzania humshauri.
I can say the same for you. I was being sarcastic too.Apparently you are too slow to even realize when a person is sarcastically dismissing your unrelated arguments.
Lockdown siyo jambo la msingi.Tanzania iliyokuwa mstari wa mbele kwenye mambo ya msingi. Kwa Sasa imekuwa kinara ya utoro. Ukweli naumia Sana Sina Cha kufanya wala wa kunisikiliza.
Sijaelewa unataka azungumze jinsi Mkenya anavyotaka? Siyo siri hata sisi kuna vitu anaongea hatukubaliana naye lakini tuta deal naye ndani ya nchi yetu na jinsi tunavyojua sisi hatuhitaji jirani atuingilie. Mbona Uhuru anaongea kikuyu kwenye mkutano wa kitaifa huku akimnanga Deputy wake tena akiwa amelewa lakini sisi hatusemi? Tatizo ni dogo sana jifunzeni mipaka yenu ipo pale for a reason.