Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Huko hakuna wapandajiMbona wameruka kipande Cha Makutupora Hadi Tabora na Tabora Hadi Isaka?
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Isaka iko wapi mtoa mada?TANZANIA NA CHINA YASAINI MKATABA WA KUJENGA RELI YA KISASA(MWANZA-ISAKA)
Serikali ya Tanzania na China vimeingia makubaliano ya kujenga reli ya kisasa ya Kilometa 341 kutoka Mwanza hadi Isaka
Hiko ni kipande cha tano, ambapo kipande cha Kwanza ni kutoka Dar mpaka Morogoro, Cha pili ni kutoka Morogoro hadi Makutupora
Kipande hiko cha tano kitajengwa na kampuni ya ujenzi ya China. Mkataba wake umetiwa saini mbele ya Rais Magufuli.
acha uvivu, sio kosa lake haufahamu kujiongezaIsaka iko wapi mtoa mada?
Unatoa taarifa kienyeji sana!
Ndio.SGR inaelekea Chato?????
Isaka ipo Shinyanga karibu na KAHAMA!Isaka iko wapi mtoa mada?
Unatoa taarifa kienyeji sana!
Ila jamiiforum bhanaSi wampe tu Dr. Kalemani a-translate kichina?
Nakumbuka kuna wakati alijibu swali kwa kichina kule Bungeni..
hiko=hichoKipande hiko
Mchina ni mjamaa kwa asiliHivi wachina sio mabeberu
Wanaficha tu hawa kupunguza aibu!Mbona wameruka kipande Cha Makutupora Hadi Tabora na Tabora Hadi Isaka?