Tanzania na nchi za Afrika zilizojaa wakristo zina uhuru wa imani, Nchi za kiislam zinanyanyasa wakristo, Penye wakristo wengi pana amani ya imani

Ulipoitaja Zanzibar, nimekubaliana nawe kabisa. Aisee wale jamaa Wana Roho ya kwanini! Ni wabaguzi hakuna mfano.

Hiki kisiwa washukuru sana huu Muungano. Wangesha mwaga damu ya kutosha.
Wana akili finyu kama inzi
Ndiyo tuna wabana kwenye kona ya muungano
Hakuna kuvunja muungano hawawez kujitawala wale

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania kati ya Wakristo na Waislamu hakuna wakujidai kwamba wao ndiyo wengi kushinda wenzake,wakristo wamekuwa wakitengeneza mazingira ionekane Tanzania ni nchi ya Kikristo, mshindwe.
Kamazaliwa mjini haka msikasikilize.
 
Here comes vita vya maneno 😂
 
Kwangu mm sio udini bali malighafi hii ni vitakubwa sn ya dunia kwa sasa.
1:Yugoslavia ilisambaratika kwa sbb ya malighafi iliopo mpk EU yote inategemea gas toka kwao.
2: Congo kinshasa ndio hakufai
3: Venezuela kule kumejaa gas/oil ghali/madini.
4: Libya/Sudan yote kumejaa mafuta/gas/madini
5: mashariki ya kati yote ni Madini/malighafi imelala
6: Somalia ndio hakufai kwa malighafi lkn hakuna amani
7: Niger/B.Faso kuna madini ambayo hayapo popote wana Hawana EU/Ruassia/US mbabe ndio anabeba.
As long as kuna malighafi regardless na nani aliopo mtapigwa except TZ kwakua tumewakaribisha, jiwe alizuia wakamtanguliza.
 
Nimeishi na kutembelea mikoa mbalimbali hakuna sehemu ina wakristo tu au useme wapo wengi sana kuliko wengine,kweli idadi inapishana sehemu na seheme lakini kwa ujumla huwezi Wakristo ni wengi kuliko Waislamu Tanzania hii.
Kuna kitu kinaitwa statistics,

Makabila yanayoongoza kwa watu wengi Tanzania yamejaa wakristo >> ni clear evidence kwamba wakristo ni wengi labda uwe ulikuwa unatoroka shuleni huzijui statistics

Wasukuma
Wachaga
Wanyakyusa
wamasai
Wanyaturu
Wangoni
Wagogo
Wahehe
wahaya

MUHIMU: Tanzania ni ya Watanzania bila kujali dini
 
Tena wasukuma wapo 20milion.
 
UISLAM maana yake AMANI.
 
I am sure mimi ni mkristo mzuri kuliko wewe mtoa mada ila nashauri uzi kama hizi hazifai.

Hizi hazijengi zinabomoa kabisa!
Shida kubwa hujui waislamu wameambiwq wakikukuta wakutumbukize mtarano , hiyo ni amri ya Allah

Bisha niweke andiko
 
As much as sipendi kuongelea mambo ya Dini ila umeongea ukweli mtu aisee. Na unachokisema kipo sana.
 
Uuko vizuri sana. Umeeleweka na bila kusema vibaya dini ya mtu huo ndiyo ukweli 100%. Ushauri wako ni mzuri. Wazanzibar acheni ubaguzi teua hata wakuu wa wilaya, mikoa, majaji, etc wakristo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…