...hiyo 200bn tunayoambiwa sitashangaa ikageuka 500bn,hakuna sababu ya kutumia pesa zote hizo kwa nchi ya njaa kama yetu,imarisha database ya vyeti vya kuzaliwa kwanza kwa kila mwananchi ili iwe primary identification then driving licence na passport navyo viimarishwe,hizo smart ID ni nzuri ila tatizo kuwaamini hawa mafisadi kwa pesa zote hizo na umaskini wetu tutapata hasara mara mbili,hizo billion 200 mwaga zote kwenye broadband hakikisha kila wilaya inakuwa connected na high speed internet,nyingine weka kwenye miradi ya umeme maana ni 15% tuu ya wananchi wanaopata umeme...tutapunguza umaskini kwa kiasi kikubwa sana,smart ID kwa sasa ni usanii tuu na haitabadilisha chochote kwenye maisha yetu!