Tanzania nchi ya umeme wa bei chee zaidi EAC

Tanzania nchi ya umeme wa bei chee zaidi EAC

Wewe ni mlamba makalio [emoji527], ulianza mafuta, umekuja bando sasa umeme, marehemu magu katuachia ugonjwa wa kipuuzi saana, kusifia sifia.

[emoji23] [emoji23]
 
Opportunity Cost utaua watu kwa presha hahaha,

Mama Samia sio level yao
Wakifa itapendeza watatupunguzia kero mtaani na kwenye mitandao..

Mama atajenga vyumba vya madarasa 15,000 by January 2022 na vituo vya afya 250 by June 2022..

Wazee wa legacy watakuja na excuse ooh sisi hatukuwa na tozo ooh blah blah kibao kwani nani kawakataza kuweka tozo?

Yaani Wana wasiwasi legacy kufunikwa 😆😆
 
Ni bora afanye yeye mwenyewe kwani inawezekana sijamuelewa vyema katika hizo data alizotoa,

Kwahesabu za (unit Kwhr), kwa kila nchi hesabu inakuwa hivi:-

1---Rwanda 0.258 kwhr --- Tsh 567.6
(kwa 1kwhr=Tsh 2,200.)

2----Kenya 0.212 kwhr----Tsh466.4.
(Kwa 1kwhr =Tsh, 2200)

3---Uganda 0.191 kwhr ----Tsh 420.
(Kwa 1kwhr=Tsh2,198)

4----Tz 0.099 kwhr---Tsh217.8
Kwa 1 kwhr= Tsh 2,200

Ndio maana nikataka yeye mwenyewe atoe ufafanuzi wa hicho alichoandika kwani simuelewi, kwani nijuavyo hapa Tz unit 1 (1kwhr) ni karibu Tsh 355.


Fungua hiyo attachment,

Hapa ni

1kwh per US$,

So chukua $0.099 change to Tshs,

1$ = 2,200

Hence 0.099x 2200 = TZS
 
Wakifa itapendeza watatupunguzia kero mtaani na kwenye mitandao..

Mama atajenga vyumba vya madarasa 15,000 by January 2022 na vituo vya afya 250 by June 2022..

Wazee wa legacy watakuja na excuse ooh sisi hatukuwa na tozo ooh blah blah kibao kwani nani kawakataza kuweka tozo?

Yaani Wana wasiwasi legacy kufunikwa 😆😆


CCM YA AWAMU YA 6 NI MOTO MKALI,

WANACHOWEZA KWA SASA NI KUTUKANA TU,
 
Ahahahahaah kama yapi?Hivi unajua/mnajua kati ya matamanio na utekelezaji,niambie ni kipi mlichotekeleza zaidi ya tozo
Yaani mambo ni mengi huwezi maliza.Tunaongea kwa facts,namba na Takwimu.

Baadhi yake ni kama ifuatavyo 👇

Screenshot_20210927-075956.png


Screenshot_20210927-080034.png


Screenshot_20210925-100603.png


Screenshot_20210925-100310.png


Screenshot_20210925-100447.png


Screenshot_20210925-100228.png


Screenshot_20210925-100247.png


Screenshot_20210923-230515.png


Screenshot_20210923-135640.png


Screenshot_20210923-135712.png


Screenshot_20210923-102207.png


Screenshot_20210922-075612.png


Screenshot_20210923-102350.png


Screenshot_20210921-140042.png


Screenshot_20210921-102138.png


Screenshot_20210920-162751.png


Screenshot_20210920-152209.png


Screenshot_20210920-151722.png


Screenshot_20210920-151447.png


Screenshot_20210920-151320.png


Screenshot_20210920-151258.png


Screenshot_20210920-080107.png


Screenshot_20210920-075003.png


Screenshot_20210920-074945.png


Screenshot_20210920-074922.png


Screenshot_20210920-074500.png


Screenshot_20210920-073618.png


Screenshot_20210920-073250.png


Screenshot_20210920-072332.png


Screenshot_20210920-072100.png
 
Watanzania tuweni na shukrani
Sawa mkuu tutakuwa na shukurani. Ila kumbuka umeme tu kuwa na bei ndogo haimaanishi ahueni ya moja kwa moja katika maisha ya kila siku. Unauziwa umeme bei ndogo halafu unakumbana na tozo ya miamara ya kukomoa
 
Wasalaam JMT,



.........Kazi iendelee .........



Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )

Vilevile,baada Tanzania kutajwa kuwa nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake,

Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-

1. Rwanda 0.258kWh au TZS 567,6

2.Kenya 0.212kWh au TZS 466.4

3. Uganda 0.191kWh au TZS 420.2

4. Tanzania 0.099kWh au TZS 217.8

Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme anaotumia Mtanzania kwa siku mbili akienda Rwanda, Kenya au Uganda atatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani nchi yetu iko vizuri Sana,

Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,

" Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana tusijidharau wala kujilalamikia God loves us "

VIVA TANZANIA VIVA | VIVA SAMIA VIVA


View attachment 1954959
VIVA VIVA VIVA TANZANIA 😍💪👊👍
 
Tanzania ya Samia ni noma,

Umeme bei Chee EAC
Petrol bei Chee EAC
Disel bei Chee EAC
M|taa bei Chee EAC
Data (MB) bei Chee EAC
Maji bei Chee EAC
 
Tanzania ya Samia ni noma,

Umeme bei Chee EAC
Petrol bei Chee EAC
Disel bei Chee EAC
M|taa bei Chee EAC
Data (MB) bei Chee EAC
Maji bei Chee EAC
Hivi vyote si kavikuta hivyo? Tena vilikuwa chini ya hapo, kwa maana kwenye umeme kulikuwa hakuna tozo ya nyumba
 
Daaah

hizo project Mzee Tangu Uhuru hazijawahi kushuhudiwa ,

Amkeni WatanzanIa tufanye kazi kila kitu kiko wazi,
Uchumi ukifanya vizuri especially Utalii ukirejea japo kwa nusu tuu Mama atafunika wote waliopita,hapo nimeweka baadhi tuu maana limit ya Jf ni attachment 30 ninazo nyingine..

Sio tuu hazijawahi shuhudiwa bali zinafanyika ndani ya mda mfupi kabisa wa miezi 6 ,ndio kwanza ni bajeti ya kwanza ya mama hadi ifike 2022 June mengi atakuwa amefanya hasa kwenye sekta ya biashara na utalii..
 
Wasalaam JMT,



.........Kazi iendelee .........



Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )

Vilevile,baada Tanzania kutajwa kuwa nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake,

Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-

1. Rwanda 0.258kWh au TZS 567,6

2.Kenya 0.212kWh au TZS 466.4

3. Uganda 0.191kWh au TZS 420.2

4. Tanzania 0.099kWh au TZS 217.8

Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme anaotumia Mtanzania kwa siku mbili akienda Rwanda, Kenya au Uganda atatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani nchi yetu iko vizuri Sana,

Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,

" Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana tusijidharau wala kujilalamikia God loves us "

VIVA TANZANIA VIVA | VIVA SAMIA VIVA


View attachment 1954959
Mnatuona wajinga sana

Watu wataenda kununua kiwese Zambia huko. Na naanzaje kujilinganisha na Rwanda
 
Angaliaga na GDP za watu Rwanda ni Landlocked Umeme wao kwa asilimia kubwa unatumia Diesel ambayo lazima isafirishwe kupitia Dar au Msa.

Iko siku utasema tumsifie Mama kwa sababu anapigia Colgate Raisi wa Somalia apigia mswaki wa mti.
 
Chama cha mapinduzi kimechoka, kimechokwa, hakifai tena. Kwa rasilimali watu na vitu tulizojaliwa, hatutakiwi kujilinganisha kiboya hivi.


Kwani tuna nini zaidi ya wenzetu?

Bila chama cha mapinduzi leo ungeweza kukomment hapa?

Tuendelee kumuunga mkono Mama Samia
 
Back
Top Bottom