Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hilo pia mkalitazame
Punguza hasira ChaliifranciscoIla tukikosea sisi underdogs kukamatwa ni dakika sifuri. Hii nchi imekuwa na matabaka ya ajabu sana.
Punguza hasira Chaliifrancisco
Kwenye hili sijaelewa kabisa
Mhemko wanao polisi.
Wamewakamata au bado
Nchi imekuwa ya k&i#shnzKatika hili bila kujali itikadi zetu, dini zetu au vyama vyetu tusilikalie kimyaa tupige kelele kila siku kwa nguvu mpaka haki ipatikane. Disappointed tu hakuna kiongozi wa juu kutoka tu na kulikemea hili wako kimyaa kama hawajaona kitu ila mengine wanayajuwa na kutoa miongozo. Serikali kwenye hili hamtaachiwa na tushukuru video kutoka hadharani maana tusingejuwa mtu kateswa na hatujui mangapi yamepita hatuyajui. Ni wakati wa kupiga stop washikwe tuone kesi yao na hakuna kuziba sura zao mbwa hawa.
Haifaii kbs mkuuu watu 5 demu 1 khaaaaaVideo iko wapi wengine hatujaiona
Hawa wanajaribu kuficha hili tukioLabda kama mnapeleleza risasi aliyopigwa Trump sio ishu ya huyu binti...mnapeleleza nini hapo..
Bongo hadi dhambi inahitaji uwe na connection😂🙌Video iko wapi wengine hatujaiona
Naipenda serikali lakini kwenye hili hapana hizi njia za kurefusha mambo kwa kutegemea mambo yatapoa halafu wayamalize maana ndio njia wanazotumia. Ukisikia tu tuko kwenye upelelezi basi inamaanisha but time tu. Upelelezi mavi wakati watu wanajulikana.Nchi imekuwa ya k&i#shnz
Wanapenda kulea ujing
Ova
Upelelezi wa nini wakati kila kitu kipo waziNaipenda serikali lakini kwenye hili hapana hizi njia za kurefusha mambo kwa kutegemea mambo yatapoa halafu wayamalize maana ndio njia wanazotumia. Ukisikia tu tuko kwenye upelelezi basi inamaanisha but time tu. Upelelezi mavi wakati watu wanajulikana.