Tanzania Premier League: Kuna ulazima wa klabu moja wapo (Simba au Yanga) iondoke Dar na kuhamia Arusha au Mwanza ili kuongeza ladha ya mchezo wa soka

Unajua kufafanua aisee
 
Kabisa, zinadumaza soka la Tanzania. Chukulia mfano klabu kama Azam fc ndio utapata jibu mkuu.. Azam pamoja na uwekezaji wao mkubwa, lakini haina matokeo mazuri. ..



🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥
Sasa mkuu matatizo ya Azam (kutokufanikiwa kwake) yana uhusiano upi na Simba/Yanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…