Total wamepitisha kwakuwa mna usalama au you are cheap? mikataba ya ajabu ajabu au Tax heaven utapata wapi kwingine lazima tukubali
Wapi mwananchi wa Kenya atakubali ardhi yake lipite bomba alipwe kifuta machozi badala ya fidia
Kuna sheria ya ardhi ya kise kama ya Tanzania .sheria ya ARDHI ya 1999 inasema compensation must be full fair and prompt.
weeeee endelea na machungu yako ya kukomeshwa kuuza madawa ya kulevya, kuuza pembe za ndovu, kuiba makontena bandarini, kukwepa kodi na maluwe luwe kibao.
lazima muisome namba.
Kuna sheria ya ardhi ya kise kama ya Tanzania .
Unahamishwa kwenye madini unalipwa tu vilivyoko juu ya ardhi
weweee kuna sheria ya ARDHI bora kama ya Tanzania. hii ni full hd.
duniani kote madini ni mali ya umma. uwe unajisomea sheria za nchi nyingine.
Bora ukilinganisha na wapi sheria ambayo ardhi ni mali ya Umma
Yaani unahamishwa Nyamongo pana dhahabu unalipwa miti na nyumba ajabu
Hebu tuangalie hii shida ya migogoro ya ardhi kama kila mtu angekuwa na yake ingetokea wapi kuvamia ardhi
Mara nyingi huwa ninashangaa kama kweli ninyi wakenya mnafuatilia mambo kwa undani au mnafanya kwa ushabiki tu, kama utafuatilia na kuangalia working framework ya ujenzi wa SGR ya Kenya na Tanzania, utaona kwamba, wakati ile ya Kenya ikifika Kisumu, ile ya Tanzania itakua imefika Mwanza, hii ni kwa sababu zifuatazo
1) SGR ya Kenya imepangwa kujengwa hivyo, kwamba awamu moja ikimalizika ndiyo ianze ujenzi wa awamu inayofuata, ile ya Tanzania awamu zote zinaenda pamoja
2)Mkandarasi wa SGR ya Kenya ni huyohuyo mmoja kutoka mwanzo hadi mwisho, Tanzania imeamua kuwa na wakandarasi tofauti tofauti, wote waweze kufanyakazi kwa wakati mmoja
3) Reli ya Kenya ina mahandaki mengi na marefu, na madaraja mengi ambavyo vyote vinachukua muda mrefu sana hadi kukamilika kwake.
Kwa sababu hiyo reli ya Tanzania inategewewa kuisha mapema kuliko ile ya Kenya, kama kuna mkenya mwenye ile working plan ya ujenzi wa hiyo reli anaweza kuileta ili tulinganishe na ile ya Tanzania, tuone inayotegemewa kuisha mapema ni ipi?
Sasa wasipokuja jukwaa hili litapoteza utamu wake, raha ya kuimba ni kupokezana microphone, [emoji1] [emoji1]Mkuu umewatumbua wa Kenya,,,
Hatutawaona tena humu[emoji3]
205 + 336 = 541km Ni mbali zaidi ya Nai mombasa. ..phase mbili tu izo HaHaha watu walisema Haiwezekani sasa sijui hali zao sasa hivi
Hahaha Tanzania hoyeeeeeeeee safi sana Tanzania good move naona Yapi yule yule wa Morogoro kaibuka kidedea.
Iyo phase ya pili mtonyo nani katoaHahaha Tanzania hoyeeeeeeeee safi sana Tanzania good move naona Yapi yule yule wa Morogoro kaibuka kidedea.
EwaaaahLeo saa saba mchana wakisaini mkataba nadhani watatoa maelezo ya kila kitu.
205 + 336 = 541km Ni mbali zaidi ya Nai mombasa. ..phase mbili tu izo HaHaha watu walisema Haiwezekani sasa sijui hali zao sasa hivi
Ata mm nmeliona ilo. ..nadhani itatuweka pazuri uko mbeleniUjenzi wetu pia unaenda pamoja awamu zote wakati Kenya awamu zinasubiriana. Naona tukimaliza mradi wote mbele ya Kenya.
Poapoa tuendelee na kazi zingine tusubiriEndeleeni tu m kuamini mpk nione watu wanakata tiket bna
usiwe na wasiwasi mkuu, mambo mazuri yanakuja, sasa hivi utaenda kushangaa Lake Tanganyika ukitokea Dar ndani ya masaa tisa utakuwa KigomaEndeleeni tu m kuamini mpk nione watu wanakata tiket bna
Umeuliza swali zuri sana, ninataka kujaribu kutabiri, japo ukweli utajulikana hiyo saa ya kusaini huo mkataba