#COVID19 Tanzania: Serikali yaagiza uvaaji barakoa kwenye mikusanyiko

Leo nmekutana na bango kwenye bajaji linapicha ya mdada halafu juu ya maandishi imeandikwa...

MAPENZI YA MAMA,
BUSARA ZA BABA..
Bado naendelea kutafakari jamaa alimaanisha Nini... Mwenye kujua anaweza kunisaidia maana yake...
 
Usitumie vibaya maandiko. Utafiti gani wa kisayansi unasema barakoa ni kinga? Kama barakoa ni kinga, huyo jirani aliyeivaa maana yake ana kinga kamili, sasa kwa nini umlazimishe asiyetaka avae?

Kumpenda jirani ni kwenye mvaa barakoa tu? Biblia inasema watendeeni wengine vile ninyi mngepaswa kutendewa. Wewe hupendi kulazimishwa kutovaa barakoa ila unamlazimisha mwingine kuvaa. Je huu sio unafiki na ufarisayo?

Lazimisheni watu kuvaa barakoa, ila msisingizie sayansi wala maandiko. Vyote haviko upande wenu. Semeni tu wazi sababu ni nini!
 
Hahaha, umekubali Sasa, au Waziri unaishi kama bendera kufuata upepo. Kujivukiza na formula ya dawa za mitishamba zimepotea. Lile tanuru la Kujivukiza pale muhas bado lipo.Ulijivukiza na baby yako ulimaanisha nini!?
 
Sasa Kama kinga yangu ni nzuri, huo ugonjwa wa kumwambukiza jirani nitautoa wapi?
 
COVID-19 kama magonjwa mengine ya virusi linapewa uzito usiostahili kwa sababu ambaye hachukui hatua za kujikinga au kuambukiza anaonekana wazi.

Lakini COVID-19 ni tofauti na HIV, ugonjwa ambao hadi sasa haujapata chanjo, ni wa siri, haujapewa nguvu ileile. Mwathilika wa HIV hajulikani na kuambukizana ni kwa tendo linalofanyika kisiri.

Ushauri, uhai uko mikononi mwa kila mtu kuchukua tahadhali.
 
Naina endicata ya lockdown ipo around... B.514 usd usilete mchezo... Tutaelewa tu...
 
🤔 Si ni huyu huyu alikuwa anasema tunywe Mizizi.
Kuna mkopo pesa za dharura kwenye Corona, wameambiwa waonyenyeshe kwanza kua wanashughurika na Covid-19 ndio wapewe.
Ndio sababu unawaonaona wananuka jasho kwa kuzifukuzia hizo hela.
Tuna serikali ya kiuni uni mno.
CCM imefeli sana kuongoza hii nchi
 

Pori jipya nyani wale wale.
 
Hiyo mimba uliyodungwa na mwendazake itakutoa roho kwa siku lazima umtaje mara 62!

Mdude alikamatwa na cocaine za mbowe akizisambaza mikoa ya nyanda za juu kusini
Sasa hapa Mbowe anahusika nini,yaani ukilitaja jina lake tu mimaji mwaaaa.
 
Wanambukizana wenyewe kwa wenyewe wasiojielewa...waliovaa hawaambukizwi....ila ukienda kwenye mikusanyiko vaa barakoa kuwalinda wengine.
Kama hamtozuia mikusanyiko na kutegemea kuvaa barakoa basi hayo ndio matumizi yasiyo sahihi ya barakoa, watu wakishavaa barakoa hujiona wako safe na kuacha kuzingatia hizo tahadhari zengine kama kunawa mikono au kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima.
 
Kama hamtozuia mikusanyiko na kutegemea kuvaa barakoa basi hayo ndio matumizi yasiyo sahihi ya barakoa, watu wakishavaa barakoa hujiona wako safe na kuacha kuzingatia hizo tahadhari zengine kama kunawa mikono au kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima.
Hv mikusanyiko isiyo yalazima ni yap? Na hyo c.19 ipo wap? Na matumiz sahihi ya barakoa ni yapi... Na zipi zenye ubora?? Je mbinu za mwanzoni zilizotufikisha happy zimefell au tunaintroduce wazojipya??
 
Dear my President and CiC, naomba uachane na hizi covid politics. Siyo nzuri kwa taifa na kwako pia. Zitaleta unnecessary social unrest kama tukianza kuzishadidia ili tupewe pesa. JPM na upuuzi wake wote, alifanya maamuzi sahihi kwenye corona. Leo tunaweza hata kuendesha nchi kwa sababu ya uamuzi wake. Angalia mambo nje ya box. Covid ni suala la usalama wa nchi. All the best.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…