Tanzania: Serikali yapiga marufuku watoto kukaa bweni (boarding) kuanzia darasa la nne kushuka chini

Sheria ni msumeno,ngoja tuone mwisho wa muhula huu sio mbali.

Au labda watatumia upenyo wa kibali maalum. Watu wanatengeneza mbadala mapema
 
Wazazi tuache ukatili kwa watoto wetu, hata Kama ni single mom, au single daddy, tujitahidi kadri ya uwezo wetu. Mungu wa mbinguni ametupa zawadi hii ni kubwa sana lakini pia ni faraja. Tangazo hili tulipokee kwa moyo mkunjufu.
 
Kwa asilimia kubwa kuna ukweli mtoto unampeleka boarding Yuko darasa la Kwanza Cha Kwanza kwa umri alionao angetakiwa karibu na wazazi na apate upendo Cha pili kwa umri huo mtoto ajitambui serikali imefanya vizuri Kwanza ingetakiwa mtoto angalau aanze darasa la Saba angalau ameshaanza kujitambua

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Juzi arusha baba kamuua mwanae kisa fungu la mchicha
 
Sheria ni msumeno,ngoja tuone mwisho wa muhula huu sio mbali.

Au labda watatumia upenyo wa kibali maalum. Watu wanatengeneza mbadala mapema
Swali je watazifungia? Maana Monduli bila boarding huendeshi aisee
 
Shida iko pale pale, dada wakazi hachelewi kumrambisha mtoto cunt[emoji2296],ukiwa job
Kisigino kinawekwa ndomoni mwa mtoto, ili asipige kelele huku yy akiongea na simu
 
Msichana wa kazi??[emoji848]


Hawa watu siku hizi mmh
Msichana wa kazi ambaye kidg unaweza kumwamini ni yule mwenye undugu na mzazi mmojawapo aidha Baba au Mama kwasababu atakuwa na uchungu na mtoto au Uoga
 
Mdau gani wa elimu unaepinga hatua nzuri ambazo zimechukuliwa na serikali ,hivi kuna ulazima gani mtoto asiyejua kufua wala kujiogesha aende akaishi bweni??
 
Wazazi wanatakiwa wapeleke wanafunzi shule za karibu na nyumbani.
Kuna wazazi kazi zao zinawafanya kua busy na kazi kuliko kukaa nyumbani na familia. Vipi waache hizo kazi?
 
Wizara ya Elimu itaendelea kuboronga mpaka siku tukipata watu sahihi wa kusimamia Elimu ya Taifa letu. Maamuzi yasiyo na tija kabisa
 
Tatizo letu tunafanya maamuzi bila kutumia watu sahihi....
 
Msichana wa kazi??[emoji848]


Hawa watu siku hizi mmh
Sasa baba ana kazi..mama ana kazi unataka wafanyaje?? kwani zamani walikuwa hawaajiri wadada wa kazi... Mimi naona mtoto anakuwa salama zaidi akiishi shule za bweni kuliko huku mtaani aiseee mtaaa umechafukaa mnoooo. So serikali iliangalie hili upya na kwa umakini
 
kama unadhani mtaani ni salama kuliko shule za bweni bhasi hujaishi shule za bweni na huna mtoto ila MTAANI HALI NI MBAYA SANA KIMAADILI MBAYA MNOO.. Matusii...watoto kuiga kufanya vitendo vibaya wanavyoona kwenye mavideo hasa kwenye mabanda kama sio nyumbani..kucheza kamarii.. mambo mengi kibao na ukiona mtoto bweni ana tabia mbovu jua KATOKA NAYO KWAO kwa asilimia 90.
 
Hatari sana, kitanda kimoja wanalala watoto wawili unategemea nini? Ni kaumri ambapo kale karungu kanasimama usiku halafu anamgusisha mwenzake na ukute ni mnyonge wake.Lets us shout, "no boarding for our kids below 14 years."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…