Tanzania should be kicked out of EAC

Tanzania should be kicked out of EAC

Ndicho nilicho kisema ttafute suluhu ili tendelee kuheshimiana na kutegemeana, au wewe ukigombana kidogo tu na mume wako unafungasha unaondoka!??
Irrelevant example..
Akuanzae mmalize
 
Safi kabisa,tuanze kujitegemea sasa ili majirani wasijione wao bora zaidi yetu
Wana hasira na vingi, Tanzania imezinduka na kuacha diplomasia ya kinafiki.

Products nyingi toka Kenya zimepigwa ban kwa kuongezewa tozo ili za Tanzania ziweze survive.

Products Kama za maziwa leo huzikuti from Kenya labda maziwa ya unga tu ambayo pia yapo on progress yataanza kuwepo, peanuts butter, sabuni aina zote, mafuta ya kupaka na kupikia, we also produce them Sasa, what they do now wanachafua image kwa kusema we have poor products ili wauze wao soko la Africa na nje, but sisi watanzania tunaofahamu hila zao tunadili nao huku sokoni kibabe na wanausoma music wetu.

Tutawanyoosha tu, we are not the same as wajamaa like enzi za mwalimu.
 
Sio Tanzania, hapa chakula kipo kibao tukiuziana sisi kwa sisi kinabaki kingi na bei itakua chin mkulima haita mlipa.
Soko letu kuu la mazao ni Kenya kama hujajua.
Kipindi hiki cha Corona WFP wamedai kutakuwa na uhaba wa chakula ktk nchi nyingi,manake nchi zitakazohitaji chakula ni nyingi,kwa hiyo Kenya akizingua zipo nchi kibao zinahitaji chakula.

Najua yy mwenyewe atakuja kutupigia magoti kwani njaa haina baunsa.
 
Tanzania sounds like a jilted lover, Aw Niko na mimba, Aw Niko periods, Aw sina pads, Aw sina Suruali ya ndani
 
Tanzania sounds like a jilted lover, Aw Niko na mimba, Aw Niko periods, Aw sina pads, Aw sina Suruali ya ndani
Kenyans have yesterday's news about Tanzania and think they know US very well! Let me tell you boy, This ship has sailed.

Mtaisoma Namba.
 
Kama Taifa tunapaswa kujitafakari mtu kama Kabudi sio mwanadiplomasia bali ni mchekeshaji wa mfalme ndiyo maana nchi yetu inaonekaka kituko mbele ya jamii za kimataifa.
Daudi hauoni kuna tatizo sehemu.

Moi kafariki tumewapeleka Mkapa na Kikwete. Tena Marais wetu wa awamu ya tatu na nne.

Mkapa aliyewasaidia kutatua migogoro yao ya kuuana amefariki wametuletea wajumbe.

Watasema corona, je hao waliokuwa wanakuja wao hawashiki korona?
 
Hio nchi Basi haina muelekeo, mkuu wa mkoa hafai kuzungumzia mambo ya foreign affairs maana hata mkoa wenyewe haupo chini ya wizara ya Mambo ya nje upo chini ya office ya rais Tamisemi ,mambo ya foreign policy wapi na wapi na mikoa? Au ndio kila mtu anataka kujimwambafai mwambafai ilimradi aonekane na jiwe? Nchi yenu itabaki kua kituko mbele ya ulimwengu.
Hapa ndipo mnapoanzia kukosea Wakenya, wewe ni nani hadi unaanza kutuamulia nani atusemee?

Kwa taarifa yako hata balozi wa nyumba kumi tu..ana haki ya kusema juu ya wananchi wake wa mpakani dhidi ya baya wanalopitia.
 
Kuiondoa Tanzania ni sawa na kukata kichwa kwa ng'ombe ukamuachia aende machungani [emoji23][emoji23]. Pia usisahau kuwa ng'ombe haoni thamani ya mkia wake hadi ukatike, hapo ndio atakapogundua kuwa ulikuwa unamsaidia kufukuzia nzi katika kidonda. Tuondoeni mupate wa kuwaburuza but navyoamini ni kuwa huo muungano mpya hautadumu hata miaka 3.
 
Irrelevant example..
Akuanzae mmalize
Hayo ni mawazo yako na back ground ya mafundisho uliyonayo.

Subir siku mbili zijazo nchi hizi mbili wasipotafuta suluhu wewe umenena sahihi na wakitafuta suluhu basi ujue nivyo ipasavyo kufanya!!
 
Daudi hauoni kuna tatizo sehemu.

Moi kafariki tumewapeleka Mkapa na Kikwete. Tena Marais wetu wa awamu ya tatu na nne.

Mkapa aliyewasaidia kutatua migogoro yao ya kuuana amefariki wametuletea wajumbe.

Watasema corona , je hao waliokuwa wanakuja wao hawashiki korona???
Kama hao mnaotaka waje ni wagonjwa wafanyaje zaidi ya kutuma wawakilishi? Uzuri mmoja hata Magufuli huwa anatuma wawakilishi.
 
Kama hao mnaotaka waje ni wagonjwa wafanyaje zaidi ya kutuma wawakilishi? Uzuri mmoja hata Magufuli huwa anatuma wawakilishi.
Daudi haujaelewa swali langu.

Je, hao wawakilishi wao wanaimmune za mawe hawaambukiziki corona iliyopo Tanzania?

Hata mimi ningewakick out na kuwaambia warudishe ndege yao.
 
Mnatafuta nini Tanzania Kama mnajitosheleza?
Pumbavu ninyi yaani muingie Tanzania kisha mnajifaragua Tanzania isiingie kwenu eti Corona, kwahiyo mkija huku hampati hiyo corona mpaka mletewe na watanzania?
Pateni mnachostahili nyie
Mumetajwa wapi km hamuingii[emoji23][emoji23]
Kujishuku tu..mzee mchawi kitaani ndio anaongeza kw kujishuku.
 
Nenda kilimanjaro ukaone vile watu(jamii) wanagombaniana ardhi
Wewe mimi ni mtanzania! Hapa tz kila mtu akitaka kumiliki ardhi ni rahisi sana hata maekari na maekari!

Niineshe ni eneo gani hilo huko Kilimanjaro wanako gombea ardhi mpaka wanauana?

Wote unaowaona wako mjini na wengine hawana kqzi kabisa lakini wana mashamba makubwa makubwa huko vijini kwao,

Nyie hapo Kenya mmeacha ardhi itawaliwe na ruling class ya Kenyataa.
 
Ndipo uwezo wa akili zako ulipofikia?

Na wewe ndipo uwezo wa akili zako ulipofikia?

Kwamba uko vizuri na una uwezo wa kupima wezo za akili za binadamu wengine hali wewe nawe ni binadamu?

Nyani kuona kundule mbona shughuli?
 
Back
Top Bottom