Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Hakuna mtu asiyefanya kazi kwa kina. Ukweli ni kwamba watu wanafanya Kazi wanavyoweza.Hizo sio wasifanye kazi. Pia sio sababu za kutofanyiwa tathmini ya kina. Tathmini ya kina itabaini uozo uko wapi na pia itakuwa ni mkombozi wa wafanya kazi. Kuliko sasa wajanja wachache hawaishi kukaa vikao vya kulipana pesa za bure.
UKiwa Daktari unasikiliza wagonjwa 200 kwa wiki, siyo kwamba hutawasikiliza ila huwezi kiwasikiliza kwa ufanisi unatakiwa.
Na siyo kwamba serikali haijui tatizo kubwa ni Nini.
Na ndio maana ukienda kwenye vikao vyao, hawataki kabisa kuambiwa changamoto. Wanachotaka kusikia Ni kwamba, wewe utafanyaje kutatua hayo matatizo.
Pamoja na kusukuma kibabe ili Mambo yasonge hivyo hivyo kwa kulazimisha