Tanzania tuachane mfumo wa kupandishia watu mishahara bila kuwa na vigezo vya utendaji (performance)

Tanzania tuachane mfumo wa kupandishia watu mishahara bila kuwa na vigezo vya utendaji (performance)

Wewe unaonesha ni katika wale wazembe kazini.
We Bibi lazima utakuwa mchawi, si kwa roho mbaya hiyo. Yaani unataka mwijukuu wako nisipande daraja, Sasa hela ya kukununulia madela na vijola nitaitoa wapu?. Au unataka unilaani kwa kutotimiza matakwa yako?!.
 
Waweke tu, kila kigezo tuna pass, watakimbilia wapi?
 
Na zile Oprass ni za nini? Au na wewe ulisomea ujinga?
 
Tanzania tuachane kabisa na mfumo wa kuwapandishia watu mishahara au vyeo bila kuwa na vigezo na vipimo vya "performance" zao.

Nashauri kwanza viwekwe vigezo na vipimo vya "performance" kazini ndivyo vitumike kuwapandisha watu vyeo na mishahara.

Ni wepesi sana kupanga vigezo vya ubora wa utendaji kwa kila kazi katika kila sehemu ya kazi. Tena siku hizi kila kitu kinakuwa kwenye data base kidigitali ni wepesi sana. Wale watendaji bora (best performers) watapanda mishahara na vyeo haraka na wale wazembe (kama ilivyo kwa Watanzania wengi) watasota hapo hapo na mshahara wa "entry level" mpaka wabadilike au wajiachishe wenyewe kazi.

Mfumo huu wa "performance based" upo na unatumika sana ulimwenguni, hususan kwenye kazi zisizo za Serikali, pia serikali nyingi zimeanza kutumia mfumo huo, bila kuoneana aibu wala huruma za kijinga.

Uzoefu wangu wa kufanya kazi za kuajiriwa kwa muda mrefu sana katika nchi zilizoendelea umenifundisha hayo.
Kibibi leo umeibuka kama kawaida yako kuunga mkono mwenzio wa dini ya mnyaazi........wewe tukikwambia hapo uje upime hiyo performance utaweza kuipima au unarukia maneno kama kasuku tu hapa.
 
Na hayo ndiyo yanachangiza pia africa maendeleo kuchelewa,sehemu kubwa ya bajeti zetu zinatumika kwa matumizi ya hovyo na mambo ambayo hayana msingi wowote
Nakubaliana na hoja yako, bajeti yetu sehemu kubwa inatumika ku cover recurrent expenditure badala ya uendelezaji miradi ambayo ingetoa ajira kwa watu. Hoja ya Faiza ina mashiko, KPI (Key Performance Indicators) ndizo zitumike kwa watumishi wa umma kwenye kuwapandishia madaraja na mishahara, badala ya kutumia kigezo cha kukaa mrefu ktk utumishi. Hio italeta tija sana kwa nchi
 
Tanzania tuachane kabisa na mfumo wa kuwapandishia watu mishahara au vyeo bila kuwa na vigezo na vipimo vya "performance" zao.

Nashauri kwanza viwekwe vigezo na vipimo vya "performance" kazini ndivyo vitumike kuwapandisha watu vyeo na mishahara.

Ni wepesi sana kupanga vigezo vya ubora wa utendaji kwa kila kazi katika kila sehemu ya kazi. Tena siku hizi kila kitu kinakuwa kwenye data base kidigitali ni wepesi sana. Wale watendaji bora (best performers) watapanda mishahara na vyeo haraka na wale wazembe (kama ilivyo kwa Watanzania wengi) watasota hapo hapo na mshahara wa "entry level" mpaka wabadilike au wajiachishe wenyewe kazi.

Mfumo huu wa "performance based" upo na unatumika sana ulimwenguni, hususan kwenye kazi zisizo za Serikali, pia serikali nyingi zimeanza kutumia mfumo huo, bila kuoneana aibu wala huruma za kijinga.

Uzoefu wangu wa kufanya kazi za kuajiriwa kwa muda mrefu sana katika nchi zilizoendelea umenifundisha hayo.
Dah....Shangazi leo umejichanganya sana....utatuharibia nchi.....tunachoiga kutoka nchi zilizoendelea ni demokrasia na Haki za binadamu tu....hayo ya uchapaji kazi yaache hukohuko 🤣🤣🤣
 
Nakubaliana na hoja yako, bajeti yetu sehemu kubwa inatumika ku cover recurrent expenditure badala ya uendelezaji miradi ambayo ingetoa ajira kwa watu. Hoja ya Faiza ina mashiko, KPI (Key Performance Indicators) ndizo zitumike kwa watumishi wa umma kwenye kuwapandishia madaraja na mishahara, badala ya kutumia kigezo cha kukaa mrefu ktk utumishi. Hio italeta tija sana kwa nchi
Hizo peanuts mnazolipa watumishi ndo muwapimie performance, lipeni kwanza mishahara inayoeleweka ndo mlete ishu ya performance....
 
Kweli kabisa. Ni mfumo ambao hata tuhangaike vipi na takwimu hautotupandishia uchumi kwa haraka. Ukichukulia kuwa Serikali ndio moja ya waajiri wakubwa sana Tanzania na nnauhakaika over 90% ya waajiriwa serikalini ni underperformers.

Wengi wanaokimbilia kazi za serikalini ni wazembe na wabadhirifu.
Hapa umepigapo penyewe, nakuunga mkono kwa % nyingi tu.
Watendaji wengi kwenye taasisi za selikali ni vilaza waliojikita kwenye upigaji tu na ndiomana mafanikio ni hafifu mno, mfano:-,
TTCL, TPB,Tanesco etc.
 
Tanzania tuachane kabisa na mfumo wa kuwapandishia watu mishahara au vyeo bila kuwa na vigezo na vipimo vya "performance" zao.

Nashauri kwanza viwekwe vigezo na vipimo vya "performance" kazini ndivyo vitumike kuwapandisha watu vyeo na mishahara.

Ni wepesi sana kupanga vigezo vya ubora wa utendaji kwa kila kazi katika kila sehemu ya kazi. Tena siku hizi kila kitu kinakuwa kwenye data base kidigitali ni wepesi sana. Wale watendaji bora (best performers) watapanda mishahara na vyeo haraka na wale wazembe (kama ilivyo kwa Watanzania wengi) watasota hapo hapo na mshahara wa "entry level" mpaka wabadilike au wajiachishe wenyewe kazi.

Mfumo huu wa "performance based" upo na unatumika sana ulimwenguni, hususan kwenye kazi zisizo za Serikali, pia serikali nyingi zimeanza kutumia mfumo huo, bila kuoneana aibu wala huruma za kijinga.

Uzoefu wangu wa kufanya kazi za kuajiriwa kwa muda mrefu sana katika nchi zilizoendelea umenifundisha hayo.
Naunga mkono hoja. Hivyo ndivyo inavyotakiwa. Maoni yangu yanaambatana na uzoefu wangu wa kufanya kazi kwa miaka 45 katika nchi tatu tofauti na kila nilipofanya kazi, hivyo ndivyo inavyotokea.
 
Ndugu mtoa mada. Noamba nikuulize maswali mawili:

1) Je wajua mshahara anao anza nao mwajiriwa wa Serikali wa kawaida mwenye elimu ya shahada ya kwanza? Achana na wale wanaofanya kazi kwenye Taasisi au Mashirika ya Serikali. Nazungumzia wafanyakazi wa kawaida kama vile waofanya kazi kwenye Halmashauri n.k.

2) Je, unafahamu gharama za maisha ya mtu wa kawaida katika kugharamia mahitaji ya msingi kama vile rent, chakula, usafiri na mavazi? Assume unaishi nyumba ya kupanga isiyozidi 250K kwa mwezi.

Tuanzie hapo kwanza. Ukinijibu maswali haya nitakuuliza maswali mengine.
 
shida ni serikali yenyewe inashindwa kuleta facilities zinazoitajika katika kutekeleza hayo majukumu.
maana km mkuu wa idara anakosa gari au mafuta ya kufanyia supervision ya kazi unafikiri performamce inatoka wapi.
na serikali inajijua ndio chanzo kikuu cha utekelezaji mbovu wa kazi zake.
 
Ndugu mtoa mada. Noamba nikuulize maswali mawili:

1) Je wajua mshahara anao anza nao mwajiriwa wa Serikali wa kawaida mwenye elimu ya shahada ya kwanza? Achana na wale wanaofanya kazi kwenye Taasisi au Mashirika ya Serikali. Nazungumzia wafanyakazi wa kawaida kama vile waofanya kazi kwenye Halmashauri n.k.

2) Je, unafahamu gharama za maisha ya mtu wa kawaida katika kugharamia mahitaji ya msingi kama vile rent, chakula, usafiri na mavazi? Assume unaishi nyumba ya kupanga isiyozidi 250K kwa mwezi.

Tuanzie hapo kwanza. Ukinijibu maswali haya nitakuuliza maswali mengine.
Huyu karukia tu alichosema hangaya jana maana yeye yupo kuunga mkono chochote kinachosemwa ili mradi aliyesema ni wa dini yake, ukimuuliza unataka kupima performance kwa viwango vipi vya mishahara na kwa bajeti ipi hawezi kukupa jibu.........
 
Ndugu mtoa mada. Noamba nikuulize maswali mawili:

1) Je wajua mshahara anao anza nao mwajiriwa wa Serikali wa kawaida mwenye elimu ya shahada ya kwanza? Achana na wale wanaofanya kazi kwenye Taasisi au Mashirika ya Serikali. Nazungumzia wafanyakazi wa kawaida kama vile waofanya kazi kwenye Halmashauri n.k.

2) Je, unafahamu gharama za maisha ya mtu wa kawaida katika kugharamia mahitaji ya msingi kama vile rent, chakula, usafiri na mavazi? Assume unaishi nyumba ya kupanga isiyozidi 250K kwa mwezi.

Tuanzie hapo kwanza. Ukinijibu maswali haya nitakuuliza maswali mengine.
Wewe utakua ujamuelewa vizuri mtoa mada bila Shaka mtoa mada kamanisha tuachane na vima vya chini vya mishahara kwa madaraja ya elimu tu Bali mishahara iendane na ufanisi pia.Sio kutwa washinda kupiga soga na kuchati ofsini tu kazi kuongeza urasimu kazini wataka uongezewe mshahara
 
Haya ni mawazo yako,na sisi kama serikali hatuwezi kuyatumia ,tutaangalia mshahara mpya kwa wote,kama utakuwa unakula milioni 3 na mwingine anakula laki tatu, tutafweka huo milioni na kurudisha kwa mwenye mshahara mdogo,jiandaeni
 
Tanzania tuachane kabisa na mfumo wa kuwapandishia watu mishahara au vyeo bila kuwa na vigezo na vipimo vya "performance" zao.

Nashauri kwanza viwekwe vigezo na vipimo vya "performance" kazini ndivyo vitumike kuwapandisha watu vyeo na mishahara.

Ni wepesi sana kupanga vigezo vya ubora wa utendaji kwa kila kazi katika kila sehemu ya kazi. Tena siku hizi kila kitu kinakuwa kwenye data base kidigitali ni wepesi sana. Wale watendaji bora (best performers) watapanda mishahara na vyeo haraka na wale wazembe (kama ilivyo kwa Watanzania wengi) watasota hapo hapo na mshahara wa "entry level" mpaka wabadilike au wajiachishe wenyewe kazi.

Mfumo huu wa "performance based" upo na unatumika sana ulimwenguni, hususan kwenye kazi zisizo za Serikali, pia serikali nyingi zimeanza kutumia mfumo huo, bila kuoneana aibu wala huruma za kijinga.

Uzoefu wangu wa kufanya kazi za kuajiriwa kwa muda mrefu sana katika nchi zilizoendelea umenifundisha hayo.
WATUMISHI WAKIPANDISHIWA MISHAHARA NA WAFANYA BIASHARA WARUHUSIWE KUPANDISHA BIDHAA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Tanzania tuachane kabisa na mfumo wa kuwapandishia watu mishahara au vyeo bila kuwa na vigezo na vipimo vya "performance" zao.

Nashauri kwanza viwekwe vigezo na vipimo vya "performance" kazini ndivyo vitumike kuwapandisha watu vyeo na mishahara.

Ni wepesi sana kupanga vigezo vya ubora wa utendaji kwa kila kazi katika kila sehemu ya kazi. Tena siku hizi kila kitu kinakuwa kwenye data base kidigitali ni wepesi sana. Wale watendaji bora (best performers) watapanda mishahara na vyeo haraka na wale wazembe (kama ilivyo kwa Watanzania wengi) watasota hapo hapo na mshahara wa "entry level" mpaka wabadilike au wajiachishe wenyewe kazi.

Mfumo huu wa "performance based" upo na unatumika sana ulimwenguni, hususan kwenye kazi zisizo za Serikali, pia serikali nyingi zimeanza kutumia mfumo huo, bila kuoneana aibu wala huruma za kijinga.

Uzoefu wangu wa kufanya kazi za kuajiriwa kwa muda mrefu sana katika nchi zilizoendelea umenifundisha hayo.
Sijajua Kama unazungumzia hili ukiwa na maslahi nalo, Kama mdau au unajaribu tu kumtetea Rais Samia. Nauliza hili kwasababu Kuna watu ambao siyo Watumishi ( just a bunch of stupid ashholes) ambao kwao mtumishi akiteseka au kudhalilishwa ndio Furaha yao.

Kwa hili, hata ukipita mtaani utagundua kiwa watu wanamzungumzia vibaya Rais Samia kwasababu hadhalilishi Watumishi, kuonea na matajiri pia.

Binafsi, Ni supporter mkubwa sana wa Rais Samia na ndio maana Mimi simlaumu kwa lolote kuhusu hili suala.

Kwanza Samia anajitahidi mnooo.

Ndani ya muda mfupi, Rais Samia amepandisha watu madaraja, Amelia annual increaments na kuajiri watu wengi tu, kitu ambacho Magu hakufanya ndani ya Miaka 6.

Rais Samia amewarudisha kazini darasa la Saba, na ametaka vyeti feki wapewe makato yao. Hili Hakuna mtu ambaye siyo mtumishi analipenda.

Watanzania wengi Wana Chuki sana na wivu Dhidi ya Watumishi na matajiri, na ndio maana akitokea Mwanasiasa anawadhalilisha anaonekana Jembe sana.

Turudi kwenye mada yako.

Ukweli mchungu ni kwamba, Mishahara ya wafanyakazi hasa wa serikali kuu na Mitaa bado Ni midogo sana. Hulu wakipewa majukukumu makubwa kuliko wanavyostahili kupewa.

Mfumo wa kupima utendaji kazi wa Mtumishi upo, kwa maana ya OPRAS lakini sometimes unajazwa tu kwasababu Mara nyingi watu wanafanya Kazi nyingi kuliko mkataba wao, wanatoa pesa zao mifukoni kazi ziende.

Nakupa mifano michache.

Mtu ameajiriwa Kama Daktari, amefika kazini amekuta Kuna Daktari mmoja na yeye Ni wa Pili, Kituo cha Afya au hospital zinafanya kazi masaa 24.

Stahiki ya Mtumishi Ni kufanya kazi 9 na mfano kea Daktari KUSIKILIZA watu 4 kwa siku. Hapo utafanyaje kazi?
Mtumishi huyo Hana housing allowance, nauli Wala chochote.

Mtu fulani ni Bwana let's assume, anafika kituo Cha kazi, Hana nyumba, Hakuna housing allowance Wala nauli. Muda huo Wilaya nzima wako 10. Anapewa Tarafa nzima!!! Atafanyaje kazi.

Mwalimu anaajiriwa kufundisha some la Hesabu au physics anafika shule anakutafuta yupo peke yake. Shule haina nyumba, Hana housing allowance Wala chochote.

Unaajiriwa Kama Mtendaji wa kata au. Kijiji, ( Happ nitoe mfano halisi ). Kuna kata kubwa fulani huku ipo karibu na Mpakani. Umeingia kazini, umefanya kazi, umetembeq sana kwa miguu, huna nyumba Wala chochote. Umerudi nyumbani baada ya muda wako wa kazi kuisha. SAA 10 Jioni unapigiwa simu Wamasai kutoka Kenya wameingiza mifugo yao kuvamia mashambani ya watu.

Hapo inabidi uchukue Boda Boda kwa pesa zako mfukoni ukafanye kazi ya serikali.

Na experience hii ninayosema ndio inawakuta Watumishi kila siku. Muda huo huo Mshahara wako Ni TGS B ( Tsh 410,000 kea mwezi hapo hujakatwa PAYE, NHIF, Chama Cha wafanyakazi, na PSSSF).

Hii ndio hali HALISI.
 
Katiba mpya au ya zamani haijalishi. Kuna nchi hazina katiba na zinafanya vizuri. Ni kujipanga tu.

Unategemea katiba mpya ikupe lipi jipya? Nani wa kuitunga hiyo katiba mpya? Au tu "copy amd paste" katiba ipi duniani?
Tukicopy ya Saud Arabia itapendenza
 
Wewe utakua ujamuelewa vizuri mtoa mada bila Shaka mtoa mada kamanisha tuachane na vima vya chini vya mishahara kwa madaraja ya elimu tu Bali mishahara iendane na ufanisi pia.Sio kutwa washinda kupiga soga na kuchati ofsini tu kazi kuongeza urasimu kazini wataka uongezewe mshahara
Well. Unasema mishahara iendane na ufanisi. Mie nataka kwanza tuanzie kwenye huo mshahara wa kwanza kabisa anao anza nao mwajiriwa kabla hata huo ufanisi wake wa kazi haujajulikana. Tuanzie hapo kwanza. Je, unaufahamu huo mashahara anaolipwa huyo mwajiriwa? Je, unalingana na gharama za maisha ya kuishi haya maisha ya kawaida? Siyo ya kifahari. Haya haya maisha ya kawaida kabisa.
 
Hayo yafungulie uzi wa mada yake.. Hapa mada ni namna ya kuongeza mishahara na vyeo.

Hakuna aliyelaumiwa hapa. Kusema watu wana underperform siyo kulaumu bali vigezo vyao vikiainishwa halafu hujawapa vitendea kazi watakuwa na haki ya kuachana na hiyo kazi, kwanini ufanye kazi sehemu ambayo haikupi vitendea kazi? utakuwa juha au haufahamu "fundamentals" za kazi yako.

Mfano wewe fundi mekanika uambiwe tengeneza magari bila spana? Ukikubali si wewe ndiye juha au mzembe, hakuna zaidi.
Sidhani kama unajua namna kazi za serikali zinavyofanya ( hasa Watumishi wa chini Kama Halmashauri ambako ndio Kuna Watumishi wengi ).

Hivi unajua Watumishi wengi mishahara yao ni 300,000 hawana nyumba, hawana overtime, pesa za mawasiliano, nauli Wala chochote ). Hivi hujui kiwa hata pesa za stationeries wanatoa mifukoni na sometimes mpaka wanachangia Mwenge.

Jamani ukiona hata Rais anakaa kimya ujue anajua hali HALISI.
 
Back
Top Bottom