MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Wafanyakazi wanauza muda ili wapate pesa.
Afrika hakuna anayezingatia muda kwa ajili ya kufanya malipo.
Tunafanya kwa mazoea na malipo yetu ni masikhara.
Nani analipwa anachostahiri baada ya kufanya kazi stahiki.
Hivyo Thumb rule ndio msingi wetu na kupanda madaraja ni kautamaduni tu.
Ila hiyo system ya pili Ina raha zake na karaha.
Wao serikari wanapunja stahiki zako na wewe iba muda wao.
Ni ngumu kuitekeleza kwa taasisi za umma.
Afrika hakuna anayezingatia muda kwa ajili ya kufanya malipo.
Tunafanya kwa mazoea na malipo yetu ni masikhara.
Nani analipwa anachostahiri baada ya kufanya kazi stahiki.
Hivyo Thumb rule ndio msingi wetu na kupanda madaraja ni kautamaduni tu.
Ila hiyo system ya pili Ina raha zake na karaha.
Wao serikari wanapunja stahiki zako na wewe iba muda wao.
Ni ngumu kuitekeleza kwa taasisi za umma.