Tanzania tuachane mfumo wa kupandishia watu mishahara bila kuwa na vigezo vya utendaji (performance)

Tanzania tuachane mfumo wa kupandishia watu mishahara bila kuwa na vigezo vya utendaji (performance)

Wafanyakazi wanauza muda ili wapate pesa.

Afrika hakuna anayezingatia muda kwa ajili ya kufanya malipo.

Tunafanya kwa mazoea na malipo yetu ni masikhara.

Nani analipwa anachostahiri baada ya kufanya kazi stahiki.

Hivyo Thumb rule ndio msingi wetu na kupanda madaraja ni kautamaduni tu.

Ila hiyo system ya pili Ina raha zake na karaha.

Wao serikari wanapunja stahiki zako na wewe iba muda wao.

Ni ngumu kuitekeleza kwa taasisi za umma.
 
Tanzania tuachane kabisa na mfumo wa kuwapandishia watu mishahara au vyeo bila kuwa na vigezo na vipimo vya "performance" zao.

Nashauri kwanza viwekwe vigezo na vipimo vya "performance" kazini ndivyo vitumike kuwapandisha watu vyeo na mishahara.

Ni wepesi sana kupanga vigezo vya ubora wa utendaji kwa kila kazi katika kila sehemu ya kazi. Tena siku hizi kila kitu kinakuwa kwenye data base kidigitali ni wepesi sana. Wale watendaji bora (best performers) watapanda mishahara na vyeo haraka na wale wazembe (kama ilivyo kwa Watanzania wengi) watasota hapo hapo na mshahara wa "entry level" mpaka wabadilike au wajiachishe wenyewe kazi.

Mfumo huu wa "performance based" upo na unatumika sana ulimwenguni, hususan kwenye kazi zisizo za Serikali, pia serikali nyingi zimeanza kutumia mfumo huo, bila kuoneana aibu wala huruma za kijinga.

Uzoefu wangu wa kufanya kazi za kuajiriwa kwa muda mrefu sana katika nchi zilizoendelea umenifundisha hayo.
Tatizo wanaotegemewa kupandisha mishahara nawenyewe performance yao ni zero kabisa!

Mwenye performance mbovu anampima mmbovu mwenzie ilhali yeye anajilipa vizuri na ubovu wake!

Nchi hii tukubali tu kuwa tumekwama, labda ndipo tutaanza kuyaona matatizo yetu na kuyafanyia kazi
 
Sijuwi mfumo wa Tanzania upoje. Hizo "performance appraisal" kwa Tanzania anazijaza nani?

Mfano nchi niliyokuwepo kuna "performance appraisal" lakini inajazwa na "Private inspecting consultants". (Factor) kigezo cha kwanza kabisa ni katika kila kazi kuna kitu kinaitwa "fundamentals "za hiyo kazi. Inspector ndicho kitu cha kwanza anatazama. Asiyefata "fundamentals" za hiyo kazi anarudishwa akaisomee tena hiyo kazi (akiwa kazini), Akirudishwa huko ni automatically "entry level pay" yake inashuka kwa nusu nzima, inakuwa ni ya mwanafunzi wa kazi.
Performance appraisal ni mtindo unaotumika hata hapa nchini kwenye mashirika/taasisi binafsi ambazo zinafanya kazi kimataifa kama migodini na kwingineko.

Sehemu yenye mfumo huu mfanyakazi anafurahia kujituma kwa kujua atavuna anachopanda.
 
Ila kumbuka Ukitaka Kuwabana Watu basi wape Pia Stahiki zao muhimu. Usitake kuwabana watu wakati hujawalipa Malimbikizo yao..mishahara haipandi . marupurupu hulipi..overtime hutoi

Ulaya huko watu wanalipwa Stahiki zao kwa Wakati tena Kwa Masaa siyo kama Sisi huku kwa Mwezi
 
Mkuu Idugunde , appraisal haifanywi na ofisa utumishi, inafanywa na your line manager, kazi ya ofisa utumishi ni usimamizi na kuzituma.

Sijaingia kwenye hicho kifungu cha katiba kuhusu mishahara, ila kwenye hili la mishahara, niliwahi kutofautiana na Blaza wangu,Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote
kufunga macho kufungua!, aliweza!. Aliwezaje?!, sijui!.
P
The bottom line ni kwamba appraisal inafanyika hapa nchini.

Kwamba iwe kigezo cha kupandisha watu mishahara ni kinyume na katiba.

Kwamba rais hana mamlaka ya kupunguza mishahara ya yoyote? Hili ni suala la kisheria zaidi. Maana hao MaCEO aliowagusa wengi walikuwa wakilipwa mishahara iliyowekwa na mashirika yao kupitia board za mashirika. Sasa labda utujuze rais hana mamlaka ya kuingilia maamuzi ya hizo board?
 
Unahitaji maombi ya Mwamposa
😆😆😆
20220502_073846.jpg
 
Tanzania tuachane kabisa na mfumo wa kuwapandishia watu mishahara au vyeo bila kuwa na vigezo na vipimo vya "performance" zao.

Nashauri kwanza viwekwe vigezo na vipimo vya "performance" kazini ndivyo vitumike kuwapandisha watu vyeo na mishahara.

Ni wepesi sana kupanga vigezo vya ubora wa utendaji kwa kila kazi katika kila sehemu ya kazi. Tena siku hizi kila kitu kinakuwa kwenye data base kidigitali ni wepesi sana. Wale watendaji bora (best performers) watapanda mishahara na vyeo haraka na wale wazembe (kama ilivyo kwa Watanzania wengi) watasota hapo hapo na mshahara wa "entry level" mpaka wabadilike au wajiachishe wenyewe kazi.

Mfumo huu wa "performance based" upo na unatumika sana ulimwenguni, hususan kwenye kazi zisizo za Serikali, pia serikali nyingi zimeanza kutumia mfumo huo, bila kuoneana aibu wala huruma za kijinga.

Uzoefu wangu wa kufanya kazi za kuajiriwa kwa muda mrefu sana katika nchi zilizoendelea umenifundisha hayo.
Bongo serikalini si wana kitu kinaitwa OPRAS?
 
Rais wa Tanzania (yeyote awaye) hana muda kabisa wa kuwa mzembe.

Mfano Nyerere, hakuwa mzembe kabisa lakini alishindwa kabisa kuuinua uchumi wa Tanzania kwa miaka 23 au zaidi aliyotawala, matokeo kang'atuka nchi ikiwa masikini hohehahe. Naamini tatizo kubwa ni watendaji na utendaji, Rais sio mtendaji, Rais ni facilitator. Kumbuka hilo.
Siasa mbovu, poor leadership
 
Sijuwi mfumo wa Tanzania upoje. Hizo "performance appraisal" kwa Tanzania anazijaza nani?

Mfano nchi niliyokuwepo kuna "performance appraisal" lakini inajazwa na "Private inspecting consultants". (Factor) kigezo cha kwanza kabisa ni katika kila kazi kuna kitu kinaitwa "fundamentals "za hiyo kazi. Inspector ndicho kitu cha kwanza anatazama. Asiyefata "fundamentals" za hiyo kazi anarudishwa akaisomee tena hiyo kazi (akiwa kazini), Akirudishwa huko ni automatically "entry level pay" yake inashuka kwa nusu nzima, inakuwa ni ya mwanafunzi wa kazi.
mmmh bongo tunavyopenda connection, hapo hakuna atakae chapa kazi bali wataanza kutafuta connection tu
 
Kwenye Utumishi wa Umma Kuna wafanyakazi wengi tu wanakula mishahara bure,maana uwezo wao wa kudeliva ni mdogo sana........Kuna uozo mkubwa sana, watumishi wengi hawajui hata majukumu yao.....kazi kubebana bebana tu Kwa kujuana......kuna mtu tangu ateuliwe title fulani na Sa100 mpaka sasa nizaidi ya ndugu 50 wameingizwa serikalini...... wengine wanafanya usaili wengine wanaingia tu dairekti bila jasho.....inaumiza sana
 
Mimi naisi ungesema kupanda madaraja Ila kupanda mishaara ni swala linalousu sana Mambo ya kiuchumi Kwa wakati uwoo Ila madaraja ni kuusu utendaji kazii wako na apoo ndyo nafasi ya kuwaacec wafanyakazii sema Kwa Tanzania hasa serikalini kuna watu wataumizwa sna sababu kama umegombana na boss au hamuelewani ni rahisi sana kukukanyagia ili usipande daraja
 
Huijui bongo ww watu watatumia huo huo mwanya kupiga hela ili mtu asiye na sifa apande bongo kila kitu ni deal ila kiufupi kama gharama za miasha zimepanda na mishahara lazima ipande bila kuangalia performance au kitu kingine chochote kile.
 
Unamshauri nani?

Na ni kazi gani hizo ambazo uta monitor utendaji wa kila mtu?

Nikupe mfano Wizara ya mambo ya ndani inapandisha vyeo kwa mtindo hii miwili moja Elimu pili muda wako kazini haina mingine.

Mtu wa kidato cha nne asiye na fani yoyote anapata cheo kwa muda wa miaka mitatu hadi kumi anapata cheo. Kwa mwenye elimu ya zaidi ya form 4 au fani ni faida zaidi hii wizara performance ni nyumbani kwenu kwa maarabu huko
Maajabu! Hivi inakuwaje watu wanapinga hata mawazo chanya yanayoweza kuleta mabadiliko.

Definitely, to impliment changes, force must be applied.
 
Tanzania tuachane kabisa na mfumo wa kuwapandishia watu mishahara au vyeo bila kuwa na vigezo na vipimo vya "performance" zao.

Nashauri kwanza viwekwe vigezo na vipimo vya "performance" kazini ndivyo vitumike kuwapandisha watu vyeo na mishahara.

Ni wepesi sana kupanga vigezo vya ubora wa utendaji kwa kila kazi katika kila sehemu ya kazi. Tena siku hizi kila kitu kinakuwa kwenye data base kidigitali ni wepesi sana. Wale watendaji bora (best performers) watapanda mishahara na vyeo haraka na wale wazembe (kama ilivyo kwa Watanzania wengi) watasota hapo hapo na mshahara wa "entry level" mpaka wabadilike au wajiachishe wenyewe kazi.

Mfumo huu wa "performance based" upo na unatumika sana ulimwenguni, hususan kwenye kazi zisizo za Serikali, pia serikali nyingi zimeanza kutumia mfumo huo, bila kuoneana aibu wala huruma za kijinga.

Uzoefu wangu wa kufanya kazi za kuajiriwa kwa muda mrefu sana katika nchi zilizoendelea umenifundisha hayo.
Rais alisema Tucta wawe wanakuja na tija ya wafanyakazi wao kama msingi wa hoja ya kudai maslahi yao vinginevyo hakuna salary increase.
 
Back
Top Bottom