FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #41
Rais wa Tanzania (yeyote awaye) hana muda kabisa wa kuwa mzembe.Rais kwa nafasi yake ni Mwajiriwa nambari moja.
Yeye ni Boss.
Yeye ni Msemaji wa mwisho katika Masuala mengi na mbalimbali ya Kiserikali, Kisheria na mengineyo.
Yeye anatazamiwa au naweza kusema tunamtizama matendo, mienendo na hasa utendaji kazi wake ili na sisi tujipimie kama ni kutembea au kukimbia.
Anaposhindwa au hao wanaomzunguka wanaposhindwa pamoja nae kuhusu jambo fulani katika uchangamoto wake na Suluhu kwa macho ya wazi bila kupepesa inaonesha jambo lenyewe linawezekana basi hatuna budi kumuona Mzembe.
Mfano Nyerere, hakuwa mzembe kabisa lakini alishindwa kabisa kuuinua uchumi wa Tanzania kwa miaka 23 au zaidi aliyotawala, matokeo kang'atuka nchi ikiwa masikini hohehahe. Naamini tatizo kubwa ni watendaji na utendaji, Rais sio mtendaji, Rais ni facilitator. Kumbuka hilo.