Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Jf team,
Salaàm!
Binafsi sioni haja ya kuwa na vyama vya siasa lukuki hapa nchini. Na huenda uwepo wa vyama lukuki ni chanzo cha matumizi ya fedha za umma kuwa makubwa kupitia ruzuku.
Nashauri:-
1. Tuone iwapo itapendeza kupunguza vyama hivyo toka idadi ya sasa 26+ na vibakie 3 au 4 tu.
2. Vyama vinavyoweza kubaki viwe CCM, CDM, ACT na Umoja. Hapa tutaokoa ruzuku zinazotumika vibaya bila sababu.
Salaàm!
Binafsi sioni haja ya kuwa na vyama vya siasa lukuki hapa nchini. Na huenda uwepo wa vyama lukuki ni chanzo cha matumizi ya fedha za umma kuwa makubwa kupitia ruzuku.
Nashauri:-
1. Tuone iwapo itapendeza kupunguza vyama hivyo toka idadi ya sasa 26+ na vibakie 3 au 4 tu.
2. Vyama vinavyoweza kubaki viwe CCM, CDM, ACT na Umoja. Hapa tutaokoa ruzuku zinazotumika vibaya bila sababu.