Tanzania: Tumecheka sana na nyani, na sasa tunavuna mabua

Tanzania: Tumecheka sana na nyani, na sasa tunavuna mabua

Asalaam Aleykum wana jamvi.

Waswahili walisema, ukicheka nyani, utavuna mabua.

Hiki ndicho kinachotokea Tanzania.

Reports nyingi za CAG zinazoonesha "nyani" wanaolitesa Taifa hili zimekuwa zinapuuzwa kila mwaka, na matokeo yake ndo haya tunayoyaona sasa.

Sauti za Watanzania wengi wazalendo kwa nchi yao, imekuwa ikipuuzwa juu ya "nyani" waharibifu na matokeo yake ndo haya hapa sasa Tanzania tumekuwa kichekesho kwa majirani zetu!

Mwigulu akiambiwa, anatuambia tuhamie Burundi, haya sasa uchumi umemshinda. Maneno mengi na hakuna chochote anafanya kuimarisha uchumi wa nchi yetu.

Anachojua ni labda kuwahonga tu watu wa IMF ili wamwandikie report nzuri inayoonesha uchumi wetu uko vizuri ilhali hali ni mbaya sana katika historia ya nchi yetu.

Na nachelea kusema kwamba, endapo hali ikiendelea hivi kwa miezi mingine 6 ijayo, nchi yetu itatangaza "kufilisika" kama ilivyotokea kwa Ugiriki miaka kadhaa nyuma.

Just imagine, we have no enough sugar, no US dollars, no enough electricity, costs of living are at their peaks! (Hebu angalia, hatuna sukari ya kutosha, hatuna dola, hatuna umeme wa kutosha, gharama za maisha ziko katika vilele vyake)!

Halafu ukisema, anajitokeza "nyani" mmoja hivi mzee anakwambia "Hamia Burundi"!

Something must be done to rescue the situation (kitu fulani lazima kifanyike ili kuokoa jahazi).

Naomba kuwasilisha.

View attachment 2908619View attachment 2908620
Ripoti za CAG wamezizoea hivyo haziwakoseshi usingizi, Tanzania ina wenyewe na wenyewe ni CCM, pigeni kelele mkichoka mtalala.
 
Asalaam Aleykum wana jamvi.

Waswahili walisema, ukicheka nyani, utavuna mabua.

Hiki ndicho kinachotokea Tanzania.

Reports nyingi za CAG zinazoonesha "nyani" wanaolitesa Taifa hili zimekuwa zinapuuzwa kila mwaka, na matokeo yake ndo haya tunayoyaona sasa.

Sauti za Watanzania wengi wazalendo kwa nchi yao, imekuwa ikipuuzwa juu ya "nyani" waharibifu na matokeo yake ndo haya hapa sasa Tanzania tumekuwa kichekesho kwa majirani zetu!

Mwigulu akiambiwa, anatuambia tuhamie Burundi, haya sasa uchumi umemshinda. Maneno mengi na hakuna chochote anafanya kuimarisha uchumi wa nchi yetu.

Anachojua ni labda kuwahonga tu watu wa IMF ili wamwandikie report nzuri inayoonesha uchumi wetu uko vizuri ilhali hali ni mbaya sana katika historia ya nchi yetu.

Na nachelea kusema kwamba, endapo hali ikiendelea hivi kwa miezi mingine 6 ijayo, nchi yetu itatangaza "kufilisika" kama ilivyotokea kwa Ugiriki miaka kadhaa nyuma.

Just imagine, we have no enough sugar, no US dollars, no enough electricity, costs of living are at their peaks! (Hebu angalia, hatuna sukari ya kutosha, hatuna dola, hatuna umeme wa kutosha, gharama za maisha ziko katika vilele vyake)!

Halafu ukisema, anajitokeza "nyani" mmoja hivi mzee anakwambia "Hamia Burundi"!

Something must be done to rescue the situation (kitu fulani lazima kifanyike ili kuokoa jahazi).

Naomba kuwasilisha.

View attachment 2908619View attachment 2908620
MAGAZETI NA VYOMBO VYA HABARI KILA SIKU VINATANGAZA UCHUMI UMEIMARIKA NA UNAKUWA KWA KASI
 
Asalaam Aleykum wana jamvi.

Waswahili walisema, ukicheka nyani, utavuna mabua.

Hiki ndicho kinachotokea Tanzania.

Reports nyingi za CAG zinazoonesha "nyani" wanaolitesa Taifa hili zimekuwa zinapuuzwa kila mwaka, na matokeo yake ndo haya tunayoyaona sasa.

Sauti za Watanzania wengi wazalendo kwa nchi yao, imekuwa ikipuuzwa juu ya "nyani" waharibifu na matokeo yake ndo haya hapa sasa Tanzania tumekuwa kichekesho kwa majirani zetu!

Mwigulu akiambiwa, anatuambia tuhamie Burundi, haya sasa uchumi umemshinda. Maneno mengi na hakuna chochote anafanya kuimarisha uchumi wa nchi yetu.

Anachojua ni labda kuwahonga tu watu wa IMF ili wamwandikie report nzuri inayoonesha uchumi wetu uko vizuri ilhali hali ni mbaya sana katika historia ya nchi yetu.

Na nachelea kusema kwamba, endapo hali ikiendelea hivi kwa miezi mingine 6 ijayo, nchi yetu itatangaza "kufilisika" kama ilivyotokea kwa Ugiriki miaka kadhaa nyuma.

Just imagine, we have no enough sugar, no US dollars, no enough electricity, costs of living are at their peaks! (Hebu angalia, hatuna sukari ya kutosha, hatuna dola, hatuna umeme wa kutosha, gharama za maisha ziko katika vilele vyake)!

Halafu ukisema, anajitokeza "nyani" mmoja hivi mzee anakwambia "Hamia Burundi"!

Something must be done to rescue the situation (kitu fulani lazima kifanyike ili kuokoa jahazi).

Naomba kuwasilisha.

View attachment 2908619View attachment 2908620
Napendaga sana waTanzania aise 🐒

kwamba unafananisha kwanza na nyaan, kisha baadae unamuita mjinga au hajielewi.

kisha eti akuchague wewe thubutu 🐒

🤣 hawezi kukuacha hiihivi, Lazima akutafutie angle ili useme yote🐒

kwenye sanduku la kura huwa hakosei 🐒
 
My suggestion, mama aachie ngazi.
Nchi hii imeshamshinda.
Tena asisubirie uchaguzi Mkuu.
Aachie sasa hivi akitoka huko alikoenda.
Vinginevyo, ataacha makovu mabaya sana ambayo itachukua muda kuyaondoa
 
Walio weza ku-deal vema na mafisadi ya taifa ni China,hakuna mfumo wa kulinda wezi ukikutwa na hatia pasi na shaka jua wazi ni kifo.Watu huwa ona wachina kama wakatili lakini sasa mtaelewa.

Ni muda sasa wa ofisi ya mkaguzi wa hesabu za serikali yaani CAG kufugwa maana haina umuhimu wowote.
 
Tuwaunge mkono wapinzani la sivyo tutavuna mabua!
Tatizo wapinzani wenyewe hatuna Mkuu. Au tunao lakini hawajielewi ni kama pimbi tu. Wapinzani wanaojielewa ni wachache sana kama wakili msomi Mwabukusi, Mbatia, Mdude n.k. Wengine wanaongozwa zaidi na akili za tumboni.
 
Walio weza ku-deal vema na mafisadi ya taifa ni China,hakuna mfumo wa kulinda wezi ukikutwa na hatia pasi na shaka jua wazi ni kifo.Watu huwa ona wachina kama wakatili lakini sasa mtaelewa.

Ni muda sasa wa ofisi ya mkaguzi wa hesabu za serikali yaani CAG kufugwa maana haina umuhimu wowote.
Sisi huku kwetu, wanaofuatiliwa na kupotezwa ni wazalendo au wanaoisema serikali kwa ubadhilifu wake!!
Halafu tunakaa tunajivuna tuko na Intelijensia Bora kabisa Afrika na duniani.
Kwa kweli inakatisha sana tamaa kuwa na vyombo vya aina hii.
 
Mama aanze kuweka plan ya kubana matumizi yaa serikali ikiwemo kupunguza safari za nje sasa, yeye na watu wake.

Serikali iwe serious Sasa kudhibiti wizi na majizi waliojazana Kila Kona hivi Sasa na wengi wao hizo hela wanaficha nje na kununua vitu vya anasa kama magari ambavyo vingi hutoka nje

Tuanze kuacha kununua vitu visivyo na ulazima nje, kama furnitures, magari na matumizi mengine ya serikali na taasisi zake.

Tuache sasa kununua midege baadala yake tujikite kuongeza ufanisi kwa hizi zilizopo hasa kuzitafutia route nyingi za nje.

Serikali ianze Sasa kuwa serious kuwekeza kwenye kilimo cha kisasa na kuwawezesha wakulima vitendea kazi na kutafutia mazao yetu masoko serious.

Serikali ifikiri namna ya kuhakikisha viwanda vya nguo vya ndani vinafanya production ya kutosha na nguo quality ili tuache utegemezi wa kuagiza mitumba na nguo kutoka china.

Serikali iache kujenga jenga hovyo Kwa kutumia wakandarasi wa nje, baadala yake ijikite kutumia na kuwawezesha wakandarasi wa ndani, ujenzi ufanyike tu pale kwenye ulazima na sio Kila siku tunajengajenga tu hovyohovyo.

Mambo ni mengi sana,wengine wanaweza kuongeza hapo.
Well said Mkuu..
🙏
 
wengi wanachanganya kiswahili na uislamu, Kiswahili siyo uislamu, hapo wakenya wanamaanisha uislamu wa tanzagiza ni tatizo, kila awamu ikiwa ya kwao ukiondoa ya Mzee Mwinyi mwenyezi Mungu ambariki ni shida tupu …
 
Baada ya JPM tulipaswa kuongozwa na watu wa kufanana naye au hata zaidi yake Kwa miaka kama 100 hivi.
Wacha ujinga huo. Kwa sifa gani na uwezo gani ambao yule FISADI alikuwa nao?

Angekuwa na uwezo asingekufa akiwa madarakani
 
Kwasasa tatizo sio SERIKALI tena, kwani SERIKALI imeonyesha uwezo wake katika kuongoza nchi upoje, (inaweza au haiwezi) ..bali Tatizo ni JESHI na WANANCHI wake, wamelizia kuwa na watu wasio kuwa na akili timamu wala uzalendo......
 
Back
Top Bottom