Tanzania: Tumecheka sana na nyani, na sasa tunavuna mabua

Tanzania: Tumecheka sana na nyani, na sasa tunavuna mabua

Mtamkumbuka mzee Asaad aliposema bunge dhaifu. Na Magufuli akamuondoa kwa kufichua trilioni na nusu
Ni kazi ya bunge kuishupalia na kuifanyia kazi kikamilifu mpaka mawaziri husika wanyooke

Bunge lenyewe ni kama lina assist maaamuzi ya muhimili fulani, simply physicaly linaonekana but halipo
 
Hapo kwenye ripoti ya CAG, mimi mpaka siifuatilii tena siku hizi maana ina faida gani? Ubadhirifu unatajwa hakuna hatua zozote zinazochukuliwa waziwazi zikaonekana.

Ripoti yenyewe inasomwa na kuwekwa hadharani, na makabidhiano na Rais ni hadharani pia. Kwanini wahusika wa ubadhirifu huo wasishughulikiwe hadharani pia?
Hakuna Uwajibikaji kama Zamani halafu kuna bwege mmoja anamsema lowasa kwa Report moja tu aliyotoa mwakyembe na yeye akaamua kuwajibika..
Mbona hawa wa sasa hivi report za miaka 3 lakini hawawajibiki
 
Hivi nyie mlitakaje? hata mtoa mada ukipewa madaraka utaacha kuwa nyani na wewe ukatafuna?
 
Asalaam Aleykum wana jamvi.

Waswahili walisema, ukicheka nyani, utavuna mabua.

Hiki ndicho kinachotokea Tanzania.

Reports nyingi za CAG zinazoonesha "nyani" wanaolitesa Taifa hili zimekuwa zinapuuzwa kila mwaka, na matokeo yake ndo haya tunayoyaona sasa.

Sauti za Watanzania wengi wazalendo kwa nchi yao, imekuwa ikipuuzwa juu ya "nyani" waharibifu na matokeo yake ndo haya hapa sasa Tanzania tumekuwa kichekesho kwa majirani zetu!

Mwigulu akiambiwa, anatuambia tuhamie Burundi, haya sasa uchumi umemshinda. Maneno mengi na hakuna chochote anafanya kuimarisha uchumi wa nchi yetu.

Anachojua ni labda kuwahonga tu watu wa IMF ili wamwandikie report nzuri inayoonesha uchumi wetu uko vizuri ilhali hali ni mbaya sana katika historia ya nchi yetu.

Na nachelea kusema kwamba, endapo hali ikiendelea hivi kwa miezi mingine 6 ijayo, nchi yetu itatangaza "kufilisika" kama ilivyotokea kwa Ugiriki miaka kadhaa nyuma.

Just imagine, we have no enough sugar, no US dollars, no enough electricity, costs of living are at their peaks! (Hebu angalia, hatuna sukari ya kutosha, hatuna dola, hatuna umeme wa kutosha, gharama za maisha ziko katika vilele vyake)!

Halafu ukisema, anajitokeza "nyani" mmoja hivi mzee anakwambia "Hamia Burundi"!

Something must be done to rescue the situation (kitu fulani lazima kifanyike ili kuokoa jahazi).

Naomba kuwasilisha.

View attachment 2908619View attachment 2908620
Raia feki Samia na genge lake la wahuni kina Rostam azizi ....kama sheria za uraia azija badilishwa na kuwa na daraja 3 za Raia ...ili kuzuia wahuni kukamata dola ...leo msomali akipewa uraia kesho anaweza kugombea urais
 
Tumechezewa Sana Ndugu Zangu
Tumeliwa Sana Ndugu Zangu
Tumelaliwa Mno Ndugu Zangu
Tumehomolwa Sana Hii Nchi
Vyovyote Mtakavyosema Najua Mmenielewa Sana Sana Ndugu Zangu
Kwenye Utawala Wangu Hakuna Kubembelezana, Nataka Tuchape Kazi Sana
Subiri Rais Atakayekuja Baada Ya Mimi Ndiyo Atawabembeleza



Hata Kama Una Mtoto Wako Unampa Uji Anywe Yeye Analia Tu, Unammenyea Mayai Ale Lakini Analia, Unampa Uji Tena Kwenye Kikombe Anakitupa
Hapo Unajua Huyu Mtoto Ana Kiburi, Unamzaba Kofi Moja Uone Atakavyobugia Huo Uji Haraka Haraka


By Mzilankende, Jiwe, Chuma, Baba Jesca
 
Baada ya JPM tulipaswa kuongozwa na watu wa kufanana naye au hata zaidi yake Kwa miaka kama 100 hivi.
Ndivyo itakavyokuja kuwa huko mbele ya safari. !!
Sijui ni baada ya miaka mingapi ijayo lakini itakuja kutokea !!
 
Jeshi ndo tatizo sugu...


Unalionea Jeshi.

Jeshi ni watendaji tupu na wako tayari kwa ajili ya maamuzi magumu tu.


Ila mwenendo wa siasa za nchi na kupanda au kushuka kwa uchumi ni wajibu wa Mwananchi wa kawaida kabisa kuhakikisha vinaenda vile vinavyopaswa kwenda na sio tofauti.

Sasa hapo kwetu Mwananchi yeye kachukua maamuzi ya kuwa shabiki wa kisiasa na Chawa wa wanasiasa bila kuhoji utimizwaji wa Sera na mipango iliyowekwa.
 
Raia feki Samia na genge lake la wahuni kina Rostam azizi ....kama sheria za uraia azija badilishwa na kuwa na daraja 3 za Raia ...ili kuzuia wahuni kukamata dola ...leo msomali akipewa uraia kesho anaweza kugombea urais
Tabu sana kuongozwa na wakimbizi.
Wengi hawana uzalendo wowote kabisa!
Halafu sijui Mkuu wa Majeshi yetu anajisikiaje kuona wale Raia wa kigeni walioko kwenye nafasi za maamuzi, bado wako na wako very comfortable!
 
Asalaam Aleykum wana jamvi.

Waswahili walisema, ukicheka nyani, utavuna mabua.

Hiki ndicho kinachotokea Tanzania.

Reports nyingi za CAG zinazoonesha "nyani" wanaolitesa Taifa hili zimekuwa zinapuuzwa kila mwaka, na matokeo yake ndo haya tunayoyaona sasa.

Sauti za Watanzania wengi wazalendo kwa nchi yao, imekuwa ikipuuzwa juu ya "nyani" waharibifu na matokeo yake ndo haya hapa sasa Tanzania tumekuwa kichekesho kwa majirani zetu!

Mwigulu akiambiwa, anatuambia tuhamie Burundi, haya sasa uchumi umemshinda. Maneno mengi na hakuna chochote anafanya kuimarisha uchumi wa nchi yetu.

Anachojua ni labda kuwahonga tu watu wa IMF ili wamwandikie report nzuri inayoonesha uchumi wetu uko vizuri ilhali hali ni mbaya sana katika historia ya nchi yetu.

Na nachelea kusema kwamba, endapo hali ikiendelea hivi kwa miezi mingine 6 ijayo, nchi yetu itatangaza "kufilisika" kama ilivyotokea kwa Ugiriki miaka kadhaa nyuma.

Just imagine, we have no enough sugar, no US dollars, no enough electricity, costs of living are at their peaks! (Hebu angalia, hatuna sukari ya kutosha, hatuna dola, hatuna umeme wa kutosha, gharama za maisha ziko katika vilele vyake)!

Halafu ukisema, anajitokeza "nyani" mmoja hivi mzee anakwambia "Hamia Burundi"!

Something must be done to rescue the situation (kitu fulani lazima kifanyike ili kuokoa jahazi).

Naomba kuwasilisha.

View attachment 2908619View attachment 2908620
Tafuta channeli fukara wewe
 
Asalaam Aleykum wana jamvi.

Waswahili walisema, ukicheka nyani, utavuna mabua.

Hiki ndicho kinachotokea Tanzania.

Reports nyingi za CAG zinazoonesha "nyani" wanaolitesa Taifa hili zimekuwa zinapuuzwa kila mwaka, na matokeo yake ndo haya tunayoyaona sasa.

Sauti za Watanzania wengi wazalendo kwa nchi yao, imekuwa ikipuuzwa juu ya "nyani" waharibifu na matokeo yake ndo haya hapa sasa Tanzania tumekuwa kichekesho kwa majirani zetu!

Mwigulu akiambiwa, anatuambia tuhamie Burundi, haya sasa uchumi umemshinda. Maneno mengi na hakuna chochote anafanya kuimarisha uchumi wa nchi yetu.

Anachojua ni labda kuwahonga tu watu wa IMF ili wamwandikie report nzuri inayoonesha uchumi wetu uko vizuri ilhali hali ni mbaya sana katika historia ya nchi yetu.

Na nachelea kusema kwamba, endapo hali ikiendelea hivi kwa miezi mingine 6 ijayo, nchi yetu itatangaza "kufilisika" kama ilivyotokea kwa Ugiriki miaka kadhaa nyuma.

Just imagine, we have no enough sugar, no US dollars, no enough electricity, costs of living are at their peaks! (Hebu angalia, hatuna sukari ya kutosha, hatuna dola, hatuna umeme wa kutosha, gharama za maisha ziko katika vilele vyake)!

Halafu ukisema, anajitokeza "nyani" mmoja hivi mzee anakwambia "Hamia Burundi"!

Something must be done to rescue the situation (kitu fulani lazima kifanyike ili kuokoa jahazi).

Naomba kuwasilisha.

View attachment 2908619View attachment 2908620
Tangu nipate ushahidi yakua SHETANI WA TANZANIA ni very powerful kuliko MUNGU WA TANZANIA, Sasa sina budi kua mpole hadi pale itakapokua otherwise
 
Mama aanze kuweka plan ya kubana matumizi yaa serikali ikiwemo kupunguza safari za nje sasa, yeye na watu wake.

Serikali iwe serious Sasa kudhibiti wizi na majizi waliojazana Kila Kona hivi Sasa na wengi wao hizo hela wanaficha nje na kununua vitu vya anasa kama magari ambavyo vingi hutoka nje

Tuanze kuacha kununua vitu visivyo na ulazima nje, kama furnitures, magari na matumizi mengine ya serikali na taasisi zake.

Tuache sasa kununua midege baadala yake tujikite kuongeza ufanisi kwa hizi zilizopo hasa kuzitafutia route nyingi za nje.

Serikali ianze Sasa kuwa serious kuwekeza kwenye kilimo cha kisasa na kuwawezesha wakulima vitendea kazi na kutafutia mazao yetu masoko serious.

Serikali ifikiri namna ya kuhakikisha viwanda vya nguo vya ndani vinafanya production ya kutosha na nguo quality ili tuache utegemezi wa kuagiza mitumba na nguo kutoka china.

Serikali iache kujenga jenga hovyo Kwa kutumia wakandarasi wa nje, baadala yake ijikite kutumia na kuwawezesha wakandarasi wa ndani, ujenzi ufanyike tu pale kwenye ulazima na sio Kila siku tunajengajenga tu hovyohovyo.

Mambo ni mengi sana,wengine wanaweza kuongeza hapo.
Ni serikali gani unaizungumzia ya kufanya hayo mkuu?
 
Tangu nipate ushahidi yakua SHETANI WA TANZANIA ni very powerful kuliko MUNGU WA TANZANIA, Sasa sina budi kua mpole hadi pale itakapokua otherwise
Kwa kweli hata mimi kifo cha JPM kiliniacha na maswali mengi sana Mkuu....
Kama kuna sehemu shetani alijitwalia utukufu, ni katika kipindi hicho.
Lakini mwisho wa siku, Haki na wema lazima vitashinda ndugu yangu.
Tusikate tamaa kupigana upande wa wema na haki.
 
Napendaga sana waTanzania aise 🐒

kwamba unafananisha kwanza na nyaan, kisha baadae unamuita mjinga au hajielewi.

kisha eti akuchague wewe thubutu 🐒

🤣 hawezi kukuacha hiihivi, Lazima akutafutie angle ili useme yote🐒

kwenye sanduku la kura huwa hakosei 🐒
Ona Pi..mb.i hii!
Kwa hiyo tusiseme kisa tuchaguliwe kwenye nafasi ili na sisi tuwe nyani waharibifu?
Anyway, nyie endeleeni na unyani wenu, iko siku isiyo na jina ataibuka wa kuibuka kusikojulikana. Tena natabiri huyo ajaye, atakuwa zaidi ya Hayati JPM. Atawanyoosha sana manyani wote kuliko walivyonyooshwa na Magufuli. Hiyo siku naiona na haiko mbali toka sasa.
 
Sisi huku kwetu, wanaofuatiliwa na kupotezwa ni wazalendo au wanaoisema serikali kwa ubadhilifu wake!!
Halafu tunakaa tunajivuna tuko na Intelijensia Bora kabisa Afrika na duniani.
Kwa kweli inakatisha sana tamaa kuwa na vyombo vya aina hii.
Hamna intelligence bali chawa wa Rais,ambao kazi yao kubwa kupeleka taarifa za u-snitch ili kupewa hisani baada ya kustaafu.

Taifa liko katika hali mbaya lakini Kuna kenge mmoja anakuja na story za kwenye kijiwe Cha kahawa "The state" wameamua kwamba apewe muda [emoji3]

Wakati viongozi kama Emporer Meiji alifanya maamuzi magumu ya kujenga taifa,baada ya kuona wahafidhina hawataki reforms,alicho wafanya ndio matokeo ya Japan ya leo.
 
Hapo kwenye ripoti ya CAG, mimi mpaka siifuatilii tena siku hizi maana ina faida gani? Ubadhirifu unatajwa hakuna hatua zozote zinazochukuliwa waziwazi zikaonekana.

Ripoti yenyewe inasomwa na kuwekwa hadharani, na makabidhiano na Rais ni hadharani pia. Kwanini wahusika wa ubadhirifu huo wasishughulikiwe hadharani pia?
Let me told you something brother,,this is government,there is no playing of government brother, government is have long hand,looong anywere can come,why when u hear corruption know we ea seriously
 
Back
Top Bottom