Tanzania: Tumecheka sana na nyani, na sasa tunavuna mabua

Tanzania: Tumecheka sana na nyani, na sasa tunavuna mabua

huyu mama bado anatengeneza uchumi na anaendelea vyema

haya yanayozungumzwa ni poroja tupu ukichunguza kwa kina
 
Ona Pi..mb.i hii!
Kwa hiyo tusiseme kisa tuchaguliwe kwenye nafasi ili na sisi tuwe nyani waharibifu?
Anyway, nyie endeleeni na unyani wenu, iko siku isiyo na jina ataibuka wa kuibuka kusikojulikana. Tena natabiri huyo ajaye, atakuwa zaidi ya Hayati JPM. Atawanyoosha sana manyani wote kuliko walivyonyooshwa na Magufuli. Hiyo siku naiona na haiko mbali toka sasa.
siasa ni sayansi sio mihemko 🐒

mweye IQ finyu ndio anaweza wafananisha wanainchi na hiyo kitu 🐒

Thus why huwa wanajibu kwenye debe na ndio maana gubu zenu haziishagi na idadi yenu hupungua badala ya kuongezeka.

hakuna mstaarabu ataambatana na akili kama izo sisizo kua na hekima wala Busara.hayupo wa kukuskiza 🐒

🤣 🤣Labda utabiri wa kwenye kahawa pale karumu kua Yanga atakuwa bingwa club bingwa Africa, apo sawa 🐒
 
Mungu akusamehe bure maana hujui uliongealo
Ninalijua ninaloongea ndiyo maana nasema Magufuli alikuwa FISADI. Nyinyi mnomuona mzalendo sijui mkombozi ndiyo mnahitaji kuombewa.

Magufuli angekuwa anatenda mema Mungu angemkinga dhidi ya hila za watesi wake au dhidi ya ugonjwa wa corona. Ila alimuona anaharibu nchi yetu akamuacha bila protection
 
Tatizo wapinzani wenyewe hatuna Mkuu.
Au tunao lakini hawajielewi ni kama pimbi tu.
Wapinzani wanaojielewa ni wachache sana kama wakili msomi Mwabukusi, Mbatia, Mdude n.k.
Wengine wanaongozwa zaidi na akili za tumboni
Hah hah wapinzani wenyewe akina Mbowe na Zitto watauza hadi inzi.
 
Kwa kweli hata mimi kifo cha JPM kiliniacha na maswali mengi sana Mkuu....
Kama kuna sehemu shetani alijitwalia utukufu, ni katika kipindi hicho.
Lakini mwisho wa siku, Haki na wema lazima vitashinda ndugu yangu.
Tusikate tamaa kupigana upande wa wema na haki.
Amina, tupo ktk giza nene, lakin ipo siku tutauona mwanga
 
Back
Top Bottom