Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Amini husiamini, wala Tatizo sio Rais.
Tatizo ni wananchi wa hii nchi.
Mtamkumbuka mzee Asaad aliposema bunge dhaifu. Na Magufuli akamuondoa kwa kufichua trilioni na nusu
Ni kazi ya bunge kuishupalia na kuifanyia kazi kikamilifu mpaka mawaziri husika wanyooke
Hakuna Uwajibikaji kama Zamani halafu kuna bwege mmoja anamsema lowasa kwa Report moja tu aliyotoa mwakyembe na yeye akaamua kuwajibika..Hapo kwenye ripoti ya CAG, mimi mpaka siifuatilii tena siku hizi maana ina faida gani? Ubadhirifu unatajwa hakuna hatua zozote zinazochukuliwa waziwazi zikaonekana.
Ripoti yenyewe inasomwa na kuwekwa hadharani, na makabidhiano na Rais ni hadharani pia. Kwanini wahusika wa ubadhirifu huo wasishughulikiwe hadharani pia?
Jeshi ndo tatizo sugu...Jeshi = Tatizo [emoji777]
Wananchi = Tatizo [emoji736][emoji736][emoji736]
Raia feki Samia na genge lake la wahuni kina Rostam azizi ....kama sheria za uraia azija badilishwa na kuwa na daraja 3 za Raia ...ili kuzuia wahuni kukamata dola ...leo msomali akipewa uraia kesho anaweza kugombea uraisAsalaam Aleykum wana jamvi.
Waswahili walisema, ukicheka nyani, utavuna mabua.
Hiki ndicho kinachotokea Tanzania.
Reports nyingi za CAG zinazoonesha "nyani" wanaolitesa Taifa hili zimekuwa zinapuuzwa kila mwaka, na matokeo yake ndo haya tunayoyaona sasa.
Sauti za Watanzania wengi wazalendo kwa nchi yao, imekuwa ikipuuzwa juu ya "nyani" waharibifu na matokeo yake ndo haya hapa sasa Tanzania tumekuwa kichekesho kwa majirani zetu!
Mwigulu akiambiwa, anatuambia tuhamie Burundi, haya sasa uchumi umemshinda. Maneno mengi na hakuna chochote anafanya kuimarisha uchumi wa nchi yetu.
Anachojua ni labda kuwahonga tu watu wa IMF ili wamwandikie report nzuri inayoonesha uchumi wetu uko vizuri ilhali hali ni mbaya sana katika historia ya nchi yetu.
Na nachelea kusema kwamba, endapo hali ikiendelea hivi kwa miezi mingine 6 ijayo, nchi yetu itatangaza "kufilisika" kama ilivyotokea kwa Ugiriki miaka kadhaa nyuma.
Just imagine, we have no enough sugar, no US dollars, no enough electricity, costs of living are at their peaks! (Hebu angalia, hatuna sukari ya kutosha, hatuna dola, hatuna umeme wa kutosha, gharama za maisha ziko katika vilele vyake)!
Halafu ukisema, anajitokeza "nyani" mmoja hivi mzee anakwambia "Hamia Burundi"!
Something must be done to rescue the situation (kitu fulani lazima kifanyike ili kuokoa jahazi).
Naomba kuwasilisha.
View attachment 2908619View attachment 2908620
Ndivyo itakavyokuja kuwa huko mbele ya safari. !!Baada ya JPM tulipaswa kuongozwa na watu wa kufanana naye au hata zaidi yake Kwa miaka kama 100 hivi.
Jeshi ndo tatizo sugu...
Mkuu, ndo nishindwe hata kuhakikisha sukari inakuwepo ya kutosha kweli?!!Hivi nyie mlitakaje? hata mtoa mada ukipewa madaraka utaacha kuwa nyani na wewe ukatafuna?
Tabu sana kuongozwa na wakimbizi.Raia feki Samia na genge lake la wahuni kina Rostam azizi ....kama sheria za uraia azija badilishwa na kuwa na daraja 3 za Raia ...ili kuzuia wahuni kukamata dola ...leo msomali akipewa uraia kesho anaweza kugombea urais
Tafuta channeli fukara weweAsalaam Aleykum wana jamvi.
Waswahili walisema, ukicheka nyani, utavuna mabua.
Hiki ndicho kinachotokea Tanzania.
Reports nyingi za CAG zinazoonesha "nyani" wanaolitesa Taifa hili zimekuwa zinapuuzwa kila mwaka, na matokeo yake ndo haya tunayoyaona sasa.
Sauti za Watanzania wengi wazalendo kwa nchi yao, imekuwa ikipuuzwa juu ya "nyani" waharibifu na matokeo yake ndo haya hapa sasa Tanzania tumekuwa kichekesho kwa majirani zetu!
Mwigulu akiambiwa, anatuambia tuhamie Burundi, haya sasa uchumi umemshinda. Maneno mengi na hakuna chochote anafanya kuimarisha uchumi wa nchi yetu.
Anachojua ni labda kuwahonga tu watu wa IMF ili wamwandikie report nzuri inayoonesha uchumi wetu uko vizuri ilhali hali ni mbaya sana katika historia ya nchi yetu.
Na nachelea kusema kwamba, endapo hali ikiendelea hivi kwa miezi mingine 6 ijayo, nchi yetu itatangaza "kufilisika" kama ilivyotokea kwa Ugiriki miaka kadhaa nyuma.
Just imagine, we have no enough sugar, no US dollars, no enough electricity, costs of living are at their peaks! (Hebu angalia, hatuna sukari ya kutosha, hatuna dola, hatuna umeme wa kutosha, gharama za maisha ziko katika vilele vyake)!
Halafu ukisema, anajitokeza "nyani" mmoja hivi mzee anakwambia "Hamia Burundi"!
Something must be done to rescue the situation (kitu fulani lazima kifanyike ili kuokoa jahazi).
Naomba kuwasilisha.
View attachment 2908619View attachment 2908620
Tangu nipate ushahidi yakua SHETANI WA TANZANIA ni very powerful kuliko MUNGU WA TANZANIA, Sasa sina budi kua mpole hadi pale itakapokua otherwiseAsalaam Aleykum wana jamvi.
Waswahili walisema, ukicheka nyani, utavuna mabua.
Hiki ndicho kinachotokea Tanzania.
Reports nyingi za CAG zinazoonesha "nyani" wanaolitesa Taifa hili zimekuwa zinapuuzwa kila mwaka, na matokeo yake ndo haya tunayoyaona sasa.
Sauti za Watanzania wengi wazalendo kwa nchi yao, imekuwa ikipuuzwa juu ya "nyani" waharibifu na matokeo yake ndo haya hapa sasa Tanzania tumekuwa kichekesho kwa majirani zetu!
Mwigulu akiambiwa, anatuambia tuhamie Burundi, haya sasa uchumi umemshinda. Maneno mengi na hakuna chochote anafanya kuimarisha uchumi wa nchi yetu.
Anachojua ni labda kuwahonga tu watu wa IMF ili wamwandikie report nzuri inayoonesha uchumi wetu uko vizuri ilhali hali ni mbaya sana katika historia ya nchi yetu.
Na nachelea kusema kwamba, endapo hali ikiendelea hivi kwa miezi mingine 6 ijayo, nchi yetu itatangaza "kufilisika" kama ilivyotokea kwa Ugiriki miaka kadhaa nyuma.
Just imagine, we have no enough sugar, no US dollars, no enough electricity, costs of living are at their peaks! (Hebu angalia, hatuna sukari ya kutosha, hatuna dola, hatuna umeme wa kutosha, gharama za maisha ziko katika vilele vyake)!
Halafu ukisema, anajitokeza "nyani" mmoja hivi mzee anakwambia "Hamia Burundi"!
Something must be done to rescue the situation (kitu fulani lazima kifanyike ili kuokoa jahazi).
Naomba kuwasilisha.
View attachment 2908619View attachment 2908620
Ni serikali gani unaizungumzia ya kufanya hayo mkuu?Mama aanze kuweka plan ya kubana matumizi yaa serikali ikiwemo kupunguza safari za nje sasa, yeye na watu wake.
Serikali iwe serious Sasa kudhibiti wizi na majizi waliojazana Kila Kona hivi Sasa na wengi wao hizo hela wanaficha nje na kununua vitu vya anasa kama magari ambavyo vingi hutoka nje
Tuanze kuacha kununua vitu visivyo na ulazima nje, kama furnitures, magari na matumizi mengine ya serikali na taasisi zake.
Tuache sasa kununua midege baadala yake tujikite kuongeza ufanisi kwa hizi zilizopo hasa kuzitafutia route nyingi za nje.
Serikali ianze Sasa kuwa serious kuwekeza kwenye kilimo cha kisasa na kuwawezesha wakulima vitendea kazi na kutafutia mazao yetu masoko serious.
Serikali ifikiri namna ya kuhakikisha viwanda vya nguo vya ndani vinafanya production ya kutosha na nguo quality ili tuache utegemezi wa kuagiza mitumba na nguo kutoka china.
Serikali iache kujenga jenga hovyo Kwa kutumia wakandarasi wa nje, baadala yake ijikite kutumia na kuwawezesha wakandarasi wa ndani, ujenzi ufanyike tu pale kwenye ulazima na sio Kila siku tunajengajenga tu hovyohovyo.
Mambo ni mengi sana,wengine wanaweza kuongeza hapo.
Bora ufukara wa mali kuliko ufukara wako wa akili ulio nao.Tafuta channeli fukara wewe
Kwa kweli hata mimi kifo cha JPM kiliniacha na maswali mengi sana Mkuu....Tangu nipate ushahidi yakua SHETANI WA TANZANIA ni very powerful kuliko MUNGU WA TANZANIA, Sasa sina budi kua mpole hadi pale itakapokua otherwise
Ona Pi..mb.i hii!Napendaga sana waTanzania aise ๐
kwamba unafananisha kwanza na nyaan, kisha baadae unamuita mjinga au hajielewi.
kisha eti akuchague wewe thubutu ๐
๐คฃ hawezi kukuacha hiihivi, Lazima akutafutie angle ili useme yote๐
kwenye sanduku la kura huwa hakosei ๐
Hamna intelligence bali chawa wa Rais,ambao kazi yao kubwa kupeleka taarifa za u-snitch ili kupewa hisani baada ya kustaafu.Sisi huku kwetu, wanaofuatiliwa na kupotezwa ni wazalendo au wanaoisema serikali kwa ubadhilifu wake!!
Halafu tunakaa tunajivuna tuko na Intelijensia Bora kabisa Afrika na duniani.
Kwa kweli inakatisha sana tamaa kuwa na vyombo vya aina hii.
Let me told you something brother,,this is government,there is no playing of government brother, government is have long hand,looong anywere can come,why when u hear corruption know we ea seriouslyHapo kwenye ripoti ya CAG, mimi mpaka siifuatilii tena siku hizi maana ina faida gani? Ubadhirifu unatajwa hakuna hatua zozote zinazochukuliwa waziwazi zikaonekana.
Ripoti yenyewe inasomwa na kuwekwa hadharani, na makabidhiano na Rais ni hadharani pia. Kwanini wahusika wa ubadhirifu huo wasishughulikiwe hadharani pia?