CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
- Thread starter
-
- #181
Kunyamaza sio kuwa cha kusema au kuuliza hatuna
Haya pesa za kigeni zimeongezeka kusema tu zimeongezeka hakutoshi ,Kilichosababisha ziongezeke ni kitu gani? Je ni mauzo yetu ya bidhaa nje ya nchi? Au ni mikopo ambayo tumekopa ili tuwe na uhakika wa kula hiyo miezi kwa hela za kukopa ?
Nini kimesababisha hilo ongezeko la pesa za kigeni ghafla ni PESA za misaada ya COVID 19 au ni nini? Tufafanulie wewe.Nini kimesababisha huo mpando? Kabla hatujapiga makofi na
Haya mambo hayawezi kuwasaidia chadema lazima ife tuWenye akili walihama Chadema kwa kuwa malaya wa kisiasa na kununuliwa? Una akili timamu wewe!? Kama Mtanzania baada ya miaka 60 ya kuwa huru unajivunia kipi? Wenye akili maccm wanahofia Katiba mpya n Tume huru ya uchaguzi. Wanahofia uchaguzi huru na wa haki. Wanapora chaguzi kupitia polisiccm na Tume FEKI ya uchaguzi. Kwako wewe hizi ndiyo akili!!! π³π³π³
Eti jabali la siasa hahahahaha ujinga mwisho lumumba siyo humu.
Haya mambo hayawezi kuwasaidia chadema lazima ife tu
#KAZIIENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Yehodaya ana kisununu....Kama anatisha ndg yangu,
Namuona YEHODAYA anauliza mambo ya kijinga huyu mwanaccm sijui nini kimempata,
#KAZIIENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
π€£π€£Akae tu kwa kutulia...atulie tu huyo bwana
Apuuzwe tu hatufai,Yehodaya ana kisununu....
Yehodaya ni mwanaCCM wa "upepo" wa mtu.....
SIEMPRE CHIEF MKUU HANGAYA π
SIEMPRE CCM
#Kazi Iendelee kwa Kasi &Weledi Zaidi
Ndio hapa CUF haijafa mbona,Acha ujinga wewe!!! Yule dhalimu magufuli pamoja na udikteta nΓ‘ udhalimu wake wa kuua Viongozi na wanachama, wapenz na mashabiki wa Chadema, kuwabambikia kesi fake na kuwafunga lakini Chadema haikufa nΓ‘ ndiyo ilizidi kuwa very powerful all over the country. Hakuna wa kuiua Chadema mtasubiri sana. Dhalimu kafa yeye na Chadema bado INADUNDA na kuwa tishio kubwa kwa maccm.
Aaaagh komredi....Apuuzwe tu hatufai,
#KAZIIENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Mnooo π€£πSiku zinakwenda kwa kasi sana,
#KAZIIENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Ndio hapa CUF haijafa mbona,
#KAZIIENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Kuna watu wanaona aibu aise,Mnooo π€£π
Aaaagh komredi....
Ndugu zetu hao wako wengi tu.....itikadi zao za ajabuajabu....
Lini mwanaCCM aliyeiva itikadi ya chama anakuwa hasimu wa kazi za mwenyekiti wake?!!!
Lini?
Lini?!!
Inasikitisha.....
Imeisha iyooHata wakisema tuna Dola billion 50 Nani anaweza Ku verify kile wanachosema? Huyu mama na Serikali yake kitu pekee ninachoweza kuwaamini ni salamu tu zaidi ya hapo ni uongo Tu .
HakikaπHawatafanikiwa kwani umma umemwelewa sana mama,
#KAZIIENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Mbona alishatoa 449BL kwa swala hilo,Naona mnapiga promo ili mueleweke, mwambieni alipe madeni ya watumishi, tangu 2014 watu hawajalipwa stahiki zao, riba za mabenki kwa watumishi wa umma zipo juu, riba ni double digit punguzeni hadi single digit mbona kodi imepunguzwa na kuwa single digit, punguzeni pia makato ya NHIF punguzeni iwe 0.5% kwa mwezi kwa mshahara!! Hali ngumu hatuna hata posho..
Wakati wa Magufuri tulikuwa na akiba ya kula miezi 6,kwa Samia tuna ya miezi 3πππMakubwa haya yako wapi na hafanyi yeye sema mfumo unaanza kutengenezwa kurekebisha makosa aliyofanya na Mwendazake. Pia inawezekana vipi akatoa mafanikio hayo ambayo yalipaswa kutolewa na Waziri wa Fedha ama CAG. Tuache kudanganyana.
πMbona alishatoa 449BL kwa swala hilo,
Kwani wewe hujalipwa,
Zimetengwa tena 200BL nadhani zitakufikia tu