CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
- Thread starter
-
- #41
Sio Specific kwa COVID-19 kama ugonjwa hapana,Toa ujinga wako hapa loan ni specific kwa ajili ya COVID-19 wewe utasemaje ni akiba. Lian inakuwaje income wakati una obligation ya kulipa principle na interest?
**** wewe hauna akili baba yako hii mbole angeenda kustawisha mipera tu.Kwani mliokula zile 235bl za katiba mpya sio nyie Chadema,
Mlipoona siku za posho zimeisha mkaanzisha UKAWA ili kuvuruga zoezi la upatikanaji wa katiba mpya, au sio nyie mlifanya kukoseka kwa 2/3 bunge la katiba?
Wahuni nyie na katiba mpya mtaisoma kwenye Rasimu tu,
Tuache kupeleka maji vijijini tuhangaike na wahuni wasiojitambua,
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Nashukuru mkuu but ukweli ndio huo,Jinga sana wewe!!!
Hata salamu usiziamini.Hata wakisema tuna Dola billion 50 Nani anaweza Ku verify kile wanachosema? Huyu mama na Serikali yake kitu pekee ninachoweza kuwaamini ni salamu tu zaidi ya hapo ni uongo Tu .
Sio Specific kwa COVID-19 kama ugonjwa hapana,
Huu mkopo ni wakusisimua uchumi ( Economic stimulation Loan) hii ni baada ya uchumi kuvunjwa vunjwa na CORONA,
Wacha leo niwape shule kidogo Chadema naamini mtanielewa tu
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Tumia akili kusifia basi, 4.8 +2.3 inakua 5.8? Au umelogeka?
Difa zunahitajika lakini sio kwa kiwango cha kijinga namna hii,
Mnafanya tuonekane tunasifia bila akiri
Wewe ni qumerKwani mliokula zile 235bl za katiba mpya sio nyie Chadema,
Mlipoona siku za posho zimeisha mkaanzisha UKAWA ili kuvuruga zoezi la upatikanaji wa katiba mpya, au sio nyie mlifanya kukoseka kwa 2/3 bunge la katiba?
Wahuni nyie na katiba mpya mtaisoma kwenye Rasimu tu,
Tuache kupeleka maji vijijini tuhangaike na wahuni wasiojitambua,
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Hapa ni kabla ya Rais Samia ila tumelipa zaidi ya tshs 8T toka Rais Samia awe madarakani,Deni la Taifa lazidi kupaa na kufikia 77 trillions
Tanzania's national debt increases by $3.9 billion in one year, July central bank report reveals Twin towers forming part of the complex that is the headquarters of the Bank of Tanzania in the heart of Dar es Salaam. A July central bank report shows that Tanzania’s debt stock rose by $3.9...www.jamiiforums.com
Urais ni taasis,Yaani mnaonekana hamnazo kabisa
Hizo pesa mmeokota?
Si hela za wananchi za kodi?
Au samia yeye ana pesa nyingi sana kaamua kutoa zake na kuipa serikali?
Waafrika bwana...na cha ajabu wananchi believe this nonsense
Acha kutafuta laana za bure,**** wewe hauna akili baba yako hii mbole angeenda kustawisha mipera tu.
Hongera kwa mh.Rais Mungu amjalie Hekima na ampe vingi kwa ajili ya Taifa letu.Akiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameziongeza kwa Tzs 2.3T zimefika $5.8b toka $4.8b mwezi March | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri.
"Hakuna kama Samia "
Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.
Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,
Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,
Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,
Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,
Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,
Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Hapa ni kabla ya Rais Samia ila tumelipa zaidi ya tshs 8T toka Rais Samia awe madarakani,
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Kwalisha chakula gani maana isije kuwa wali maharagwe?Akiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameziongeza kwa Tzs 2.3T zimefika $5.8b toka $4.8b mwezi March | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri.
"Hakuna kama Samia "
Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.
Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,
Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,
Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,
Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,
Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,
Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Tunakusanya kodi mzee,Yeye kazitoa wapi hizo za kuongezea?? Je, hazijatokana na kodi/tozo?
Hivi hizi pambio za kusifu na kuabudu bado zinaimbwa tu?
Hata salamu usiziamini
Kauli za kisiasa hizo na hazina maanaMbona Mama anasema hawezi kuvaa vile viatu nilijua vinampwaya kumbe vinambana,
Huyu Mama atatupeleka tulipo stahili muda mrefu sana,
Mungu amlinde kama kazi anaipiga kwelikweli atawapiku marais wote huyu
Unadhani kati yangu nawewe nani mwenye hizo sifa?Wapuuzi kama hawa Mkuu ni tatizo kubwa sana nchini.
Haiwezekani kila mtu akathibitisha,kuna watu wenye dhamana hiyo.Hata wakisema tuna Dola billion 50 Nani anaweza Ku verify kile wanachosema? Huyu mama na Serikali yake kitu pekee ninachoweza kuwaamini ni salamu tu zaidi ya hapo ni uongo Tu .