Tanzania tuna akiba ya forex ya kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi sita au kutulisha wote kwa miezi mitatu

Tanzania tuna akiba ya forex ya kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi sita au kutulisha wote kwa miezi mitatu

Toa ujinga wako hapa loan ni specific kwa ajili ya COVID-19 wewe utasemaje ni akiba. Lian inakuwaje income wakati una obligation ya kulipa principle na interest?
Sio Specific kwa COVID-19 kama ugonjwa hapana,

Huu mkopo ni wakusisimua uchumi ( Economic stimulation Loan) hii ni baada ya uchumi kuvunjwa vunjwa na CORONA,


Wacha leo niwape shule kidogo Chadema naamini mtanielewa tu

#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Kwani mliokula zile 235bl za katiba mpya sio nyie Chadema,

Mlipoona siku za posho zimeisha mkaanzisha UKAWA ili kuvuruga zoezi la upatikanaji wa katiba mpya, au sio nyie mlifanya kukoseka kwa 2/3 bunge la katiba?

Wahuni nyie na katiba mpya mtaisoma kwenye Rasimu tu,


Tuache kupeleka maji vijijini tuhangaike na wahuni wasiojitambua,


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
**** wewe hauna akili baba yako hii mbole angeenda kustawisha mipera tu.
 
Yeye kazitoa wapi hizo za kuongezea?? Je, hazijatokana na kodi/tozo?
Hivi hizi pambio za kusifu na kuabudu bado zinaimbwa tu?
 
Ni misallication of funds TOZO ambayo huyo Chifu hang ya alidai zitatumika kufanya mambo mbali mbali sasa anadai mikopo maalum ya COVID-19 kununulia barakoa na mahitaji mengine muhimu ili kupambana na Covid hamfanyi hivyo kwa kujiaminisha kwamba ugonjwa umepungua kitu ambacho si kweli. Hao watalii kwa maelfu toka nchi mbali mbali duniani wanahofia kuingia kwenye nchi ambayo haitoi data za kila siku za idadi ya wagonjwa na vifo. Ná hata huo mkopo wa IMF wa $567 millions una masharti ya kutoa hizi data kila siku au mkopo hautoki.

Sio Specific kwa COVID-19 kama ugonjwa hapana,

Huu mkopo ni wakusisimua uchumi ( Economic stimulation Loan) hii ni baada ya uchumi kuvunjwa vunjwa na CORONA,


Wacha leo niwape shule kidogo Chadema naamini mtanielewa tu

#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Hapana unachanganya

Rais Samia kaongeza $1BL ambazo ni sawa na TZS 2.3T,

$4.8B sio shilingi ni dollar



#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Tumia akili kusifia basi, 4.8 +2.3 inakua 5.8? Au umelogeka?
Difa zunahitajika lakini sio kwa kiwango cha kijinga namna hii,
Mnafanya tuonekane tunasifia bila akiri
 
Kwani mliokula zile 235bl za katiba mpya sio nyie Chadema,

Mlipoona siku za posho zimeisha mkaanzisha UKAWA ili kuvuruga zoezi la upatikanaji wa katiba mpya, au sio nyie mlifanya kukoseka kwa 2/3 bunge la katiba?

Wahuni nyie na katiba mpya mtaisoma kwenye Rasimu tu,


Tuache kupeleka maji vijijini tuhangaike na wahuni wasiojitambua,


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Wewe ni qumer
 
Hapa ni kabla ya Rais Samia ila tumelipa zaidi ya tshs 8T toka Rais Samia awe madarakani,


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Yaani mnaonekana hamnazo kabisa

Hizo pesa mmeokota?

Si hela za wananchi za kodi?

Au samia yeye ana pesa nyingi sana kaamua kutoa zake na kuipa serikali?

Waafrika bwana...na cha ajabu wananchi believe this nonsense
Urais ni taasis,

Don't take Samia at an entity,



#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 

Akiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameziongeza kwa Tzs 2.3T zimefika $5.8b toka $4.8b mwezi March | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri.​


"Hakuna kama Samia "​


Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.

Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,

Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,

Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,

Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,

Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,

Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

Hongera kwa mh.Rais Mungu amjalie Hekima na ampe vingi kwa ajili ya Taifa letu.
 
Wacha uongo wako wewe!!! Hii article ni ya September 19 that’s 3 weeks ago. Kwanini hao BoT hawakuweka hayo malipo ya 8 trillions?


Hapa ni kabla ya Rais Samia ila tumelipa zaidi ya tshs 8T toka Rais Samia awe madarakani,


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 

Akiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameziongeza kwa Tzs 2.3T zimefika $5.8b toka $4.8b mwezi March | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri.​


"Hakuna kama Samia "​


Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.

Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,

Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,

Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,

Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,

Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,

Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

Kwalisha chakula gani maana isije kuwa wali maharagwe?
 
Yeye kazitoa wapi hizo za kuongezea?? Je, hazijatokana na kodi/tozo?
Hivi hizi pambio za kusifu na kuabudu bado zinaimbwa tu?
Tunakusanya kodi mzee,

Majuzi tumefikia Tshs 2T kwa mwezi,


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Mbona Mama anasema hawezi kuvaa vile viatu nilijua vinampwaya kumbe vinambana,
Huyu Mama atatupeleka tulipo stahili muda mrefu sana,
Mungu amlinde kama kazi anaipiga kwelikweli atawapiku marais wote huyu
Kauli za kisiasa hizo na hazina maana
 
Ametoa za kwake mfukoni akajazia au mi ndio sijaelewa......
 
Hata wakisema tuna Dola billion 50 Nani anaweza Ku verify kile wanachosema? Huyu mama na Serikali yake kitu pekee ninachoweza kuwaamini ni salamu tu zaidi ya hapo ni uongo Tu .
Haiwezekani kila mtu akathibitisha,kuna watu wenye dhamana hiyo.
 
Back
Top Bottom