Ndio maana Mungu hayupo Chadema mkuu,
KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDIZAIDI
Acha mzee apumzika,Maisha mtaani huyaoni? Una hela zote hizo kwanini usicreate ajira za wasomi ambao bado tunawahitaji sana katika kila field. Kwanini ushindwe kuongeza mishahara kwa miaka sita?
Kama hizo ndio akili zako sihitaji kwa hata na 0.00008 ya hiyo robo.Ungekuwa na robo tu ya akili zangu usingeandika huu upuuzi wako! Eti loan ni income hahahahahaha
Wewe ni jinga kubwa Sana,Sisi sio wajinga kama wewe ..Utaishia kuwa na wishful thinking hivyo hivyo lakini ukipata kitaa utakuwa unaona Kazi zinaenda kwa kasi kubwa SanaMpumbavu mkubwa wewe USIYEJUA lolote lile, Ngoja hilo deni liendelee kukua hadi kila shilingi ya pato la Taifa senti 80 iende kulipa deni hivyo Serikali ibakiwe na senti 20 ya development na recurrent expenditure ndiyo UTATIA AKILI KICHWANI. Eti nina wivu ππππππ€£ nchi tajiri iko huru miaka 60 sasa mikopo na misaada ya trillions lakini HAKUNA CHA KUJIVUNIA lakini pimbi wewe HULIONI HILO!!! PUMBAVU MKUBWA!!!
Rudi tena kasome ulichoandika ,
Ulisema loan haiwezi ikawa income nikakwambia Loan kunakipindi inakuwa income kipindi liability,
Hujaelewa nini pia acha matusi I dislike,
#KAZIIENDELEE KWA KASI NA WELEDIZAIDI
Because a loan means you're borrowing money from a lender or bank, they aren't considered income. Income is defined as money you earn from a job or an investment. ... The only time a loan would be considered income is if the loan was canceled by the lender or bank
Very nice ever,Ukisikia kupanic ndio huku,hapa ni wivu na chuki vinakusumbua,thibitisha huo uongo,huwezi..
Nakusaidia sasa hiyo initiative ya Covid ndio imeleta tija,pamoja na kupambana na covid shilling ya Tzn imeimarika dhidi ya dola kutokana na kuongeza kwa exports ya bidhaa za viwandani,gold na Mazao ghafi.
Kwani wewe hukumsikia kwamba Tzn imeipiku Kenya ku export bidhaa nyingi Uganda?..
Hujasikia uwekezaji ulivyoongezeka kutoka dola mil.600 hadi dola bil.3?
Hujaona sekta ya utalii ukianza kuimarika? Miezi 6 watalii zaidi ya 400k inamaana by Mwisho wa mwaka itazidi idadi ya last year ya 600k..
Biashara mpya nyingi zimefunguliwa,Brella walisajili zaidi ya biashara 3,000 tofauti na 1700 mwaka uliopita kipindi kama hicho? Tena katika hizo leseni migodi 3 mikubwa ya matilioni ya pesa na Rais aliitaja Jana kwenye hotuba yake.
Ndugu unateseka kutokea sehemu gani hapa Tzn? π€£π€£π€£π€£.
Mikopo kila nchi inakopa mbona awamu zilizopita zilikopa na hawakuwahi sema walifanyia nini pesa au walidanganywa kwamba hawajakopa huku deni la Taifa likikua mara 2 zaidi?
Kwa Taarifa yako hayo mafanikio ni ukuaji wa uchumi,ingia BoT utaona yote hayo na GDP kwa kipindi hicho ilikua kwa 4.9% juu ya projection ya 4.5%
Kwa Taarifa yako hakuna nchi haikopi ,Nigeria hapo wanafukuzwa mkopo wa Dola bil.10 za Us, Marekani mwezi uliopita wamepitisha pesa ya mkopo wa mabilioni ya dola tena wakasema Bunge likigoma Serikali itashindwa kujiendesha ππ..Huo mkopo ambao Serikali inatafuta ni dola bil.1.1 na ni kwa ajili ya kuongeze hiyo reserves ya pesa za kigeni pia.
Niongeze volume? Pole Sana namba hazidangayi hakuna kama Samia na hakuna atamfikia kwa rekodi hizi π
View attachment 1970774
View attachment 1970775
View attachment 1970776
View attachment 1970777
View attachment 1970778
View attachment 1970779
Very nice ever,Ukisikia kupanic ndio huku,hapa ni wivu na chuki vinakusumbua,thibitisha huo uongo,huwezi..
Nakusaidia sasa hiyo initiative ya Covid ndio imeleta tija,pamoja na kupambana na covid shilling ya Tzn imeimarika dhidi ya dola kutokana na kuongeza kwa exports ya bidhaa za viwandani,gold na Mazao ghafi.
Kwani wewe hukumsikia kwamba Tzn imeipiku Kenya ku export bidhaa nyingi Uganda?..
Hujasikia uwekezaji ulivyoongezeka kutoka dola mil.600 hadi dola bil.3?
Hujaona sekta ya utalii ukianza kuimarika? Miezi 6 watalii zaidi ya 400k inamaana by Mwisho wa mwaka itazidi idadi ya last year ya 600k..
Biashara mpya nyingi zimefunguliwa,Brella walisajili zaidi ya biashara 3,000 tofauti na 1700 mwaka uliopita kipindi kama hicho? Tena katika hizo leseni migodi 3 mikubwa ya matilioni ya pesa na Rais aliitaja Jana kwenye hotuba yake.
Ndugu unateseka kutokea sehemu gani hapa Tzn? π€£π€£π€£π€£.
Mikopo kila nchi inakopa mbona awamu zilizopita zilikopa na hawakuwahi sema walifanyia nini pesa au walidanganywa kwamba hawajakopa huku deni la Taifa likikua mara 2 zaidi?
Kwa Taarifa yako hayo mafanikio ni ukuaji wa uchumi,ingia BoT utaona yote hayo na GDP kwa kipindi hicho ilikua kwa 4.9% juu ya projection ya 4.5%
Kwa Taarifa yako hakuna nchi haikopi ,Nigeria hapo wanafukuzwa mkopo wa Dola bil.10 za Us, Marekani mwezi uliopita wamepitisha pesa ya mkopo wa mabilioni ya dola tena wakasema Bunge likigoma Serikali itashindwa kujiendesha ππ..Huo mkopo ambao Serikali inatafuta ni dola bil.1.1 na ni kwa ajili ya kuongeze hiyo reserves ya pesa za kigeni pia.
Niongeze volume? Pole Sana namba hazidangayi hakuna kama Samia na hakuna atamfikia kwa rekodi hizi π
View attachment 1970774
View attachment 1970775
View attachment 1970776
View attachment 1970777
View attachment 1970778
View attachment 1970779
Kama hizo ndio akili zako sihitaji kwa hata na 0.00008 ya hiyo robo.
Hizo unazosema ni akili za zinakutosha kutongozea wapumbavu wenzio tuu, kwenye uchumi uko mweupe kama puto.
Very nice ever,
My comment Of The day
Haya mambo sio yakunifundisha mimi,Borrowers can use personal loans for all kinds of purposes, but can the Internal Revenue Service (IRS) treat loans like income and tax them? The answer is no, with one significant exception: Personal loans are not considered income for the borrower unless the loan is forgiven.
In other words, you cannot be taxed on loan proceeds unless the lender grants the borrower a reprieve on paying back the debt owed. This is known as loan forgiveness. In the event a loan is forgiven, the proceeds associated with the original loan are considered a cancellation of debt (COD) income. And COD income can be taxed.1
Haya mambo sio yakunifundisha mimi,
Mimi nilikusaidia tu ufahamu kuwa kunakipindi Loan ni income na kunakipindi Loan ni liability,
Rejea comment yangu kama unataka kujifunza,
ACHA MATUSI NEXT NAKUBLOCK
Ndio nakwambia hujui kitu,kumbe ulitaka serikali isikope ilhali reserves ambazo zilikuwa zinatokana na utalii haziji kulingana na imports inayotakiwa?Akili ya loan kuwekwa kama income peleka lumumba pimbi wewe!!! Humu tutakuchapa za uso na upumbavu wako. Eti reserve zimeongezeka kutokana na loans hahahahahaha. Acheni KUKURUPUKA na kurukia field msizozijua.
Shida si ndiyo hii Mkuu,kitaa pagumu,haiwezekani kugawa kwa kila Mtanzania japo akiba ya mwezi mmoja tu,tupate mitaji..?Zingine zendelee kuwa akiba?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimecheka kwa sauti,
Mkuu hii ni kama itatokea shida ndio zitafanya kazi kwa sasa ni akiba yetu
Benki pa nini tena Mkuu?! Watupe Pesa hiyo ya mwezi mmoja tupate mitaji.Wazisambaze Halmashauri huku,tuzichukulie kwa wenyeviti wetu wa mitaa huku ,cash.Mkuu fursa zote ziko wazi chini ya mama,
Pesa iko Bank wanatafuta wateja kawaone mkuu
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Kama huna fani ya uchumi kadili maswala ya mapenzi na mengine ya huko kwenye saccos yenu,haya yako beyond your understanding ndio maana unahangaika sana na neno loan.Uchumi upi uliosomea ZWAZWA wewe!? Uchumi wa kuchukua loans na kudai ni income na kuweka kama reserves!? Peleka hiyo elimu yako uchwara lumumba.
Kwa hiyo nchi imekuwa inaenda kinyumenyume. Kikwete aliacha $5 bilioni. Marehemu akaishusha mpaka $4.8 bilioni. Leo awamu ya 6 imefikia $5.8 bilioni!!
Hii maana yake ni kuwa akiba ya Taifa miaka 6 baadaye imeshuka kuliko aliyoiacha Kikwete.
Dollar kwa wastani ina-depreciate kwa 1.4% kwa mwaka. Hii ina maana ukiilinganisha hii ya sasa ua $5.8 ni sawa na $5.3 ya wakati wa awamu ya Kikwete. Population imeongezeka kwa zaidi ya 10% akiba ya fedha za kigeni imeongezeka kwa 6%! Lazima uwe mjinga hasa, kufurahia hali hii.
Jamaa hajastaarabika kabisa huyu,Kama huna fani ya uchumi kadili maswala ya mapenzi na mengine ya huko kwenye saccos yenu,haya yako beyond your understanding ndio maana unahangaika sana na neno loan.
Hahaha kuhusu utaratibu mkuuBenki pa nini tena Mkuu?! Watupe Pesa hiyo ya mwezi mmoja tupate mitaji.Wazisambaze Halmashauri huku,tuzichukulie kwa wenyeviti wetu wa mitaa huku ,cash.
Achana naeJamaa hajastaarabika kabisa huyu,