Kama huna fani ya uchumi kadili maswala ya mapenzi na mengine ya huko kwenye saccos yenu,haya yako beyond your understanding ndio maana unahangaika sana na neno loan.
Kwa hiyo,mwendazake na mauongo yake ya mchana kweupe na data za kupika ndiye ulikuwa unamwamini?Hata wakisema tuna Dola billion 50 Nani anaweza Ku verify kile wanachosema? Huyu mama na Serikali yake kitu pekee ninachoweza kuwaamini ni salamu tu zaidi ya hapo ni uongo Tu .
Jamaa hajastaarabika kabisa huyu,
UTATESEKA SANA,Ila wewe unayezuka kila siku humu na FAKE NEWS ndiyo umestaarabika siyo!? ππππ
Sio income ,makamasi yako ndio income.Kadili ndiyo nini mpuuzi wewe? Huo uchumi wako mwitu uliosomea peleka lumumba siyo humu eti unataka kudanganya watu mkopo ni income!!!!
ππππππ
UTATESEKA SANA,
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Maelezo mazuri sana,Reserve inalimiti yake,
Ndio maana EAC ni 4.5months
Sio lengo la nchi kuwa na reserve kubwa sana kwani pesa hii inahitajika kwaajili ya mzunguko,
Miezi sita ni kiwango cha kimataifa,
Ndio maana hatushindanii kufika mwaka au miaka miwili ila The Standard ambayo ni miezi 6
Kuwa below 6months ndio shida that's Why Leo tunafurahia kuwa at standard level,
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
BAK nilimuona chizi huyu na ID yake ya numbers very hopeless. Mpuuzi sana.Kumbe NGUMBARU? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
BAK nilimuona chizi huyu na ID yake ya numbers very hopeless. Mpuuzi sana.
Kafanyaje?BAK nilimuona chizi huyu na ID yake ya numbers very hopeless. Mpuuzi sana.
Hayati Magufuli na Rais Samia wote hawa ni wana CCMMtu kama haamwamini Rais Samia je kipindi kile cha mapambio ndicho walichoamini? Hii ni Bongoland mwamba ngozi huvutia mguuni.
Yaani kama U.S.A ana madeni,ni nani tuogope kukopa?.Deni la Taifa lazidi kupaa na kufikia 77 trillions
Tanzania's national debt increases by $3.9 billion in one year, July central bank report reveals Twin towers forming part of the complex that is the headquarters of the Bank of Tanzania in the heart of Dar es Salaam. A July central bank report shows that Tanzaniaβs debt stock rose by $3.9...www.jamiiforums.com
Tutakopa na tutajenga shule na watoto wao watasoma bure,Yaani kama U.S.A ana madeni,ni nani tuogope kukopa?.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Huyu Mama atawale milele,Akiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameiongeza kwa TZS 2.3T sasa imefikia $5.8b toka $4.8b mwezi March 2021 | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu mfululizo yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa.
"Hakuna kama Samia "
Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.
Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,
Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,
Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,
Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,
Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,
Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Chadema hawana kiki tena kama enzi za Magufuli,Yaani kama U.S.A ana madeni,ni nani tuogope kukopa?.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Huyu Chadema imemmaliza kabisa akiliDuh! mkuu nadhani kwa hili unapindukia mipaka, kwa nini usiendelee kumkashifu yeye a usiingize wazazi wake! ambao si ajabu hawajui kuwa kuna huu mjadala unaendelea! na pengine sio kosa lao kama unavyofikiri kuwa walishundwa kumpa elimu nzuri, what if they did and it was CM him/herself who refused to catch up with the given opportunity Sir?
FactChadema hawana kiki tena kama enzi za Magufuli,
Wamechanganyikiwa kabisa,
Hakuna kama Samia,
BrilliantHuyu Mama atawale milele,
Mama hana kelele
Mama hana majivuno
Mama hana kejeli
Mama hana matusi
Mama mnyenyekevu
Mama mpole
...
Unasema deni la Taifa limefika Trillion 77 lakini hujasema ni asilimia ngapi ukilinganisha na Pato la Taifa Yani Debt to GDP ratio, Na hujatoa Angalizo kama Deni ni Stahimilivu au LahDeni la Taifa lazidi kupaa na kufikia 77 trillions
Tanzania's national debt increases by $3.9 billion in one year, July central bank report reveals Twin towers forming part of the complex that is the headquarters of the Bank of Tanzania in the heart of Dar es Salaam. A July central bank report shows that Tanzaniaβs debt stock rose by $3.9...www.jamiiforums.com