Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,588
- 956
Chadema kazi yake nikukurupuka mkuu,Unasema deni la Taifa limefika Trillion 77 lakini hujasema ni asilimia ngapi ukilinganisha na Pato la Taifa Yani Debt to GDP ratio, Na hujatoa Angalizo kama Deni ni Stahimilivu au Lah
Mkuu...ondoa mawazo hasi (negativity) kwa kila jambo. Furahia taarifa mzuri kama hizi zitakuondolea stress. Zina impacts kwako,ndugu,jamaa,rafiki na familia yako. Usiombee mabaya tu ili upate mtaji wa kukosoa/kisiasaOndoeni ujinga wenu humu.
Wewe ni mzalendo,Mkuu...ondoa mawazo hasi (negativity) kwa kila jambo. Furahia taarifa mzuri kama hizi zitakuondolea stress. Zina impacts kwako,ndugu,jamaa,rafiki na familia yako. Usiombee mabaya tu ili upate mtaji wa kukosoa/kisiasa
Nakusalimu kwa jina la JMT,Mkuu...ondoa mawazo hasi (negativity) kwa kila jambo. Furahia taarifa mzuri kama hizi zitakuondolea stress. Zina impacts kwako,ndugu,jamaa,rafiki na familia yako. Usiombee mabaya tu ili upate mtaji wa kukosoa/kisiasa
Mama Samia we love you mama,Akiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameiongeza kwa TZS 2.3T sasa imefikia $5.8b toka $4.8b mwezi March 2021 | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu mfululizo yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa.
"Hakuna kama Samia "
Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.
Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,
Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,
Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,
Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,
Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,
Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Unataka nani aseme sana?Hata wakisema tuna Dola billion 50 Nani anaweza Ku verify kile wanachosema? Huyu mama na Serikali yake kitu pekee ninachoweza kuwaamini ni salamu tu zaidi ya hapo ni uongo Tu .
Mkuu,hukusikia kipindi cha JPM tuliambiwa tuna akiba ya kula miezi 6?Sasa $4.8BL unawezakula miezi sita kama tutapewa bukubuku per day,
Ila kama ni GDP Per Capita isingewezekana,
Kima cha chini cha maisha Tanzania ni Tshs 2,700 kwa kichwa kwa Siku,
Sasa fanya hesabu utaona
Safi Sana Rais wetu, Ngosha alituchelewesha Sana,mama kanyaga twende, tuponawe daima Hadi 2035 inshaa'llahAkiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameiongeza kwa TZS 2.3T sasa imefikia $5.8b toka $4.8b mwezi March 2021 | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu mfululizo yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa.
"Hakuna kama Samia "
Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.
Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,
Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,
Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,
Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,
Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,
Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Kazi gani kubwa aliyoifanya tuanzie hapo!Uongo upi mkuu Wangu?
Nikweli mama hataki kujivuna ila anafanya makubwa Sana
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Mambo makubwa wanafanya Mbowe na LemaKazi gani kubwa aliyoifanya tuanzie hapo!
Rais Samia unafanya kazi kubwa sana, na nzuri na hakuna anayeweza kufikia rekodi yako hadi sasa. Yaani upo systematic kwenye kila jambo unalofanya, kwa hekima, busara na kwa professionalism iliyotukuka. Hakika wewe ndiye rais tuliyekungoja. Badilisha miji yetu ipendeze, kuwe na utaratibu mzuri, hao wachafuzi wa miji yetu wapangwe kwenye masoko(Hakuna biashara za barabarani, mbele ya maduka ya walipa kodi ya serikali na pango) na kama hawawezi basi waache biashara, Taifa letu haliwezi kuwa taifa la wachuuzi....Tukiendekeza tutajenga taifa la watu wasiofikiri au wavivu wa kufikiri na kukimbilia kazi rahisi rahisi za uchuuzi wa bidhaa badala ya wagunduzi na organized enterpreneurs. Uchuuzi wa barabarani hausaidii sana, magari yapite kwenye masoko ya bidhaa, wasioweza na wasiotaka kwenda huko basi wasifanye biashara. Mama unafanya kazi kubwa na ya kupendeza....Tunakupenda mno.Akiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameiongeza kwa TZS 2.3T sasa imefikia $5.8b toka $4.8b mwezi March 2021 | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu mfululizo yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa.
"Hakuna kama Samia "
Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.
Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,
Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,
Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,
Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,
Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,
Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Tuongee vingine siyo kututhibitishia eti zipo bank.Mkuu fursa zote ziko wazi chini ya mama,
Pesa iko Bank wanatafuta wateja kawaone mkuu
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Hahaha, nyie sasa mmehamishia chama na harakati zote mahakamani kwa kesi za kipuuzi puuzi ambzo watu makini wanaweza kuziepuka kabisa, leo hii shughuli zote za chama mmesimamisha eti sababu kesi ya Mbowe! Mungu atuepushilie mbali na hili zimwi linalojiita Chama cha demokrasia wakati wamejaza madudu matupu huko chamani kwao! Katika majanga aliyotuachia Jk mojawapo ni hawa watumwa wake wa kisiasa CDMπππππππ hamna hoja nyinyi mataga sasa mmebaki kwenye VIROJA pimbi nyinyi.
Sasa kwa mahesabu yako,kafanya kidogo sana maana tulikuwa na zaidi ya 4.8b USD, sasa haya mapambio yote ya nini.Hapana unachanganya
Rais Samia kaongeza $1BL ambazo ni sawa na TZS 2.3T,
$4.8B sio shilingi ni dollar
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Pamoja na misimamo ya Mwenda zake naamini hii kesi aliikwepa kabisa maana ushahidi ni aibu.Hahaha, nyie sasa mmehamishia chama na harakati zote mahakamani kwa kesi za kipuuzi puuzi ambzo watu makini wanaweza kuziepuka kabisa, leo hii shughuli zote za chama mmesimamisha eti sababu kesi ya Mbowe! Mungu atuepushilie mbali na hili zimwi linalojiita Chama cha demokrasia wakati wamejaza madudu matupu huko chamani kwao! Katika majanga aliyotuachia Jk mojawapo ni hawa watumwa wake wa kisiasa CDM
Tunaendeleza kazi mkuu.Nakusalimu kwa jina la JMT,
Mwendazake alikuwa hana aibu mzee, hivi kuna aibu kubwa kama kuwazuia wabunge na wanachama wake kwenda kumuona Lissu hospitali Nairobi? Kuna aibu kubwa kama kulizuia bunge kumpa Lissu stahiki zake wakati muafaka? Mwendazake didnt give a shit about anything/anybody, ni muda tu ulikuwa bado as kesi ilianza august then tukaingia kwenye kampeni na uchaguzi, kabla hajajipanga vizuri Covid ikafanya yake!! BTW Mbowe asingerudi nchini kama Mwendazake angekuwa hai maana alishasepa zake to Dubai and NairobiPamoja na misimamo ya Mwenda zake naamini hii kesi aliikwepa kabisa maana ushahidi ni aibu.
Siusome hili andiko?Kazi gani kubwa aliyoifanya tuanzie hapo!
Kila mpenda nchi anamfueahia Rais SamiaAkiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameiongeza kwa TZS 2.3T sasa imefikia $5.8b toka $4.8b mwezi March 2021 | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu mfululizo yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa.
"Hakuna kama Samia "
Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.
Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,
Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,
Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,
Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,
Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,
Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Sikusikia mkuu WanguMkuu,hukusikia kipindi cha JPM tuliambiwa tuna akiba ya kula miezi 6?