Tanzania tuna protocol za ovyo kabisa kwa Viongozi wetu

Kwa kuwa alidhani anawindwa na maadui akajilinda na mabunduki, internet jammers, bomb detactors, helicopters na mabomu LAKINI kwa vile alikuwa Mjinga na hayawani akafa kwa kamasi za COVID19.

Kama unabisha na wewe utakuwa mlemavu wa akili
 
Kwa kuwa alidhani anawindwa na maadui akajilinda na mabunduki, internet jammers, bomb detactors, helicopters na mabomu LAKINI kwa vile alikuwa Mjinga na hayawani akafa kwa kamasi za COVID19.

Kama unabisha na wewe utakuwa mlemavu wa akili
Ujinga ni kushupalia taarifa usizoweza hata kuthibitisha ingawa uko anonymous.

Zaidi kuongea bila kuwa na maarifa ya unayoongea ni zaidi ya UJINGA, next time niambie unajua nini kuhusu ulinzi wa raisi, kisha uniambie kipi ni ziada katika ulinzi unaouzungumzia ambao sio muhimu.

Max anateseka kulinda identity zenu ili muweze kuonesha uwezo wa fikra zenu, sio UJINGA.
 
Kama mbwembwe ebu siku moja tafutaneni watu wadizaini yako muwe kadhaa hivi na magobole yenu kumtungua mkuu.mukifanikiwa tutajua kweli zile ni mbwembwe
Ni ushamba tu... sasa wanavyo jifanya pale utafikiri wako gado kweli kweli kumbe mbwembwe tuuu
 
Rais wa US na PM wa Israel ndio viongozi wanalindwa zaidi dunia Technology watumia Technology kubwa sana
 
Sijaongelea gharama nimeongelea idadi ya walinzi wanaomzunguka huoni kama biden yuko free zaidi anapowasili sehemu yuko peke yake wala hana utitiri wa walinzi wanamzunguka au kusimama nyuma yake?
POTUS anapokuwa sehemu eneo lote linakuwa limefanyiwa security clearance ana move anavyotoka
 
Kwa kuwa alidhani anawindwa na maadui akajilinda na mabunduki, internet jammers, bomb detactors, helicopters na mabomu LAKINI kwa vile alikuwa Mjinga na hayawani akafa kwa kamasi za COVID19.

Kama unabisha na wewe utakuwa mlemavu wa akili
Hahahahahahaha mkuu umemaliza mjadala kunywa chibuku hapo nalipa. Yaani mtu anajilinda na mabunduki anashindwa kuvaa barakoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe nani? Alikuambia ambulance ni kwaajiri ya rais? Ile ni ya dhalula kwa wote,kuna wakati msafara wa makamu wa rais kipindi kile ssh gari ya waandishi wa habari lilipata ajali na walipatiwa huduma ya kwanza ktk ambulance
Ambulance ya nini wakati msafara una daktari na una vingora, hivi raisi ni nani mbona mnamfanya kama tofauti na raia waliompa ajira.
 
Mleta mada unaifananisha ulinzi wa U.S na Tanzania?
Nchi nyingi za Africa zipo hivyo,acha tutumie tulichonacho kulinda viongozi wetu mpaka tukipambazukiwa maendeleo ya technology kama hao U.S na wengineo.
Hapa Tanzania vyama vya siasa ambavyo havikuwa madarakani vilikua na walinzi lukuki kama Blue gurd,Red gurd wakimzonga mgombea Urais.
Dimomd,Konde boy walinzi 20,hii inaonyesha jinsi tulivyo sisi watanzania/waafrica.
Baadae sana huko tanaweza kubadilika.
 
Acha wachukulie easy yani watu wanacomment mpaka unasikitika.
 
UJINGA ni kutumia FAKE iD na kumtishia mtumiaji mwenzio mwenye FAKE ID. Ila mtateseka sana mliokuwa mnamuabudu Mwendazake wakati ni binadamu na sasa analiwa na minyoo ardhini.

Tunamshukuru Rais SSH ameturudushia uhuru wa maoni na kujieleza
 
Hahahahahahaha mkuu umemaliza mjadala kunywa chibuku hapo nalipa. Yaani mtu anajilinda na mabunduki anashindwa kuvaa barakoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pamoja Sana mkuu
 
Hakuna Msanii Mshamba kama Konde Boy ( Harmonize ) na sijui hata anachoimba ni nini zaidi ya Upuuzi tu.
Kila mtu ni mshamba. Hata wewe ni bonge la mshamba ndiyo maana unamkandia mwanaume mwenzetu. Wanaume huwa hatuna tabia za kukandiana kama ulivyofanya mkuu.
 
UJINGA ni kipaji na Magufuli alikuwa nacho, sasa ukiongeza na kiburi chake ndiyo akawa HAYAWANI. Maana tayari kwa kipindi chake Tanzania ilikuwa inahesabika kama nchi ya 5 Afrika yenye Kiongozi mwenye ulinzi mkali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] you made my day brother.
 
Sidhani kama utampata muda huu [emoji403] ni nyingi uchumi wa Dunia unaanza kufunguka.
Wamechangia ila naona kama wametupiga kwa namna moja au nyingine kwa sababu huenda hata hawajawahi kuona msafara wa Rais wa Marekani. Hivyo hawana uzoefu wowote juu ya hilo. Kumbuka NYANI NGABU & KIRANGA wapo mashambani huko Marekani. So watajuaje mambo ya itifaki juu ya ulinzi wa Rais wa Marekani.
 

Hiyo ambulance πŸš‘ unataka kutuambia nini kwamba jamaa alikuwa mgonjwa wakati anapiga military uniform na juu upo ulinzi wa 🚁 .
 

Kwahiyo unataka kutuambia Nyani Ngabu ni dereva wa 🚜 haaaaaa haaaaa
 
Bora iwe hivyo, walinz waliapa,ikitokea la kutokea kwa uzembe wa walinz, walinz watawajibika kwa viapo vyao, hakuna anayetaka aache Familia kwa uzembe. Ulaya na ulaya wameshapita huko, ss natural death imetuyumbisha sembuse kuuwawa kwa kiongoz wa nchi. Kwenye usalama hakuna kupuuzia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…