Kauli za mabeberu hizi zenye lengo la kutunyongesha.
Hawa wala usiwaamini mkuu. Wamekopi na kupesti maneno ya mabeberu ili waipate hiyo unayoiita PhD.Kuna Mtanzania ambaye kafanye PHD yake na uchunguzi kwa zaidi ya miaka 3
Hakuna mwenye PhD wala professorial rank nchi hii. Ndiyo maana tangu dunia kuumbwa hata kijiti cha kuchokonolea meno au kiwembe hakijawahi kutengenezwa hapa nchini.Ktabu ni takataka ni theory kibao kama unasoma majarida ya nje utajua tu...Hapa bongo hao PhD ni kama afya tu kama utaendlea kusoma mpaka uzeeni utapata tu.. article nyingi hta lugha unajua ni copy and paste na kuunganisha idea hata Yale maneno unaona togolani mavura anatweet kule twitter ni ideas za vitabu kama hujui.
😂😂😂😂Hakuna mwenye PhD wala professorial rank nchi hii. Ndiyo maana tangu dunia kuumbwa hata kijiti cha kuchokonolea meno au kiwembe hakijawahi kutengenezwa hapa nchini.
Au hata dawa ya chooni au kidonge cha kuua mende.
Bure kabisa
Unamaliza chuo unakuja pata kazi baada ya miaka 5. Hapo umeshafanya kila aina ya kazi kuanzia boda boda mpaka ukuli lazima elimu i expireWataalamu mimi naona tunao lakini njia sahihi za kuwatumia ndio changamoto kubwa ktk nchi yetu, mfano mdogo tu tuna stesheni ngapi zilizo andaliwa kwaajili ya utafiti wa mbegu bora za kilimo/mifugo? ujenzi gani mkubwa tulioufanya hapa nchini wataalamu wetu wakapewa nafasi watumikie ujuzi wao? wapewe nafasi, wajivunie taaluma zao hapo tutajivunia wataalamu wa nchi yetu.
Unatuonea mkuu, kwamba nchi yetu bure kabisaHakuna mwenye PhD wala professorial rank nchi hii. Ndiyo maana tangu dunia kuumbwa hata kijiti cha kuchokonolea meno au kiwembe hakijawahi kutengenezwa hapa nchini.
Au hata dawa ya chooni au kidonge cha kuua mende.
Bure kabisa
Mkuu, Kwani kutengeneza vitu kama toothpicks, wembe.. lazima umiliki PhD?!Hakuna mwenye PhD wala professorial rank nchi hii. Ndiyo maana tangu dunia kuumbwa hata kijiti cha kuchokonolea meno au kiwembe hakijawahi kutengenezwa hapa nchini.
Watu wanazani mambo yanaishia kwenye kutengeneza tu. Kuna kuiuza hyo product na kupata revenue hapo ndo pana mtihani.Mkuu, Kwani kutengeneza vitu kama toothpicks, wembe.. lazima umiliki PhD?!
Kama we umeona hiyo fursa kwanini usitengeneze?
Hawa wala usiwaamini mkuu. Wamekopi na kupesti maneno ya mabeberu ili waipate hiyo unayoiita PhD.
Wenye PhD wako wengi nchi hii lkn hawana tija yoyote kwenye hili taifa zaidi ya kumiliki karatasi ngumu wanazoziita vyeti.
Niambie wewe Sasa. Kuna kipi cha maana kimewahi kufanywa hapa nchini na hao wasomi?
Nilitegemea wasomi wawe wa kwanza kuiona fursa hii. Msomi ni mtu anaueyatawala mazingira na changammoto zake.Mkuu, Kwani kutengeneza vitu kama toothpicks, wembe.. lazima umiliki PhD?!
Kama we umeona hiyo fursa kwanini usitengeneze?
Unachokitaza hata wewe hujakifanya. Nilitarajia wewe msomi ungetuwekea takwimu hapa ili sisi akina Sexless tuondokane na hii dhana ama fikra potofu.Huu mtandao wa hoja sio vihoja. Tuletee data zako ni wapi hasa haukubaliani nao kama huna data tunashauri uwende page ya udaku au mapenzi “sexless”
Ingawa chapisho lake ni la muda mrefu ,lakin tatizo hilo lipo na ni kubwa sana.Tatizo hilo linasababishwa na serikali kutowapatia mafunzo kwa vitendo watumishi wake wengi.Mfano madaktari wengi wa Tanzania wamesoma kwa Kiasi kidogo sana.Jaribu kupata ajali uone au Jaribu kuugua mqgonjwao Kama figo uone.Bado utaona madaktari wetu walioshindwa kutoa uduma zinazotakiwa kutokana na kwamba wamesoma kidogo sana.Ukiongea na wananchi wa kawaida wana lalamika kuna wasomi wengi sana hawana kazi. Ukiongea na wataalamu wanalalamika hakuna watu wa kutosha wenye ujuzi na taaluma za kazi. Kuna Mtanzania Dr Mushi alifanya PHD yake kwenye hili na link ya kitabu chake iko hapo. Je ni kweli kuna tatizo la wataalamu? Na tufanye nini kutatua hili tatizo
Pascal Mayalla Zitto
View attachment 2449086
Unachokitaza hata wewe hujakifanya. Nilitarajia wewe msomi ungetuwekea takwimu hapa ili sisi akina Sexless tuondokane na hii dhana ama fikra potofu.
Wasomi gani nyie mnaojitambulisha kwa majina yenu kuanzia na Dr. tu badala ya kujitambulisha kwa umuhimu wa kazi zenu kwenye jamii?
Bure kabisa.