Ukiongea na wananchi wa kawaida wana lalamika kuna wasomi wengi sana hawana kazi. Ukiongea na wataalamu wanalalamika hakuna watu wa kutosha wenye ujuzi na taaluma za kazi. Kuna Mtanzania Dr Mushi alifanya PHD yake kwenye hili na link ya kitabu chake iko hapo. Je ni kweli kuna tatizo la wataalamu? Na tufanye nini kutatua hili tatizo
Pascal Mayalla Zitto
Nimeona hii kuhusu kenya
Kitabu kiko amazon
Amazon product ASIN 0739165550
Pascal Mayalla Zitto
Nimeona hii kuhusu kenya
Kitabu kiko amazon
Amazon product ASIN 0739165550