The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
-
- #81
Sawa hapo kwenye network tumejenga asilia ngapi? Angola ni kubwa kuliko TznData za barabara ambazo zimetolewa kwa Tanzania ni data za TANROAD tu, TARURA Network yote haipo kwenye hizo data, kwa ujumla Tanzania tuna Network kubwa ya Lami kuliko nchi zote hizo zilizotajwa. Kwa hiyo barabara zote za mjini hazijaorodheshwa, wakati nchi nyingine wameorodhesha za mjini pia.
Tulia basi...wanatuzidi nini.. Uganda inaingia mara 4 kwa ukubwa kwa Tanzania. Tanzania Ina barabara ya lami kutoka Mtwara mpaka Bukoba... Arusha mpaka Mbeya.. unaweza kujua ni km ngapi hizo..Tumejitahidi kulinganisha na nani? Ikiwa majirani wote wanatuzidi?
Kana kwamba haitoshi tunajenga barabara za grade ya chini Sana.
Propaganda za kishamba tu zilikuwaSi tuliambiwa jiwe kaijenga Tz imekuwa kama ulaya?
Umesoma attachment hapo juu au unahemka tuu.Tulia basi...wanatuzidi nini.. Uganda inaingia mara 4 kwa ukubwa kwa Tanzania. Tanzania Ina barabara ya lami kutoka Mtwara mpaka Bukoba... Arusha mpaka Mbeya.. unaweza kujua ni km ngapi hizo..
Nimeskia Tunduma - Igawa itaanza kujengwa njia nne.Umeelezea vema,tunaishi nchi ya sifia sifia tu,wataalaam wetu wote wameokotwa jalalani,kituko cha RPC Dodoma eti ataanza to escort buses zinapoingia mkoani kwake!ni kichekesho kitupu,we need to be serious hapa hii T1 ni uchafu mtupu hasa Mbeya to Tunduma,Dar to Mikumi ,hii barabara inabidi tuijenge upya sio kuitia viraka!life span ya barabara hii imeshapitwa na wakati,hii barabara imejengwa Nyerere era,inabidi tuipanue hasa pale Mikumi National park ikiwa ni pamoja na kusafisha vichaka vyote 20m both sides (faida yake tutapunguza wanyama wadogo kuwa maeneo karibu na barabara),Kitonga Pass tuweke njia mbili pale,Chimala to Mbeya papanuliwe na njia hii ichepushwe isipite katikati ya Mbeya.Natamani waziri wangu wa mawasiliano afanye utalii wa kikazi kwa barabara,aanzie N1 from Beitbridge to cape town,then N7 from Cape town to Namibia border,pale achukue B1 to windhoek,then aruke kwa ndege to Gaborone pale akamate A1,A2 na A3 towards kazungula,definitely akirudi Dar ataona tofauti kubwa kati yao na sisi.
Kwa taarifa yako barabara inayopita ndani ya mbuga ya Mikumi itaondoka itarudi ilikokuwa zamani Kilosa kwenda Muheza Tanga.Umeelezea vema,tunaishi nchi ya sifia sifia tu,wataalaam wetu wote wameokotwa jalalani,kituko cha RPC Dodoma eti ataanza to escort buses zinapoingia mkoani kwake!ni kichekesho kitupu,we need to be serious hapa hii T1 ni uchafu mtupu hasa Mbeya to Tunduma,Dar to Mikumi ,hii barabara inabidi tuijenge upya sio kuitia viraka!life span ya barabara hii imeshapitwa na wakati,hii barabara imejengwa Nyerere era,inabidi tuipanue hasa pale Mikumi National park ikiwa ni pamoja na kusafisha vichaka vyote 20m both sides (faida yake tutapunguza wanyama wadogo kuwa maeneo karibu na barabara),Kitonga Pass tuweke njia mbili pale,Chimala to Mbeya papanuliwe na njia hii ichepushwe isipite katikati ya Mbeya.Natamani waziri wangu wa mawasiliano afanye utalii wa kikazi kwa barabara,aanzie N1 from Beitbridge to cape town,then N7 from Cape town to Namibia border,pale achukue B1 to windhoek,then aruke kwa ndege to Gaborone pale akamate A1,A2 na A3 towards kazungula,definitely akirudi Dar ataona tofauti kubwa kati yao na sisi.
Una shida ndugu 👇Tanzania ni kubwa kuliko nchi zote,
Toa ushahidi kwa takwimu.
La sivyo acha braa braa.
Mwalimu amefariki miaka 21 iliyopita. Kaacha madaraka tangu 1985 mmeshindwa nini muda wote huo kuziba makorongo aliyoacha? Mtaendelea kulaumu hadi lini? Rwanda mwaka 1994 walichinjana, lakini leo mbona wako mbali? Tuache lawama. tushiriki kujenga nchi yetu.Sasa hata Burundi, japo mtandao wao wa barabara ni mdogo lakini barabara zao zile zilizopo nzuri kweli, hata nyumba zao...quality
Nchi hii iliharibiwa na "zidumu fikra za mwenyekiti"...katika mambo Mzee wetu Nyerere alifeli ni vile kutaka sifa kama Jiwe
Tatizo mlimwuua angezid nchi nyingi AfricaHadi senegal imetushinda? Huu ni uwongo!
Tutashiriki hadi liniMwalimu amefariki miaka 21 iliyopita. Kaacha madaraka tangu 1985 mmeshindwa nini muda wote huo kuziba makorongo aliyoacha? Mtaendelea kulaumu hadi lini? Rwanda mwaka 1994 walichinjana, lakini leo mbona wako mbali? Tuache lawama. tushiriki kujenga nchi yetu.
Ujinga wake ndio ulimuua.Alikuwa Rais miaka 6 na Waziri miaka 20 alishindwa nini kuzizidi hizo Nchi nyingine?Tatizo mlimwuua angezid nchi nyingi Africa
Ni kweli mkuu hii ni excuse ya kijinga na ya watu wenye akili finyu kama sio mfu kabisa.Mwalimu amefariki miaka 21 iliyopita. Kaacha madaraka tangu 1985 mmeshindwa nini muda wote huo kuziba makorongo aliyoacha? Mtaendelea kulaumu hadi lini? Rwanda mwaka 1994 walichinjana, lakini leo mbona wako mbali? Tuache lawama. tushiriki kujenga nchi yetu.
Mimi nimetembea Uganda wewe. Usijifanye kujua wakati hujui. Ubora wa barabara unapimwa na nini?Umesoma attachment hapo juu au unahemka tuu.
Hiyo Uganda unayoisemea ina daraja la suspension bridge la Jinja liko kitambo tuu wakati nyie ndio mnahangaika na Kigongo Busisi saizi na lile la Kigamboni ..
Barabarani ya Entebe Kampala hakuna ya kulinganisha hapa Tzn nk..
Ulinganisho unafanywa kwa vigezo vingi ikiwemo ubora na density of network per square km..
Kama shida yako ni ubishi Baki na ulimbukeni wako basi.
Unaweza kutembea ila hujui unachoongea,kama hujui kipimo cha ubora Wa barabara tulia.Mimi nimetembea Uganda wewe. Usijifanye kujua wakati hujui. Ubora wa barabara unapimwa na nini?
Ukubwa wa nchi unaendana na idadi ya watu pamoja na kodi tunazokusanya ni kubwa kulinganisha na wao, ishu si ukubwa wa nchi bali ni akili na uzalendo wa kweli.Hi nchi yetu ni kubwa sana ukilinganisha na hizo nchi. Utakuta huzi tulizojenga kwa uchache wake zitaenea eneo kubwa la hizo nchi. Bado tuendelee kuikumbusha Serikali watimize wajibu wao
Ujanja Ujanja wa Viongozi ili WAPIGE nchi hii ni kula kwa Urefu wa Kamba yakoKazi iendelee!
Ni jambo la kushangaza kwamba Tanzania tunazidiwa na Nchi zote za Afrika Mashariki kwa mtandao na ubora Wa barabara isipokuwa Burundi.
Hivi kama Nchi hatuna dira,malengo na mkakati wa kutekeleza kwenye kila sekta Ili tupate ufanisi? Inakuaje kila kitu tuko nyuma? Tena tunazidiwa na Vinchi masikio kama Rwanda na Uganda?
Lazima kuna tatizo mahala maana haiwezekani kila kitu cha kutumia akili zetu sisi ni WA mwisho isipokuwa vitu vilivyowekwa na nature tuu.
Wakati tunajipiga kifua kwenye flyovers na madaraja ya suspension bridge kama la Kigongo-Busisi ,huko Jinja Uganda vipo siku nyingi Sana.
View attachment 2086670
View attachment 2086671
View attachment 2086672
Miaka mitano , lakin ameacha miundombinu ya kimkakati kabisa,SGR,Busisi, Nyerere Bwawa,ikulu Dodoma,Stand mikoaniUjinga wake ndio ulimuua.Alikuwa Rais miaka 6 na Waziri miaka 20 alishindwa nini kuzizidi hizo Nchi nyingine?
Amemuachia nani? Kwa nini hakuimaliza? Aliacha kipi kinachofanya Kazi?Miaka mitano , lakin ameacha miundombinu ya kimkakati kabisa,SGR,Busisi, Nyerere Bwawa,ikulu Dodoma,Stand mikoani
Hii nchi hakuna vipaombele na pia hata utekelezaji wetu ni WA Zima moto.Tulijikita katika mambo mengine kwanza, si mnajua maendeleo ni kujipangia vipao mbele. Maeneo matatu ya umuhimu TZ:
Baada ya kukamilisha hayo ndio sasa tunajikita katika bara bara na fly over. Tukutane baada ya miaka 10, inshallah kama M Mungu atapenda ndio tuelezana tena habari hizi. Nakuhakikishia TZ isipokuwa kwenye 5 bora Afrika, CCM itatoka madarakani.
- Mitandao ( simu janja, computa n.k)
- Elimu bure kwa wote (Mjini mpaka vijijini)
- Usalama wa nchi