Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ni kubwa kuliko nchi zote,Hi nchi yetu ni kubwa sana ukilinganisha na hizo nchi. Utakuta huzi tulizojenga kwa uchache wake zitaenea eneo kubwa la hizo nchi. Bado tuendelee kuikumbusha Serikali watimize wajibu wao
Ushafika Namibia au kubwabwaja tu hapa?? Netherlands is one of the best when it comes to their roads...lakini nilimsikia mdachi akiisifia Namibia unachotakiwa kujuwa ni hivi,Namibia wenye akili bado wapo sio kama bongo,fukuza wenyeakili kumbatia kina Kanjibaihakuna lolote hapo, nchi za kiafrika hizi hizi et namibia 23 kidunia? labda kama kuna vigezo walivyo viweka na hivyo vigezo tungeviomba tuvione... ili tuangalie nchi kama USA, EU yote, Dubai, Qatar kwenye kombe la dunia, oman, kuwait, japan, china, S.korea, Malyasia, Singapore, Indonesia, Canada... ili tujue imefikaje 23? kwa kukopa? misaada? nk...
ili tujitafakali vizuri...
Siyo kwamba ukubwa wa Nchi ni tatizo Bali ujinga ndo kwikwazo pale watu wameelimika ndo unaona maendeleo kama hayo ya barabara na nyumba nzuri za kisasa, imagine hata maendeleo ya familia kama familia watu hawawajibiki kwenye majukumu ya familia zao kiasi cha kuifanya serikali ione aibu kuleta maendeleo ya viwango duni ya jamii na huduma za kijamii.Hi nchi yetu ni kubwa sana ukilinganisha na hizo nchi. Utakuta huzi tulizojenga kwa uchache wake zitaenea eneo kubwa la hizo nchi. Bado tuendelee kuikumbusha Serikali watimize wajibu wao
Hapo ndio kuna shida.Si tuliambiwa jiwe kaijenga Tz imekuwa kama ulaya?
Wewe nadhani unaleta ubishi na kujiona una hatia sababu ya hiyo avator.
Ukweli ni kwamba ccm imefeli pakubwa kwa miaka 60 yote hakuna kitu tunaweza kutoka kifua mbele.
Ushafika Namibia au kubwabwaja tu hapa?? Netherlands is one of the best when it comes to their roads...lakini nilimsikia mdachi akiisifia Namibia unachotakiwa kujuwa ni hivi,Namibia wenye akili bado wapo sio kama bongo,fukuza wenyeakili kumbatia kina Kanjibai
Wenzetu wameshahama kwenye mambo kama haya, kwao ni mambo ya kawaida. Tumebaki kusifia Mama.
Magu ana mkono wake hapa,yeye si Engineer lakini alijipambanua kuliko Engineer na kuweza kutumia nyadhifa zake na uzoefu wake kusimamia ujenzi wa barabara.Kumbe maamuzi yake yapo yanayokuja kuleta shida kubwa sana.Mawazo ya kujenga haya. Hii mitandao ingekuwa inatumika kushauriana hivi tungekuwa mbali sana. Nakushukuru sana mleta uzi.
Binafsi mapendekezo yangu ni mawili:
1.Makusudio ya awali ya kuanzishwa TANROADS yazingatiwe na uendeshaji wake pia uwe katika kiwango cha kimataifa, tusirudi tena kwenye kuiendesha kisiasa. Huu ndio ugonjwa mkubwa wa nchi yetu kwa institution kadhaa ambazo ni nyeti kwa maendeleo yetu: proper governance.
2. Tuwakodi na kuwapa tenda mabingwa wa ku design miondombinu, Wachina, watusaidie kupendekeza namna ya kufupisha na kukiweka sawa kipande kile cha maili 8 cha Mlima Kitonga. Likitokea tatizo pale njia mbadala kutoka Kusini Nyanda za Juu, Malawi, Zambia na sehemu ya DRC kuja bandarini Dar ni kuzunguka kupitia Dodoma ambako tena unakutana na mtihani mwingine wa mlima Nyang'oro! Wajapan hawakutengeneza Kitonga kwa ajili ya miaka mingi ijayo. Tusahihishe hizo maili 8 tu!
Angalia Senegal, wamejenga hiyo kwa 1 Billion USD na imeisha tayari!
Hakuna nchi ya North Africa inayoishinda Namibia kwa barabara, barabara za across the country huko Namibia kwenu ni runway za ndege kwenye airports mnazoziona za maana. Interchange roads(wenyewe mnadhani ni flyover) mnazopigia kelele kwao zipo mpaka vijijini na za miaka mingi sana, flyover zipo nyingi na wala hawazishangai.afrika ukiondoa nchi za waarabu, zilizo chini ya jangwa la sahara ukiondoa SA, zilizo bakia zote hazina tofauti...
Acha kujiaibisha kwa upupu wa kwenye Google, umeulizwa swali kama umeshawahi kufika so jibu stahiki ni ndiyo au hapana.
- (DCEE)
- >
- View Item
Assessment of the impact of Namibian rural road characteristics on crash incidence
Ambunda, Robert; Johannes, Petrina
URI: Assessment of the impact of Namibian rural road characteristics on crash incidence
Date: 2020
Abstract:
Road user perceptions and roadway design elements play a vital role in determining the crash risk level on the roads. The study investigated factors that play a prominent role in causing road traffic crashes on rural roads on the Namibian road network. The study found that animals and pedestrians were the highest cause of road traffic crashes on the study sections. The high volume of vehicles traversing the roads section combined with the lack of appropriate barriers to separate traffic from the high presence of animals and pedestrians along the study section contributed to the hazardous safety situation on the road. The study identified that drivers losing control of vehicles on the study sections was one of the highest cause of traffic crashes. Speeding combined with negative design of various road elements directly impacts driver perceptions of the road environment and misleads road users, thereby leading to human errors that influence the frequency and severity of road crashes on the study section. The study identified under-reporting and misinformation on road crashes as some of the factors impeding the development of a vivid picture on the actual scale of the road safety problem on Namibian rural roads. The analysis of the road crashes will assist and enable road safety stakeholders in identifying, developing and implementing appropriate safety measures to sustainably address the road safety issue on Namibian roads. In addition to the road safety assessment, a road design audit carried out on the study section found that the shoulder grade and lane widths did not comply with the Technical Recommendations for Highways 17 on the Geometric Design of Rural Roads in Namibia. The study therefore developed multivariate road crash models using Negative Binomial Regression to investigate the extent of the link between road crash rates of various severity and the road design elements. The models identified several interactive relationships between lane widths, shoulders widths, 85th operating speed and horizontal curve radii on the section that significantly influenced crash rates on the roads.
Magufuli alikuwa ana tengeneza nchi iwe ya mfano mkamuua. Kuleni matapishi yenu sas [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kazi iendelee!
Ni jambo la kushangaza kwamba Tanzania tunazidiwa na Nchi zote za Afrika Mashariki kwa mtandao na ubora Wa barabara isipokuwa Burundi.
Hivi kama Nchi hatuna dira,malengo na mkakati wa kutekeleza kwenye kila sekta Ili tupate ufanisi? Inakuaje kila kitu tuko nyuma? Tena tunazidiwa na Vinchi masikio kama Rwanda na Uganda?
Lazima kuna tatizo mahala maana haiwezekani kila kitu cha kutumia akili zetu sisi ni WA mwisho isipokuwa vitu vilivyowekwa na nature tuu.
Wakati tunajipiga kifua kwenye flyovers na madaraja ya suspension bridge kama la Kigongo-Busisi ,huko Jinja Uganda vipo siku nyingi Sana.
View attachment 2086670
View attachment 2086671
View attachment 2086672
Wewe taahira na wachaga wenzako matapeli mnauziana kitapeli mnakuja kudai Serikali kama mlionewa mendeni mahakamani si yupo Rais mwingine tofauti!Kwani kujenga barabara ni kuvunjia watu makazi yao bila fidia? Acha ujinga.