Leo katika hafla ya utiaji saini mikataba yenye thamani ya shilingi Trilioni 1.9 ya kuongeza usambazaji wa umeme kwa wananchi na maeneo ya kimkakati. Waziri wa Nishati January Makamba alisema Serikali inamkakati wa kuongeza uzalishaji umeme "Tunaposema tunazalisha umeme wa Megawati 1,700 na tunaona unatosha hautoshi, ni kwamba tu haujawafikia wahitaji. Ukiwafikia wahitaji umeme tulionao ni mdogo mno"
Hivyo Serikali imejipanga kuzalisha umeme MW 5,000 ifikapo 2025 amesema "Tutafika Megawati 5,000 mwaka 2025, itakuwa ni zaidi ya mara tatu ya umeme uliopo leo."
Umeme utaenda kufufua fursa nyingi zaidi vijijini kipaumbele cha Serikali ya Rais Samia Suluhu ni kuhakikisha vijiji vyote Tanzania vinaendelea.
Hivyo Serikali imejipanga kuzalisha umeme MW 5,000 ifikapo 2025 amesema "Tutafika Megawati 5,000 mwaka 2025, itakuwa ni zaidi ya mara tatu ya umeme uliopo leo."
Umeme utaenda kufufua fursa nyingi zaidi vijijini kipaumbele cha Serikali ya Rais Samia Suluhu ni kuhakikisha vijiji vyote Tanzania vinaendelea.