Tanzania ukiajiriwa Serikalini ni raha kuzidi kujiajiri kwa kipato sawa na mshahara wa aliyeajiriwa

Tanzania ukiajiriwa Serikalini ni raha kuzidi kujiajiri kwa kipato sawa na mshahara wa aliyeajiriwa

Mkuu mkuu mkuu nimeita mara tatu ukiijua falsafa ya kujiajir ndio maana arabs and asians people hapa Tanzania NDIO wameshika uchumi wetu....

Wengine mmechelewa sana kufunguka hii ni sababu za kijographia na malezi na udumavu wa fikra Asante Mungu kukutana na Hawa ma Guru naijua industry vyema....

Na degree mbili kabatini nazitoaga naziangalia zinarudi kabatini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]nataka mwakani niongeze ingine wengine kusoma ni passion

NB:
Neno Moja Kwa young generation fanya kile unacho penda na kukiamini kama mpira cheza,kama music fanya kama bussiness fanya Kwa bidii.....

Mm kiinua mgongo changu nakisaka Leo tuna pambania kombe ajira ni utumwa ajira ni Kwa watu waoga wa maisha wanafanya sababu ya security perpose...

Hapa nazungumzia zile ajira za watoto wa masikini nieleweke ivyo[emoji4][emoji4]
Mkuu wakati unatupa nasaa sio mbaya ukatupa na connection pia mtaani hali sio shwari kutoboa bila kushikwa mkono ni mtiti
 
Cha ajabu sana ni kwamba matajiri wote duniani wamejiajiri, sijawahi kusikia tajiri aliyeajiriwa serikalini... [emoji23] [emoji23]
Matajiri wa duniani Hawajajiajiri... Wameajiri watu. Know the difference.

Kuna tofauti kati ya Kujiajiri na Kuajiri wengine wakufanyie kazi. Mada inazungumzia Waliojiajiri vs Waajiriwa, haizungumzii walioajiri watu.
 
Wewe unayefungua biashara mpaka jumamosi na jumapili ili uuze uingize hela na muajiriwa anayepumzika weekend nzima, nani yupo kwenye slavery machine?
Soma ulichoandika.
Inaonesha unawaza weekend tu hapo ulipo.
 
Saana yaani serikalini haijalishi upo wapi ila kuna mseleleko sana pia kuna uhakika wa mambo tofauti na kujiari.. na ndio maana kupata kazi huko ni mtiti mwingine
Hicho unachoita mselekeko kiuhalisia ni kwamba watu huko ni wazembe, hawafanyi kazi kwa ufanisi, wezi na wategeaji. Ikitokea serikali ikaja na mfumo mpya wa watu kufanya kazi kwa masaa na clear daily targets, kuajiri kwa sifa na elimu stahiki, basi ujue wengi watakimbia na kufukuzwa kazi. Sasa hivi mtu anaingia kazini saa 1.30 asubuhi anawahi kusaini kitabu but ukifuatilia muda productive alioutumia kwa siku pengine 2 hrs tuu...
 
Kujiajiri inahtaji roho ngumu Sana , juhudi na uvumilivu , ni kweli Kwa miaka 15 ya Kwanza aliyeajiriwa atakula bingo Ila baada ya hapo hampati aliyejiajiri hata robo Labda aliyejiajiri awe Fala
Hivi watanzania milioni zaidi ya 60 wanaweza kweli kuajiriwa na serikali?? Hivi unajua mpaka sasa watanzania walioajiriwa na serikali hawazidi hata milioni 3??
 
Unawazungumzia Waajiriwa hawa Ambao Mei mosi Wanajidharirisha kwa kuvaa Picha za wanasiasa Uchwara na kubeba mabango ili Waongezewe Walau Elfu hamsin Kweny mishahara Yao?

Au unawazungumzia hawa Waajiriwa ambao Wakishastaafu Wanapata Kazi mpya ya Kufatilia Pensheni,

Mi huwa nacheka tu Unakuta muajiriwa anatukana humu ngoj ifke wakt amestaafu anafatilia pensheni,

Mbona utamuonea huruma maan nawakutaga kweny yale mabenchi ya ofisi wakifatilia pensheni zao wamekaa mpk wakinyanyuka Makalio yamejichora Kwenye Benchi,

Aisee Kuajiriwa Hapana ni Mateso.
[emoji23] [emoji23] na ukiongezea huwa wanajisahau sana na kubweteka wakiwa kazini...
 
Hata aliyeajiriwa anakua pia. Kuna annual increment (japo ni ndogo), kuna kupanda cheo.. kuna kuhama taasisi kuhamia taasisi inayolipa zaidi etc.
Wakati naanza kazi serikalini huko Morogoro watu kama akina Aziz Abood walikuwa wakiuza duka na baba yao, akina Makundi (BM) walikuwa maduka ya kawaida kabisa, na wengine wengi tuu... Lakini nikiangalia walipo sasa daaah aiseeee.. Ila hata biashara au kujiajiri kama huna nudhamu hutoboi...
 
Mfano alieajiriwa serikalini na aliejiajiri wote wanaingiza milioni 1 kwa mwezi?


1. aliejiajiri anaondoka kwake asubuhi kurudi hadi usiku, alieajiriwa serikalini anaondoka asubuhi anamaliza kazi zake jioni na bado huko ofisini kuna muda anapata kufanya mambo yake.

2. aliejiajiri anaweza asizijue weekend lakini alieajiriwa serikalini anapumzika jumamosi na jumapili.

3.aliajiajiri hana sikukuu za kiserikali, alieajiriwa serikalini haendi kazini idi (hata kama ni mkristo), mwaka mpya, meimosi, sabasaba, siku ya Nyeyere, siku ya uhuru, mapinduzi, nanenane, idi, pasaka, n.k

4.aliejiajiri akiumwa inabidi ajikaze aende tu lasivyo kipato kinaweza kutikisika, alieajiriwa serikalini akiumwa anatoa notisi.

5. aliejiajiri hana likizo, muajiriwa ana likizo siku 30 kila mwaka

6. aliejiajiri anaweza kufilisika endapo duka likiungua, akiumwa kwa muda mrefu, akiibiwa, n.k. alieajiriwa serikalini nafasi yake na mshahara wake ni uhakika

7. Aliyeajiriwa serikalini mkopo anapata kwa masharti nafuu na KWA haraka aliyejiajiri hawezi pata mkopo kibwerere

8. alieajiajiriwa na serikali ana muda mwingi wa kuwa na familia yake kuzidi aliejiajiri. ikifika jioni, weekend, sikukuu za serikali, likizo, n.k. ana muda wa kutosha wa kuwa na familia yake

9. Alieajiriwa serikalini anaweza kuwa ma biashara zake za kumuongezea kipato, hizi biashara zinaweza kurithiwa na watoto wake.

Mwisho niseme Kujiajiri watu wanameki bingo lakini ni wale wenye roho ngumu sana, juhudi, kujibana na uvumilivu, kinyume na hapo kukua ni kazi sana, mara kumi heri mtu alie serikalini.
Hawa walio ajiriwa serikalini ni wanyonyaji wakubwa. Ndio maana bado Tanzania kuna umasikini mkubwa. Sababu wakulima, wafanya biashara wakubwa na wadogo, hata wanaosota bila kipato wote wanakamuliwa na hawa waajiriwa serikalini.
Ufanisi hakuna, ndio kizuizi cha maendeleo, rushwa mbele, na bado kila leo wanalia nyongeza na kupandishwa vyeo.
 
Mfano alieajiriwa serikalini na aliejiajiri wote wanaingiza milioni 1 kwa mwezi?


1. aliejiajiri anaondoka kwake asubuhi kurudi hadi usiku, alieajiriwa serikalini anaondoka asubuhi anamaliza kazi zake jioni na bado huko ofisini kuna muda anapata kufanya mambo yake.

2. aliejiajiri anaweza asizijue weekend lakini alieajiriwa serikalini anapumzika jumamosi na jumapili.

3.aliajiajiri hana sikukuu za kiserikali, alieajiriwa serikalini haendi kazini idi (hata kama ni mkristo), mwaka mpya, meimosi, sabasaba, siku ya Nyeyere, siku ya uhuru, mapinduzi, nanenane, idi, pasaka, n.k

4.aliejiajiri akiumwa inabidi ajikaze aende tu lasivyo kipato kinaweza kutikisika, alieajiriwa serikalini akiumwa anatoa notisi.

5. aliejiajiri hana likizo, muajiriwa ana likizo siku 30 kila mwaka

6. aliejiajiri anaweza kufilisika endapo duka likiungua, akiumwa kwa muda mrefu, akiibiwa, n.k. alieajiriwa serikalini nafasi yake na mshahara wake ni uhakika

7. Aliyeajiriwa serikalini mkopo anapata kwa masharti nafuu na KWA haraka aliyejiajiri hawezi pata mkopo kibwerere

8. alieajiajiriwa na serikali ana muda mwingi wa kuwa na familia yake kuzidi aliejiajiri. ikifika jioni, weekend, sikukuu za serikali, likizo, n.k. ana muda wa kutosha wa kuwa na familia yake

9. Alieajiriwa serikalini anaweza kuwa ma biashara zake za kumuongezea kipato, hizi biashara zinaweza kurithiwa na watoto wake.

Mwisho niseme Kujiajiri watu wanameki bingo lakini ni wale wenye roho ngumu sana, juhudi, kujibana na uvumilivu, kinyume na hapo kukua ni kazi sana, mara kumi heri mtu alie serikalini.
Aliyejiajiri akumwa utamuonea huruma hata Bima ya Afya hana

😆😆😆

Ukiwasikia sasa mtaani maisha yakiwapiga
1. Kuajiriwa ni utumwa
2. Kuajiriwa unakosa uhuru- wakati anaamja saa kumi na moja asubuhi anarudi saa nne usiku- kuna uhuru gani hapa

Hawajiulizi Nikki wa Pili akiona wivu kwa wanaaheria wanapiga michongo ya pesa ndefu huku yeye alisoma masters ya sociology kakosa ajira alianza nyimbo za kuwananga walioajiriwa akaja na wimbo wa

  • Mimi sitaki kuajiriwa
  • Sitaki kutumwa natama kujituma
  • Sitaki kazi, sitaki kuajiriwa

Alipopata upenyo wa DC hakugeuka nyuma na music akatupa kule.

We huoni Mtoto waMjini na michongo yake kaamua kuwa mtumishi wa Umma Ms Jokate?

Chawa woote wanatafuta ajira serikalini.
90% workforce Tanzania ni walojiajiri kwenye kilimo, machinga, chips, dagaa na samaki, bodaboda na mitumba wamechoka vibaya mno.
 
Wakati naanza kazi serikalini huko Morogoro watu kama akina Aziz Abood walikuwa wakiuza duka na baba yao, akina Makundi (BM) walikuwa maduka ya kawaida kabisa, na wengine wengi tuu... Lakini nikiangalia walipo sasa daaah aiseeee.. Ila hata biashara au kujiajiri kama huna nudhamu hutoboi...
Kanuni ni ile ile tu kama huwezi kuperfom kwa nidhani ukiwa umeajiriwa hutopata hiyo nidhamu ukiwa umajiajiri never.
 
Hawa walio ajiriwa serikalini ni wanyonyaji wakubwa. Ndio maana bado Tanzania kuna umasikini mkubwa. Sababu wakulima, wafanya biashara wakubwa na wadogo, hata wanaosota bila kipato wote wanakamuliwa na hawa waajiriwa serikalini.
Ufanisi hakuna, ndio kizuizi cha maendeleo, rushwa mbele, na bado kila leo wanalia nyongeza na kupandishwa vyeo.
Ni kweli
 
Back
Top Bottom