Tanzania vs Benin, African Qualifiers - FIFA World Cup Qatar 2022

Tanzania vs Benin, African Qualifiers - FIFA World Cup Qatar 2022

Bora hata dakika za mwisho, hawa wazee akina Bocco na Samatta walikuwa wanarukaruka tu
 
anatwa Steve Mounie anacheza Brest ligi kuu ya Ufaransa na kina PSG,,amewahi pia chezea Huddersfield ya England bila kusahau Nimes na Montpellier zote za France,,ni bonge striker hacheki na kima kama ndugu zetu wanaopoteza nafasi za hovyohovyo tu saizi wanajilaumu
Ndio maana kwa mchezaji wa daraja hilo ni rahisi sana kuibadilisha half chance kuwa chance kamili
 
anatwa Steve Mounie anacheza Brest ligi kuu ya Ufaransa na kina PSG,,amewahi pia chezea Huddersfield ya England bila kusahau Nimes na Montpellier zote za France,,ni bonge striker hacheki na kima kama ndugu zetu wanaopoteza nafasi za hovyohovyo tu saizi wanajilaumu
Amecheza Sheffield United pia
 
Back
Top Bottom