Tanzania vs Malawi, kutoka CCM Kirumba 29/3/2015

Dk 80

Tan 1 - 1 Malawi

Bocco anaingia na Ulimwengu katoka...
 
Kufungwa nyumbani siyo issue; issue ni nani kakufunga?

Anyway Malawi wako nafasi ya 91 sisi tuko nafasi ya 100 katika viwango vya FIFA hivyo wao ni bora kuliko sisi, acha watukandamize tu.
Tena mupigwe goli 3, sababu nyinyi mpirawenu mumebezi kwenye vilabu tu. Wenzenu wanatengeneza timu zao za taifa nyinyi vilabu tu.
 
Afadhal wamechomoa........
Manake kufungwa nyumban ni aibu sana.
 
JOHN BOCCO AMEINGIA MAHALA PA uLIMWENGU

Mpira wa kwanza kugusa hajapata bao? Kama hajapata kwishney maana mpira wake ni wa kibahatibahati tu.

CC. Kitoabu: Ushindwe kabisa, hatupigwi 3 siye.
 
Last edited by a moderator:
Boko chupuchupu aipate stars goli la pili.
 
Tena mupigwe goli 3, sababu nyinyi mpirawenu mumebezi kwenye vilabu tu. Wenzenu wanatengeneza timu zao za taifa nyinyi vilabu tu.
Kwan hata hivyo vilabu unavyosema vinafika wapi kwenye mashindano ya kimataifa!!!!
Labda ungesema ufisadi lakn kwenye mpira hamna kitu.
 
Dk 85

Tan 1 - 1 Malawi

Hizi dakika za mwisho Stars wanatakiwa kupata goli maana wanajitahidi kupanga mashambulizi...
 
Hivi CV ya huyo kocha ikoje, namwona kama sii kocha vile
 
Kitoabu 'umefufuka'! Karibu tena jukwaani.
Nipo mkuu, sema Rambaramba yangu naona inanivua vyeo kila leo. Hivyo nakua sina cha kujivunia mbele za watu, ndio maana hua napitaga kimya kimya.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…