Kama unatoka Cape Town kwenda Cairo, Arusha ndiyo katikakati ya safari yako. Picha ilipigwa Arusha mwaka 1936.

Hivi hili jengo bado lipo?

 
Makonki woman, in Mikindani, Tanganyika mwaka 1902. Inadaiwa walikuwa wana-stretch out the upper lip.

Picha kwa hisani ya Library ya Congress.

 
Mwanaume wa kabila la "Wadshagga"(?) Kilimanjaro Tanzania akiwa amesimama uchi.

Probably walikuwa wanamaanisha mwanaume wa kichaga?

Picha inadaiwa kupigwa kati ya mwaka 1890 na 1923

 
Soko la kabila la Kavirondo: Mwanamke akiwa amevaa "tassel" ambayo inamtambulisha kwa jamii husika kuwa ni mke wa mtu. Picha inadaiwa kupigwa kati ya mwaka 1890 na 1923. Picha kwa hisani ya Library ya Congress.

 
Railroad Club grounds and buildings in Dar Es Salaam in 1936

 
The Sultan's Palace in Zanzibar 1936

 

1- Marehemu Edie Sally

2- Marehemu Kalikali

3- Msoza

5- John Peter Patalakis

6- Marehemu Choggy Sly

7- Nigga Jay - Masoud Masoud

8- Agibu Show
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…