hiyo picha ya 404 taxi tdz ni mtaa wa uhuru kariakoo na hiyo ya kwanza ni IPS mzunguko wa askari bunduki , safi sana kumbu kumbu nzuri naona na ekarus enzi hizo ilikuwa usafiri wa UDA hamna kujazana usafiri uhakika
 


Hiyo Ndege Hapo Imekuja Kuzoa Almas Tu Na Kupeka Kwenda Kujenga Ulaya

 

Hiyo Ndege Hapo Imekuja Kuzoa Almas Tu Na Kupeka Kwenda Kujenga Ulaya

Wakawaachi Mwadui kama Ulaya na Almasi zake...
Mkaumburulu mji wa Mwadui mpaka mashine za kuchimbia, na hiyo ndege mliaachiwa ndio hii hapo chini...waliiuza kama vyuma chakavu




 
Natamani hata kulia nikuona hizi picha jamani kumbe wazee wetu waliishi maisha mazuri hizi history tunadanganyana tu ohh tulikuwa hatuna ma Dr na hawa nini tena wasafi mimi nilidhani wako Saloon kumbe Hosp.
Hivi inahitaji degree kujua ya kuwa hizi huduma unazoziona hapo zilikuwa zinawafikia wachache tu? tena ni wale wanaowanufaisha/watumikia Watawala?.

Hujaona picha nyingine Wazazi wako wamefungwa minyororo kama tumbili?. au ndio yale yale Mswahili ukishapata raha wewe wenzako wapambane na hali yao.
 
Kulikuwa kama Europ aisee.nini kimeharibu Dar ya sasa,kila mahali ukipita unakuta biashara ,yaani hakuna utulivu kabisa
Na usisahau kuwa vingi walivijenga kuwanufaisha wao wenyewe.

Kuna hizo Hotel unazoziona zinavutia Mswahili alikuwa aruhusiwi kuingia na kuhudumiwa, Mswahi utakayemkuta humo ni Muhudumu/Mfanyakazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…