imebakia historia tu,hii nchi kuna kikundi ndicho kinafaidi na hakitaki kuweka mambo sawa ili wadau wote wafaidike,nadhani picha unazoweka zinadhihirisha kuwa enzi hizo mambo yalipangwa na kupangika,inakuwaje sasa wadau? watasema nchi kubwa vipi india na uchina wasemaje? na hawana easimali kama zetu na wanakuja kuzibeba kwetu.kuna mahala tumekosea inabidi turekebishe
 
Mkuu kuna mdau anadai walicheza kifua wazi kwa kuwa jezi zao zilikuwa zinafanana rangi na za Wasudani, nitatafuta rejea HALAFU mbona unanibania tasnifu yako - nitumie aisee kule Wanazuoni, nahisi tunafanya tafiti zinazofanana!

Mie pia bado haijaniingia akilini eti walikuwa hawana jezi.

Nikupe tasnifu yangu unataka kudesa?

Nimeweka nakala kule Eastafricana.

Ila zipo mbili sijui ni ipi hiyo unayozungumzia.
 
EMT, wee hizi picha za Tabora kwa kweli unatisha, lohhh 🙂



Tabora Railway Station, mwaka 1966.....

Yaani hili gari moshi tokea enzi za mwalim mpaka leo Linanguruma!Na hawa wanaorithi hii miundo mbinu mbona hawaiboreshi?Tokea kipindi hicho hakuna Reli mpya iliyojengwa wala kununua aina mpya ya gari moshi hivi hata vipuli kwa waliotengeneza hayo magari moshi sijui kama vinapatikana kirahisi!Nitakukumbuka Mwalim!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…