Tanzania ya enzi hizo katika picha
RELWE%5B1%5D.jpg

haya magari kuna baadhi ya nchi afrika bado yapo..
 
muhimbili enzi hizo-where did we go wrong????
5404702679_810d5d5a76_b.jpg

Nimependa hii picha na nyingine zote! navutiwa na style ya unyoaji nywele! ni dalili tosha kuwa wakoloni waliondoka lakini wakatuachia kasumba ya kuamini vya kwao ni vizuri hasa kwa jamii ya wasomi (angalia mnyoo)! bado tunahitaji Uhuru wa kifikira (hapa ndipo penye makosa)!
 
Nimependa hii picha na nyingine zote! navutiwa na style ya unyoaji nywele! ni dalili tosha kuwa wakoloni waliondoka lakini wakatuachia kasumba ya kuamini vya kwao ni vizuri hasa kwa jamii ya wasomi (angalia mnyoo)! bado tunahitaji Uhuru wa kifikira (hapa ndipo penye makosa)!

Enzi zetu unamwabia kinyozi ninyoe "WAY"
 
kulikuwa na umuhimu gani wa kupata eti uhuru huu tulionao? mipango miji imerudi nyuma zaidi ya miaka 100 hivi kweli tuna watu tunaoeza waita wamesoma nchi hii? unaeza pata Ph'd ikiwa utafanya utafiti wa kabla ya uhuru na baada ya awamu ya nne tuliyonayo kuonesha vipi tulivorudi nyuma
Hizi picha sijui kama viongozi wetu wa siasa wanaeza kuziangalia kwa macho zaidi ya dakika tano na kama kuna atakaeweza kuzichambua basi anaeza achia ngazi kuonesha vipi ameguswa na siasa mbovu na ujinga wetu
nyerere_1961.jpg


Waziri Mkuu, Mwalimu Julius Nyerere, siku ya uhuru 9 Disemba 1961
 
daaaaaaaaaaaaaaa..........raha sana!!!! ukiangalia vitu hv, sasa ni wajibu wenuwaote sasa kujaribu kuvi keep vitu kama hivi visipotee kabisa....sawa kuna haja ya kujenga migorvya ofa lakini isifute vya kale, angalia waingereza majengo yao , wa ya keep bado. nimesikia kutoka machozi really, kumbukumbu excellent!!
 
367429180_140d61d7fe_z.jpg
367429180_140d61d7fe_z.jpg

Babati -Tanganyika enzi hizo..hizo zilikuwa mbio za magari zilikuwa zinajulikana kamaCoronation Safari Rally....hapo gari kiongozi likiwasili kutoka Hanang karibu kabisa kwenye junction ya Arusha - Dodoma road. Pembeni mwa gari kushoto unaweza kuona shule na kati kati ni nyumba ya chifu 'Amri Dodo's' kulia ni ofisi za serikali

picha ilipigwa kwenye 1950's
 
Hahahaaaaaaaa Du Aise safi sanaaaa mwanaaaaaaaaa!!! Clock tower hapo kuna Shirika la Posta tulikua tunaenda kuchukua hela tukipata TMO school
attachment.php

Hiyo njia inapoelekea hiyo gari nyekundu ndio inakwenda mpaka TTCL kisha inaunganisha mpaka ofisi ya mkuu wa mkoa? (inaelekea yale majengo yaliyokuwepo sasa hivi hayakuwepo enzi hizo
 
367429180_140d61d7fe_z.jpg
367429180_140d61d7fe_z.jpg

Babati -Tanganyika enzi hizo..hizo zilikuwa mbio za magari zilikuwa zinajulikana kamaCoronation Safari Rally....hapo gari kiongozi likiwasili kutoka Hanang karibu kabisa kwenye junction ya Arusha - Dodoma road. Pembeni mwa gari kushoto unaweza kuona shule na kati kati ni nyumba ya chifu 'Amri Dodo's' kulia ni ofisi za serikali

picha ilipigwa kwenye 1950's

Mkuu Yo Yo na EMT na king kong 111 kwa kweli umetukumbusha zamani wakati nchi ilikuwa nchi sio sasa. Nikiaangalia mandhari ya shule na miji kwa kweli naona tumepotea sana. Nakumbuka late 60's hizo gari zilizokuwa kwenye chati kama ile 404 ya B Shackland na hilo Zephier 6 na Ford Anglia sio sasa gari hayadumu kama hayo ya zamani.
 
Last edited by a moderator:
Hilo jengo hapa Arusha ambalo ni NMB Bank enzi hizo ilikua ndio Baclays Bank!


attachment.php
 
Back
Top Bottom