Tanzania ya enzi hizo katika picha
nchi za wenzetu bado matangazo yao ya usafiri iwe basi ama train wanaonyesha namba ya basi ama train husika,bongo kwishaa kabisa

Mbona hapo hamna cha namba za mabasi wala nini. Hizo ni MILES , umbali kutoka iDodomya
 
COLONIAL ARUSHA.
5323831937_3032af6908_z.jpg
 
Mi Nimesikitishwa sana na Tanganyika Pakers.. Ukizingatia magofu yake bado yapo.Anyway sasa kimekuwa kituo cha ufufuo na uzima.. Not bad!
 
View attachment 74223
Hapa Ni Tanzania Elimu Supply(TES) Enzi Hizo 1947

View attachment 74224
Mabasi ya Ekarusi Kumbakumba kwa nyuma Azania Front

View attachment 74225
Tanganyika Parkers Enzi Hizo 60s

View attachment 74226
Salender Bridge 1960s

View attachment 74227
Dar-Es-Salaaam 1975 Hiyooooo!!!

View attachment 74228
Seaview-Mawingu House 1960

View attachment 74229
Arusha-Clock Tower 1966

View attachment 74230
Dodoma City Center 1974

View attachment 74231
Bukoba City Center 1972

View attachment 74232
Jengo La CCM Likiwa Linajengwa Enzi Hizo

View attachment 74233
Korogwe Hotel

View attachment 74234
Same Hotel

View attachment 74235
Musoma 1960

View attachment 74236
Handeni Bomani Enzi Hizo

View attachment 74237
Shule Ya secondary Kisutu 1975

View attachment 74238
Iyunga Secondary 1966

Tupia Nyingine na wewe kama Unazo za Enzi Hizo za Popote pale ndani ya Tanzania::::Kumbukumbu ya Miaka 51 ya Uhuru::09 Dec 2012

Iyunga mbona waasia walikuwa wengi kuliko waafrika? au ilikuwa private school?
 
Back
Top Bottom